Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Nipe tathimini ya kiuchumi ya ilo daraja refu la busisi , au huko linako elekea Kuna resources gani ambayo itainua uchumi wetu, otherwise ni zawadi kwa mkwe wake kama wanavyosema wengi
We naye kiazi kwelikweli.

Unaishi kwa maneno yanayosemwa na mafisadi, vyeti feki, malaya, mabeberu na vibaraka wao?

Unatia kinyaa.
 
Yule kwa imani yake na yangu yuko mbinguni alipakwa mafuta ya charisma na Kardinal pengo
na kutubu dhambi zake.
Huu msamaha ni kwa watu wanaoteseka na chuki yao moyoni kwa Magufuli mpendwa.
Mbona una akili kisoda wewe.
Labda mbingu ya mungu Zamarindi, yani uuwe watu, utese watu halafu upelekww mbinguni na kadinali Pengo?

Hivi ndugu zangu wakatoliki hii bangi huwa mnavutia wapi?

Hebu nipe aya ya Biblia inayozungumzia huu ujinga wa Pengo kukupeleka mbinguni.
 
Makosa makubwa sana yalifanyika 2015 naomba tunaoitakia Tanzania mema iwe ni siku ya kujirekebisha makosa yale yasijirudie tena.
 
Mungu ni mwema kwa wote waliompenda na wasiompenda .ila Mungu alimpenda zaidi na alisikia maombi ya wengi ndio maana hayupo.Nchi imekuwa shwari,tuna amani mioyoni mwetu ,watu waliishi kama wako Ukraine why,watanzani walio wengi hawakujua wafanyeje wale waliokua na roho ya "nacist "walishangilia wenzao kufungiwa account, kunyanganywa hela kwa nguvu ,kupotea kwenye mazingira ya kutatanusha na pia kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi.Tuanatoa pole kwa familia Mama Janet na Watoto Mungu awape nguvu ila mmepumua sasa hata umenenepa mama yetu ingawa kuondokewa na Mume sio jambo jepesi
Watu wenye roho mbaya na chuki mna shida sana.
 
Sherehe ya Leo ni kubwa sana hasa tukikumbuka wapendwa wetu waliouwawa na huyu mtu.

Bora alikufa Tena kifo kibaya
Kabla yake mlikuwa mnaishi milele au sasa hivi mtaishi milele?
 
Watu wenye roho mbaya na chuki mna shida sana.
kushinda hii

1647437506375.jpg
 
Jana usiku wa manane nimeota kuwa Bumunda linaombewa😁😁😁
 
Daaa ila nisiwe mnafiki yule bwana nilikua na wish arudi mavumbini mapema kabla hata ya ule
uchafuzi wa 2020
Nilivyoona kajipitisha Kwa kishindo na team yake ya kijani Kwa 99%
Nilikata tamaa sana juu ya hili Taifa maana niliona tunaenda tumbukia shimoni na dalili za uasi na umwagikaji damu niliuona kwenye mawazo yangu endapo angemaliza miaka yake yote 10 na angeivuruga nchi Kwa kutengeneza mentality za ki Nazi Kwa wafuasi wanaojipendekeza kwake kitu ambacho ni kibaya katika kuongoza Taifa lenye Watu wa itikadi tofauti,

Alale tu huko mavumbini kimya milele maana sikuwahi kumkubali Kwa falsafa zake za ki Jiwe

Ila ana mazuri yake mengi tu hayo yatabakia kama kumbu kumbu Kwa Watu wake,

Rest well JPM!
 
Back
Top Bottom