Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Kuwatetea mama ntilie, machinga, bodaboda na wenye shughuri ndogondogo, ni sehemu ya kuwafanya watu wengi kuwa wazalishaji na si kuwa tegemezi
Lakini pia, ni kutengeneza watu wengi kuwa walipa kodi na nchi kuwa na maendeleo

Unapowafukuza hao watu bila kuwatengenezea mazingira mazuri ya kufanyia kazi, ni kuwafanya wawe tegemezi, kitu ambacho kinawafanya watu wachache kuwa ndio wazalishaji na wengi kuwa kama kupe!

Pumzika kwa amani hayati JPM
 
Kuwatetea mama ntilie, machinga, bodaboda na wenye shughuri ndogondogo, ni sehemu ya kuwafanya watu wengi kuwa wazalishaji na si kuwa tegemezi
Lakini pia, ni kutengeneza watu wengi kuwa walipa kodi na nchi kuwa na maendeleo

Unapowafukuza hao watu bila kuwatengenezea mazingira mazuri ya kufanyia kazi, ni kuwafanya wawe tegemezi, kitu ambacho kinawafanya watu wachache kuwa ndio wazalishaji na wengine kuwa kupe!

Pumzika kwa amani hayati JPM
Aliwatetea kwa lipi, sema aliwaharibu sn watu wakawa wajinga
 
Ushahidi macho yangu.

Nilikuwa nimekaa na mjomba angu mmoja nae marehemu.

Ghafla yakapita magari ya jeshi yakiwa na mizinga.

Wakati huo ndo zile tetesi magufuli anaumwa magufuli anaumwa.

Alafu majaliwa na watu wengine wakawa wanakomaa kuwa mzee ni mzima wa afya.

Nikamwambia mjomba hii mizinga inayoipata sio dalili nzuri uenda kuna Jambo kubwa linaweza kutokea .

akasema inawezekana hatuwezi jua.

Mara tarehe 17 usiku Samia anatangaza magufuli amefariki.
Weka ushahidi wa ulichoona mwaka jana
 
Ushahidi macho yangu.
Nilikuwa nimekaa na mjomba angu mmoja nae marehemu.
Ghafla yakapita magari ya jeshi yakiwa na mizinga.
Wakati huo ndo zile tetesi magufuli anaumwa magufuli anaumwa.
Alafu majaliwa na watu wengine wakawa wanakomaa kuwa mzee ni mzima wa afya.
Nikamwambia mjomba hii mizinga inayoipata sio dalili nzuri uenda kuna Jambo kubwa linaweza kutokea .
akasema inawezekana hatuwezi jua.
Mara tarehe 17 usiku Samia anatangaza magufuli amefariki.
Shida yako ni nini?
 
