We utakosa pepo hivi hivi. Kwa Mwenyezi Mungu hakunaga uongo uongo halisi na wa utani. Wote ni uongo.Ukishakuwa mpinzani siku zote INA maana umejitambua hutaki tena kupelekwa.hebu Nipe mfano mmoja Wa maana ccm mwenye akili hata mmoja.kuanzia mwenyekiti mpaka mwanachama wa mwisho kama ukinitajia mmoja mi nahama.
Kauli ya kishujaa ya Lissu muda mchache uliopita kuhusu kwenda Chato.
Utalii huo ni mzuri , na huyo mdada kapendeza sana. Hiyo ni sehemu ya kampeni na anaifanya kampeni ndani ya jiji linalozidi kung'alishwa na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.Kweli utalii wa kwny coaster ni bora sana.View attachment 1598713
Lissu ni zaidi hata ya tapeli, sasa hivi anahutubia Mbogwe, anadai amepita barabara mbaya sana, na eti serikali imeshindwa kuijenga!! angekuta barabara angesema "Watanzania hawahitaji maendeleo ya vitu bali maendeleo ya watu" Hilo jamaa ni tapeli la kuogopwaHakika ni YEYE! Hakuna kutetereka, hakuna kutishika, hakuna kupinda kauli! Go Lissu goooooooo!
Ilani ya CCM ya sasa ni uonevu uovu unyanyasaji kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wakosoaji wote, kwa sasa maccm yote yanaishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCMUtalii huo ni mzuri , na huyo mdada kapendeza sana. Hiyo ni sehemu ya kampeni na anaifanya kampeni ndani ya jiji linalozidi kung'alishwa na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.
Matusi ni mtu aliyefirisika kiakili nakupa jibu.Nimeuliza swali afu unauliza swali?,shenzi kabisa.
Kipindi cha kampeni lazima mapungufu ya CCM yaanikwe live bila kujali mada inaongelea niniMkuu acha kuamisha magoli.
Namkubali sana Lissu hasa kwa 'Akili' yake Kubwa, Kujiamini na kuwa 'Legal Guru' mzuri tu ila kusema kuwa atashinda mbele ya JPM ni ndoto mno.
Ndo madhara ya kuongoza kwa kumsikiliza kagame anataka nini badala ya kuwasikiliza watz wanataka nini,laiti Kama ccm ingewasikiliza watz wanataka nini wasingepata tabu hizi sasaKipindi cha kampeni lazima mapungufu ya CCM yaanikwe live bila kujali mada inaongelea nini
6- kugawa Tausi kwenda kenyaMatusi ni mtu aliyefirisika kiakili nakupa jibu.
Faida 5 za uwanja wa chato kwa wanachato.maana wenye kumudu kupanda ndege ukifanya sensa upati hata watu 10.
1.Kujifunzia kuendeshea bodaboda,
2.kuanikia mazao
3.kuchungia mifugo
4.kuvutia
5.kufanyia mazoezi ya watu wawili usiku
Mapungufu halisi hayana shida, ninavyowajua CCM watayafanyia kazi. Lakini mapungufu ya uzushi, fitina, uongo nakadhalika hayo lazima yapuuzwe!!!Kipindi cha kampeni lazima mapungufu ya CCM yaanikwe live bila kujali mada inaongelea nini
Sa mbona mnamponda anayejenga vitu kwa kizazi kijacho (na kilichopo)!Mpumbavu huangalia upana wa nyayo zake bali mtu mwerevu hutengeneza mirathi ya kizazi cha nne cha uzao wake.
Lisu yuko juu mno ya upeo wenu unaoishia kwenye wali maharage, khanga na kofia!.
Mtasubiri sana unafikiri hawajitambui kama nyinyiImekula Kwenu Wanachama wote wa NSSF tunakwenda kuwanyoosha tarehe 28
Sasa hivi Lissu anahutubia kakikundi ka vijana na watoto wa wanachadema leo sijasikia neno nyomi, zaidi ya wale makamanda wanaosafirigi na mabasi siku 1 kabla kutoka Tarime, Kagera, Mbeya na Arusha wanaokuaga wanashangilia hata akiachia ushuzi wao wanapiga keleleJibu hoja acha uvuvuzela.
Kuna waarabu wachina wahindi na matajiri wamelazimishwa kwenda kununua viwanja chato wajenge mahoteli viwanda kwa nguvu ili chato ikue kwa kulazimisha pasipo lidhaa ya wafanyabiashara wenyewe kuna uonevu unyanyasaji mwingi kwenye utawala huu dhalimu wa kidiktetaChato haikuwepo kwenye ila ya ccm 2015 bali ni maamuzi binafsi ya mgombea kwa faida zake yeye binafsi
https://www.jamiiforums.com/data/video/2587/2587844-aa5b6b5a7b0df279df6b891d75542569.mp4Unaweza ukauthibitisha ukabila wa Magu? Pia nimetamka ukabila hapo!