Wale wanaobeza uwanja wa Ndege wa Chato basi angalieni ujumbe huu wa leo kwenye kumbukizi ndio utajua umuhimu wa uwanja ule.
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sio kusimliwa ni sehemu ya hiki kitu, usilazimishe kusafisha choo kwa dodoki la vyombo.Nani alikusimulia? Huyo mzee anaitwa nani? Alikosa mafao yapi?
Kuhoji degree yako ndiyo umuue? Katika ulingo wowote ule huwezi kuondoa uhai wa mtu eti ubaki madarakani! kama Ben angelikuwa anapanga kulipua bomu la nuclear, then he could be justified to do what he didi!I!ndo utaelewa kwann alifanya hivo
asante sana ! Watu wako wanasherehekea ushetaniRIP Ben Saanane, God is Great Tundu Lissu
Too low..ungeweza kutoa comment ya kijinga zaidi ya hii?Takataka kama wewe ukinyimwa uhuru gani au wa kudanga?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hebu tuelezee wewe una umuhimu gani?Wale wanaobeza uwanja wa Ndege wa Chato basi angalieni ujumbe huu wa leo kwenye kumbukizi ndio utajua umuhimu wa uwanja ule.
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
No sense...
Kumtakia muuaji kifo sio roho mbaya mkuu..Hukumbuki nyimbo za Idd Amini tulivyokuwa tukintakia kifo?Kuna roho mbaya kuliko kutakia wengine kifo?
yeah,aliwapa chakula wenye njaaHakika Magufuli alikua ni mtu mwema.
Ina maana mvua hainyeshi Chato ila leo tu?Mara nyingi mvua huwa ni ishara njema inaponyesha.
Leo hapa Chato baaada ya ibada ya kumbukizi ya kifo cha hayati JPM kumalizika inanyesha mvua kubwa sana
Je hii ni ishara gani kwa kwa taifa letu?
Je huyu kiongozi alikuwa na baraka?
Kwani waishio huko ni tumbiliNipe tathimini ya kiuchumi ya ilo daraja refu la busisi , au huko linako elekea Kuna resources gani ambayo itainua uchumi wetu, otherwise ni zawadi kwa mkwe wake kama wanavyosema wengi