Hii tarehe Nina mashaka nayo.
Kabla ya tarehe 17 mwezi wa 3 kufika siku tatu nyuma niliona mizinga na wanajeshi wakitokea bagamoyo na kuelekea DAR.
Na mizinga hyo hyo ndo ilitumika kwenye kumuaga magufuli pale uwanjani.
Swali walikuwa keshakufa au walijua kuwa atakufa?wakajiandaa mapema
ahahaha,Jana usiku wa manane nimeota kuwa Bumunda linaombewa😁😁😁
View attachment 2153780
Hiyo ilani inaandaliwaje na nani?Hakuna alichobuni Magufuli, Rais anatekeleza ilani ya chama, na ndicho anachofanya Samia, kutekeleza Ilani.
Aliwatengeneza magufuli wadogo ambao waliamini kuwa ili wafanikiwe ni lazima wamwige JPM.Daaa ila nisiwe mnafiki yule bwana nilikua na wish arudi mavumbini mapema kabla hata ya ule
uchafuzi wa 2020
Nilivyoona kajipitisha Kwa kishindo na team yake ya kijani Kwa 99%
Nilikata tamaa sana juu ya hili Taifa maana niliona tunaenda tumbukia shimoni na dalili za uasi na umwagikaji damu niliuona kwenye mawazo yangu endapo angemaliza miaka yake yote 10 na angeivuruga nchi Kwa kutengeneza mentality za ki Nazi Kwa wafuasi wanaojipendekeza kwake kitu ambacho ni kibaya katika kuongoza Taifa lenye Watu wa itikadi tofauti,
Alale tu huko mavumbini kimya milele maana sikuwahi kumkubali Kwa falsafa zake za ki Jiwe
Ila ana mazuri yake mengi tu hayo yatabakia kama kumbu kumbu Kwa Watu wake,
Rest well JPM!
Alimuua nani? Uweke kabisa na uthibitisho.Labda mbingu ya mungu Zamarindi, yani uuwe watu, utese watu halafu upelekww mbinguni na kadinali Pengo?
Hivi ndugu zangu wakatoliki hii bangi huwa mnavutia wapi?
Hebu nipe aya ya Biblia inayozungumzia huu ujinga wa Pengo kukupeleka mbinguni.
Ninaona kalio lako.Weye unaona ni picha yako hiyo?
Hilo ni swali?Uwe unajibu maswali.Siyo kukwepa kwa vinenoneno vya kuchambulia mchele kibarazani.
Ipi?
Hakuna cha kukumbuka ni upuuzi mtupu. Utakuwaje na kumbukumbu ya "heshima" kwa Hitler, Idd Amin, Bokasa, ushetani mtupu.Leo ni Maadhimisho ya Mwaka mmoja tangu Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli atukote. Maadhimisho hayo yanafanyika mkoani Geita katika wilaya ya Chato.
Maadhimisho hayo yatahudhuriwa na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia suluhu, Makamu wa Rais Dkt. Isdori Mpango, Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi na viongozi mbalimbali wa serikali ya Jamuhuri.
Pia soma Taarifa ya Msiba
TANZIA - Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Joseph Magufuli amefariki dunia. Taarifa rasmi iliyotolewa kwa umma na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan kupitia Televisheni ya Taifa (TBC) leo usiku Machi 17, 2021 saa 5 usiku imeeleza kuwa Rais Magufuli amefariki dunia leo majira ya saa 12...www.jamiiforums.com
Kusoma Historia yake soma zaidi hapa
Historia ya Dkt John Pombe Magufuli
Dkt, John Joseph Pombe Magufuli ni mwalimu na mtalaamu wa kemia akiwa na Shahada ya Uzamivu (PhD). Kuzaliwa Alizaliwa Oktoba 29 mwaka 1959 huko Katoma tarafa ya Bugando wilayani Geita jimbo la Geita vijijini. Kipindi hicho Geita ikiwa ni moja ya wilaya mkoa Mwanza. Baadaye wakahamia Chato...www.jamiiforums.com
===
LIVE UPDATES yanayo jili viwanja vya Chato
Kuna roho mbaya kuliko kutakia wengine kifo?Daaa ila nisiwe mnafiki yule bwana nilikua na wish arudi mavumbini mapema kabla hata ya ule
uchafuzi wa 2020
Nilivyoona kajipitisha Kwa kishindo na team yake ya kijani Kwa 99%
Nilikata tamaa sana juu ya hili Taifa maana niliona tunaenda tumbukia shimoni na dalili za uasi na umwagikaji damu niliuona kwenye mawazo yangu endapo angemaliza miaka yake yote 10 na angeivuruga nchi Kwa kutengeneza mentality za ki Nazi Kwa wafuasi wanaojipendekeza kwake kitu ambacho ni kibaya katika kuongoza Taifa lenye Watu wa itikadi tofauti,
Alale tu huko mavumbini kimya milele maana sikuwahi kumkubali Kwa falsafa zake za ki Jiwe
Ila ana mazuri yake mengi tu hayo yatabakia kama kumbu kumbu Kwa Watu wake,
Rest well JPM!
🚮🚮Hakuna cha kukumbuka ni upuuzi mtupu. Utakuwaje na kumbukumbu ya "heshima" kwa Hitler, Idd Amin, Bokasa, ushetani mtupu.
Wapi alipo Azory Gwanda, wapi alipo Ben Saanane, Wapi alipo Mawazo. Acheni ushetani!
Ndio ameshakufa hivyo,hata ingekuwa tarehe 15, si amekufa?Hii tarehe Nina mashaka nayo.
Kabla ya tarehe 17 mwezi wa 3 kufika siku tatu nyuma niliona mizinga na wanajeshi wakitokea bagamoyo na kuelekea DAR.
Na mizinga hyo hyo ndo ilitumika kwenye kumuaga magufuli pale uwanjani.
Swali walikuwa keshakufa au walijua kuwa atakufa?wakajiandaa mapema
SawaYule alikuwa kitambo sn hata wiki 2 kabla
Nawewe mpe zawadi mkweoNipe tathimini ya kiuchumi ya ilo daraja refu la busisi , au huko linako elekea Kuna resources gani ambayo itainua uchumi wetu, otherwise ni zawadi kwa mkwe wake kama wanavyosema wengi
No sense...Madikteta wana tabia ya kutaka kila wanachofanya kiwe cha kwanza. Sijui ni sifa au ni matatizo ya akili. Dunia nzima madikteta wanafanana tabia.
Tunashukuru sana Mungu kwa kutupa uhuru siku kama ya leo March 17th, 2021
Tunaona product zake kama kina Sabaya wakipambania uhuru wao ambao walikuwa nao alipokuwepo huyu mwendazake dikteta