Degree ipi uliyonisomesha?Kama una akili sawasawa. Ungeelewa kwamba hajawahi kuponda uwanja kwa maana ya ubora anachosema . Yeye ni mchakato wake kuanzia tenda na gharama zake .pia unazungumzia uhalali wa kujenga huko chato kijijini kwa MAGUFULI. Hizi degree za kudesa zinawaacha uchi kichwani nyie
Tayari ICC kuna majarada ya IGP na maRPC, OCD wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo hovyo vya kuwapiga mabomu risasi wapinzani, mara baada ya uchaguzi mkuu wote watafikishwa ICC The Hague mara moja.uchaguzi huu ni wa tofauti na watu wakivyozoea kuona Polisiccm wakionea wananchi na kuachwa hiviWote tuchukue ushahidi wa ninani anafanya uovu,ili kujenga taifa lenye kuheshimu ,Uhuru,haki na Sheria.
Matumizi mabaya kabisa ya fedha zetuMradi mkubwa wa kutafuna pesa CCM kwa sasa ni mbinu za kuihujumu kuidhoofisha chadema kila anayekwenda na mbinu za kuteketeza chadema anapewa pesa na cyprian Musiba chini ya uratibu wa polepole .
Hiyo ndio Robert Amsterdam!
ICC The Hague tayari wamingiza kwenye list Polisiccm wote walioshiriki hivyo vitendo vya hovyo vya kishamba na kishetaniKauli ya kishujaa ya Lissu muda mchache uliopita kuhusu kwenda Chato.
Very small reasoning capacity.Kuna vipaumbele vya nchi na vya mtu binafsi sio vyote lazima viwe vipaumbele vya Chato vingine ni vya kitaifa
Mfano Serengeti kuna uwanja wa ndege lakini si kipau mbele cha wana Serengeti ni cha kitaifa
Mfano kipaumbele cha wana Chato ni Lissu? au CHADEMA?
Afie mbele huko
Pesa za chadema hutumika kujihami dhidi ya hujuma lukuki tokea CCM pia hutumika kugharamia kesi kesi za kubambikiwa na CCM kila kona ya Tanzania na zingine hutumika kuimarisha chama ndiyo maana chadema ipo licha ya CCM kutumia gharama kubwa kuiangamizaMatumizi mabaya kabisa ya fedha zetu
Chato international airporti) Kwanini haustahili kuwa Chato?
ii) Ulitakiwa kuwa wapi?
Sema Bangi hukidhi matakwa ya Mtumiajiiii hahaha ujingaaa kabisa huuMgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.
Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.
Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.
Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu CHADEMA imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.
Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
-------------------------- --------------------
Yanayoendelea saa 4 Asubuhi
Mgombea wa Urais Tundu Lissu amekutana na wanachama nje ya Hoteli aliyofikia mjini Kahama kabla ya kuondoka kuelekea kwenye kampeni.
Lissu amesema Jana usiku mgombea Ubunge CDM Jimbo la Chato alivamiwa na kuharibiwa Mali zake na maharamia wanaifanyia hivyo ili kumtishia asiende Chato.
Lissu ameonya hatatishika na ataingia Chato na kufanya mkutano Mkubwa wa Kampeni.Lissu ameitaka Dunia kutega masikio kuelekea Chato leo jioni.
Kabla ya kuhutubia Chato jioni hii Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Mbogwe na Bukombe
View attachment 1598334
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Ooh kumbeHuyo ni internal auditor wa mabeberu kitambo tu.
Ni mdogo wake Polepole.Hiyo ndio Robert Amsterdam!
Chadema ndio kimbilio la Wananchi walionyimwa haki na kuonewa na Serikali ya CCM wanaCCM wenyewe waliowengi tuko nao humu ChademaPesa za chadema hutumika kujihami dhidi ya hujuma lukuki tokea CCM pia hutumika kugharamia kesi kesi za kubambikiwa na CCM kila kona ya Tanzania na zingine hutumika kuimarisha chama ndiyo maana chadema ipo licha ya CCM kutumia gharama kubwa kuiangamiza
Hawawezi, kama risasi zilishindwa itakua mawe!!Huo ufala wako usidhani mungu hakuoni ukichukua jiwe kabla ya kurusha malaika watakuadhibu
Nimeuliza swali afu unauliza swali?,shenzi kabisa.Taja faida za kiuchumi ukiwepo pale.
Uza ubongo huo maana unaumiliki kwa hasara. Inaonekana unaishi ili ule na sio kinyume chake.Hairusiwi kimataifa toka mashamba I ya kigaidi Marekani viwanja vyote vya ndege duniani unaenda ukiwa unasafiri au unadindikiza msafiri Huwezi kwenda kutalii sio mbuga ile ndio maana zamani uwanja wa Ndege wa Dar es salaam tulikuwa tukienda kutalii unapanda juu hata harusi tukienda nazo lakini vyote vilipigwa marufuku .Hivyo Huwezi kwenda eti nakuja kutalii sisafiri Wala Nini nakuja tu kutalii
Ndio maana Wanawake waupe wamekua wakisifiwaNi mdogo wake Polepole.View attachment 1598776
Halafu wenyewe wanasingizia matumizi ya ruzuku yao ni mabaya. Ila Kila Mara najaribu kuwakumbusha, kuwa uhai wa chama wanachoona ni adui wao nii Mara Sana, kwasababu wanatumia vizuri rasilimali chache waliyonayo kujenga chama, hata wanaona no chama tishio kwao na wanatumia nguvu zote kujaribu kukwamisha harakati zao. Kama uongo jitokezeni mjibu kwa hoja.Pesa za chadema hutumika kujihami dhidi ya hujuma lukuki tokea CCM pia hutumika kugharamia kesi kesi za kubambikiwa na CCM kila kona ya Tanzania na zingine hutumika kuimarisha chama ndiyo maana chadema ipo licha ya CCM kutumia gharama kubwa kuiangamiza