1. Daraja la Tanzanite Dar
2. Mikataba ya madini
3. Ukuta wa mererani
4. Utumbuaji
5. Uzinduzi wa malipo ya serikali kupitia control number
5. Umeme wa Tsh 27,000/=
6. Elimu bure darasa la kwanza hadi form four
7. Ukarabati wa. Viwanja vya ndege na meli
8. Bomba la mafuta Hoima kwenda Tanga
9. Kuanzisha Tarura, Latra,
10. Kununua radar kwenye viwanja vya ndege vyote.
11. Kuivunja bodi ya ununuzibwa madini
12. Kuanzisha tume ya madini na madoko ya kuuzia madini
13. Kuvunja Jiji la Dar es salaam
14. Kumfukuza kazi Nape mnauye, mchechu wa NHC,
15. Kwa miaka mitano kutokwenda ulaya
16. Kuzirudisha halmashauri zote ofisi ya Rais.
17. Kuondoa watu wenye vyeti feki kwenye mfumo wa mishahara ya serikali.
18. Kukarabati shule za serikali za zamani
19. Kununua ndege mpya 11
20. Kufufua reli ya Dar to arushaTanzania
21. Kukarabati bandari ya mtwara, tanga na Dar
22. Kukusanya na kuzitambua mali za CCM
23. Kuanzishwa wizara mpya ya Madini
24. Miaka mitano umeme haujawahi kukatika
25.ujenzi wa hospitali za kanda, mikoa na wilaya
26. Ujenzi wa mshakama za wilaya
27. Kuongeza idadi ya hifadhi za tsifa na jeshi usu.
28. Kufuta mishahara ya 45,000,000
29. Kuongeza viwanda nchini
30. Kuwaeleza ukweli watanzania kuhusu covid 19
31. Kupunguza urasimu kwa watumishi wa umma
32. Kuanxisha ofisi za msajili wa hati za ardhi kila mkoa na kufuta ofisi za kanda
33. Kukamata wakwepa ushuru
34. Kampuni ya Halotel ya JK , wabia wake kwenda segerea kwa kutokulipa kodi
35. Serikali kununua magari yake kwa mfumo maalumu kupunguza madalali
36. Kiswahili kuanza kutumika mahakamani kutolea hukumu
37. …..,, Samia haya niliyoyataja anayaweza kuyasimamia?kuyaendeleza?kubuni vingine ? CCM tujiuliza maswali kabla hatujamwambia Samia achukue fomu 2025
Mkuu naomba hii orodha unitumie pm imenigusa nataka nikaiandike kwenye tisheti langu na DAYARi yangu
 
1. Daraja la Tanzanite Dar
2. Mikataba ya madini
3. Ukuta wa mererani
4. Utumbuaji
5. Uzinduzi wa malipo ya serikali kupitia control number
5. Umeme wa Tsh 27,000/=
6. Elimu bure darasa la kwanza hadi form four
7. Ukarabati wa. Viwanja vya ndege na meli
8. Bomba la mafuta Hoima kwenda Tanga
9. Kuanzisha Tarura, Latra,
10. Kununua radar kwenye viwanja vya ndege vyote.
11. Kuivunja bodi ya ununuzibwa madini
12. Kuanzisha tume ya madini na madoko ya kuuzia madini
13. Kuvunja Jiji la Dar es salaam
14. Kumfukuza kazi Nape mnauye, mchechu wa NHC,
15. Kwa miaka mitano kutokwenda ulaya
16. Kuzirudisha halmashauri zote ofisi ya Rais.
17. Kuondoa watu wenye vyeti feki kwenye mfumo wa mishahara ya serikali.
18. Kukarabati shule za serikali za zamani
19. Kununua ndege mpya 11
20. Kufufua reli ya Dar to arushaTanzania
21. Kukarabati bandari ya mtwara, tanga na Dar
22. Kukusanya na kuzitambua mali za CCM
23. Kuanzishwa wizara mpya ya Madini
24. Miaka mitano umeme haujawahi kukatika
25.ujenzi wa hospitali za kanda, mikoa na wilaya
26. Ujenzi wa mshakama za wilaya
27. Kuongeza idadi ya hifadhi za tsifa na jeshi usu.
28. Kufuta mishahara ya 45,000,000
29. Kuongeza viwanda nchini
30. Kuwaeleza ukweli watanzania kuhusu covid 19
31. Kupunguza urasimu kwa watumishi wa umma
32. Kuanxisha ofisi za msajili wa hati za ardhi kila mkoa na kufuta ofisi za kanda
33. Kukamata wakwepa ushuru
34. Kampuni ya Halotel ya JK , wabia wake kwenda segerea kwa kutokulipa kodi
35. Serikali kununua magari yake kwa mfumo maalumu kupunguza madalali
36. Kiswahili kuanza kutumika mahakamani kutolea hukumu
37. …..,, Samia haya niliyoyataja anayaweza kuyasimamia?kuyaendeleza?kubuni vingine ? CCM tujiuliza maswali kabla hatujamwambia Samia achukue fomu 2025
 

Attachments

  • IMG_3736.MP4
    11.9 MB
Asante kwa live update mkuu. tupia na picha na kadeo.
 
Back
Top Bottom