Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Ukiwa mtu maarufu (e.g. raisi) unapangiwa kila kitu, mpaka kutangazwa kwa siku yako ya kufa.(rejea baba wa taifa)
Hii tarehe Nina mashaka nayo.

Kabla ya tarehe 17 mwezi wa 3 kufika siku tatu nyuma niliona mizinga na wanajeshi wakitokea bagamoyo na kuelekea DAR.

Na mizinga hyo hyo ndo ilitumika kwenye kumuaga magufuli pale uwanjani.

Swali walikuwa keshakufa au walijua kuwa atakufa?wakajiandaa mapema
 
Daaa ila nisiwe mnafiki yule bwana nilikua na wish arudi mavumbini mapema kabla hata ya ule
uchafuzi wa 2020
Nilivyoona kajipitisha Kwa kishindo na team yake ya kijani Kwa 99%
Nilikata tamaa sana juu ya hili Taifa maana niliona tunaenda tumbukia shimoni na dalili za uasi na umwagikaji damu niliuona kwenye mawazo yangu endapo angemaliza miaka yake yote 10 na angeivuruga nchi Kwa kutengeneza mentality za ki Nazi Kwa wafuasi wanaojipendekeza kwake kitu ambacho ni kibaya katika kuongoza Taifa lenye Watu wa itikadi tofauti,

Alale tu huko mavumbini kimya milele maana sikuwahi kumkubali Kwa falsafa zake za ki Jiwe

Ila ana mazuri yake mengi tu hayo yatabakia kama kumbu kumbu Kwa Watu wake,

Rest well JPM!
Aliwatengeneza magufuli wadogo ambao waliamini kuwa ili wafanikiwe ni lazima wamwige JPM.

Hawa vijana walimwona JPM ni role mode wao

Sabaya na Makonda walikuwa role mode wa vijana wa UVCCM

Ule upepo ungeendelea sijui tungeishia wapi
 
Labda mbingu ya mungu Zamarindi, yani uuwe watu, utese watu halafu upelekww mbinguni na kadinali Pengo?

Hivi ndugu zangu wakatoliki hii bangi huwa mnavutia wapi?

Hebu nipe aya ya Biblia inayozungumzia huu ujinga wa Pengo kukupeleka mbinguni.
Alimuua nani? Uweke kabisa na uthibitisho.
 
Leo ni Maadhimisho ya Mwaka mmoja tangu Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli atukote. Maadhimisho hayo yanafanyika mkoani Geita katika wilaya ya Chato.

Maadhimisho hayo yatahudhuriwa na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia suluhu, Makamu wa Rais Dkt. Isdori Mpango, Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi na viongozi mbalimbali wa serikali ya Jamuhuri.

Pia soma Taarifa ya Msiba

Kusoma Historia yake soma zaidi hapa

===
LIVE UPDATES yanayo jili viwanja vya Chato
Hakuna cha kukumbuka ni upuuzi mtupu. Utakuwaje na kumbukumbu ya "heshima" kwa Hitler, Idd Amin, Bokasa, ushetani mtupu.
Wapi alipo Azory Gwanda, wapi alipo Ben Saanane, Wapi alipo Mawazo. Acheni ushetani!
 
Daaa ila nisiwe mnafiki yule bwana nilikua na wish arudi mavumbini mapema kabla hata ya ule
uchafuzi wa 2020
Nilivyoona kajipitisha Kwa kishindo na team yake ya kijani Kwa 99%
Nilikata tamaa sana juu ya hili Taifa maana niliona tunaenda tumbukia shimoni na dalili za uasi na umwagikaji damu niliuona kwenye mawazo yangu endapo angemaliza miaka yake yote 10 na angeivuruga nchi Kwa kutengeneza mentality za ki Nazi Kwa wafuasi wanaojipendekeza kwake kitu ambacho ni kibaya katika kuongoza Taifa lenye Watu wa itikadi tofauti,

Alale tu huko mavumbini kimya milele maana sikuwahi kumkubali Kwa falsafa zake za ki Jiwe

Ila ana mazuri yake mengi tu hayo yatabakia kama kumbu kumbu Kwa Watu wake,

Rest well JPM!
Kuna roho mbaya kuliko kutakia wengine kifo?
 
Africa ilipoteza kichwa hapa, tumebakiza vinega na wezi tu kutoka makunduchi na msoga
 
Hakuna cha kukumbuka ni upuuzi mtupu. Utakuwaje na kumbukumbu ya "heshima" kwa Hitler, Idd Amin, Bokasa, ushetani mtupu.
Wapi alipo Azory Gwanda, wapi alipo Ben Saanane, Wapi alipo Mawazo. Acheni ushetani!
🚮🚮
 
Kweli Leo ndo siku taifa lilitaamaki kwa kifo cha Raisi wa awamu ya tano.kweli kama taifa halikuwa kupitia uzoefu kama uo. Kingine hakuna mtu aliwaza mtu kama yule kwa jinsi alivyojipambanua ang'ekufa haraka namna hile.
Mimi nakubali mtu wa aina ya magufuli tulimtaka kwa pande zoote bahati mbaya kuna pande hakuwa na ubora kabisa . Nakazia hapo kuwa pande fulani alikuwa bora hasa kwa usimamizi wa Mali za umma,na utekelezaji wake changamoto ilikuja upande wa kisiasa hakuweza kuweka ulinganifu mzuri wa kisiasa na hapa palimtia doa Sana kitaifa mpaka kimataifa.
Na kwa jinsi nilivyojawa ona maisha haya mtu mwenye ubora wa kujua na kuelewa kila sehemu bila ubinafsi, upendeleo na chuki kupatikana na akawa Raisi , Bado Sana.
Watanzania inabidi kuelewa ndo asili ya viongozi tulionayo hakuna kiongozi tutapata akawa mlinganifu kabisa.
 
Hii tarehe Nina mashaka nayo.

Kabla ya tarehe 17 mwezi wa 3 kufika siku tatu nyuma niliona mizinga na wanajeshi wakitokea bagamoyo na kuelekea DAR.

Na mizinga hyo hyo ndo ilitumika kwenye kumuaga magufuli pale uwanjani.

Swali walikuwa keshakufa au walijua kuwa atakufa?wakajiandaa mapema
Ndio ameshakufa hivyo,hata ingekuwa tarehe 15, si amekufa?
 
Nipe tathimini ya kiuchumi ya ilo daraja refu la busisi , au huko linako elekea Kuna resources gani ambayo itainua uchumi wetu, otherwise ni zawadi kwa mkwe wake kama wanavyosema wengi
Nawewe mpe zawadi mkweo
 
Hii kitu aisee iliacha doa kubwa mno kwa kweli lisilofutika milele.

1647505767764.png
 
Madikteta wana tabia ya kutaka kila wanachofanya kiwe cha kwanza. Sijui ni sifa au ni matatizo ya akili. Dunia nzima madikteta wanafanana tabia.

Tunashukuru sana Mungu kwa kutupa uhuru siku kama ya leo March 17th, 2021

Tunaona product zake kama kina Sabaya wakipambania uhuru wao ambao walikuwa nao alipokuwepo huyu mwendazake dikteta
No sense...
 
Back
Top Bottom