Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Degree ipi uliyonisomesha?
 
Wote tuchukue ushahidi wa ninani anafanya uovu,ili kujenga taifa lenye kuheshimu ,Uhuru,haki na Sheria.
Tayari ICC kuna majarada ya IGP na maRPC, OCD wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo hovyo vya kuwapiga mabomu risasi wapinzani, mara baada ya uchaguzi mkuu wote watafikishwa ICC The Hague mara moja.uchaguzi huu ni wa tofauti na watu wakivyozoea kuona Polisiccm wakionea wananchi na kuachwa hivi
 
Mradi mkubwa wa kutafuna pesa CCM kwa sasa ni mbinu za kuihujumu kuidhoofisha chadema kila anayekwenda na mbinu za kuteketeza chadema anapewa pesa na cyprian Musiba chini ya uratibu wa polepole .
Matumizi mabaya kabisa ya fedha zetu
 
Kauli ya kishujaa ya Lissu muda mchache uliopita kuhusu kwenda Chato.

ICC The Hague tayari wamingiza kwenye list Polisiccm wote walioshiriki hivyo vitendo vya hovyo vya kishamba na kishetani
 
Very small reasoning capacity.
 
Matumizi mabaya kabisa ya fedha zetu
Pesa za chadema hutumika kujihami dhidi ya hujuma lukuki tokea CCM pia hutumika kugharamia kesi kesi za kubambikiwa na CCM kila kona ya Tanzania na zingine hutumika kuimarisha chama ndiyo maana chadema ipo licha ya CCM kutumia gharama kubwa kuiangamiza
 
i) Kwanini haustahili kuwa Chato?

ii) Ulitakiwa kuwa wapi?
Chato international airport
Yaani tutegeeme mashirika makubwa ya ndege kutua pale chato kuleta watu kutoka sehemu mbalimbali duniani

Mpaka leo Ni safari ngapi za ndege zimeshafanyika kupitia huo uwanja

Ajira ngapi zimetengenezwa kupitia uwanja

Wana chato wanafaidika vipi na uwepo wa huo uwanja
Wana uhitaji kiasi gani wa usafiri wa ndege Kama baadhi ya maeneo ambayo Yana changamoto ya barabara ukiwapelekea lami wakushukuru, chato wanashukuru kiasi gani baada ya kuwajengea uwanja na kutatua changamoto yao ya usafiri wa ndege iliyowasumbua kwa muda mrefu?

Sijui chato imependelewa kiasi gani katika awamu hii
Lakini sio kweli kwamba matatizo yote ya wanachato yametatuliwa
Elimu kuanzia waalimu majengo mpaka vifaa,
Mahospitali sio kujenga majengo tu kuanzia madaktari vifaa vya huduma na huduma zenyewe
Maji je Kila Kaya chato inapata maji Safi na salama kutoka idara ya maji? Au angalau asilimia 50 au zaidi?
Kama Ni wafugaji mifugo Ina maeneo mazuri ya malisho na hakuna migogoro?
Vipi kuhusu mabwana mifugo na Kama Ni wakulima wanalima kilimo Cha aina gani uhakika wa maji kwaajili ya mashamba na mabwana shamba ili wazingatie kilimo Cha kisasa
Ni billion ngapi zimelala pale bila faida yoyote?
Kama wapinzani wakijianga pale chato wanaenda kuchukua kata zote na Jimbo lenyewe
 
Sema Bangi hukidhi matakwa ya Mtumiajiiii hahaha ujingaaa kabisa huu
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.

Kwani tz kuna ukabila?
 
Chadema ndio kimbilio la Wananchi walionyimwa haki na kuonewa na Serikali ya CCM wanaCCM wenyewe waliowengi tuko nao humu Chadema

Mwaka huu nasikia wamamuandaa Jecha mwingine huku Bara
 
Uza ubongo huo maana unaumiliki kwa hasara. Inaonekana unaishi ili ule na sio kinyume chake.
 
Halafu wenyewe wanasingizia matumizi ya ruzuku yao ni mabaya. Ila Kila Mara najaribu kuwakumbusha, kuwa uhai wa chama wanachoona ni adui wao nii Mara Sana, kwasababu wanatumia vizuri rasilimali chache waliyonayo kujenga chama, hata wanaona no chama tishio kwao na wanatumia nguvu zote kujaribu kukwamisha harakati zao. Kama uongo jitokezeni mjibu kwa hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…