Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani lakini pesa za viwanda zinatumika kudidimiza demokrasia kuihujumu chadema kuua upinzani kuwabambikia kesi hawataki maendeleo wamekalia mambo yasiyo na tija kurejesha mfumo wa chama kimoja, pesa inayotumika kwa mambo ya hovyo ni nyingi mno ni pesa ambazo wangewekeza kwenye kujenga daraja mpaka Zanzibar, kujenga vyuo vikuu kila wilaya, kujenga Hosptal za rufaa kila mkoa, kujenga barabara nzuri vijijini kote wangevuna kura pasipo kutumia Polisiccm NECCCM kuwabeba kwa njia haramu za kishetani.
 
Ukishakuwa mpinzani siku zote INA maana umejitambua hutaki tena kupelekwa.hebu Nipe mfano mmoja Wa maana ccm mwenye akili hata mmoja.kuanzia mwenyekiti mpaka mwanachama wa mwisho kama ukinitajia mmoja mi nahama.
We utakosa pepo hivi hivi. Kwa Mwenyezi Mungu hakunaga uongo uongo halisi na wa utani. Wote ni uongo.
 
CCM ya sasa imejaa wageni mwenyekiti anatokea Burundi na katibu mkuu anatokea Rwanda na makamu mwenyekiti anatokea Malawi ndiyo maana CCM ya sasa inapenda sera za uonevu unyanyasaji mwingi kiliko CCM zingine za nyerere mwinyi mkapa kikwete
 
Hakika ni YEYE! Hakuna kutetereka, hakuna kutishika, hakuna kupinda kauli! Go Lissu goooooooo!
Lissu ni zaidi hata ya tapeli, sasa hivi anahutubia Mbogwe, anadai amepita barabara mbaya sana, na eti serikali imeshindwa kuijenga!! angekuta barabara angesema "Watanzania hawahitaji maendeleo ya vitu bali maendeleo ya watu" Hilo jamaa ni tapeli la kuogopwa
 
Utalii huo ni mzuri , na huyo mdada kapendeza sana. Hiyo ni sehemu ya kampeni na anaifanya kampeni ndani ya jiji linalozidi kung'alishwa na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.
Ilani ya CCM ya sasa ni uonevu uovu unyanyasaji kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wakosoaji wote, kwa sasa maccm yote yanaishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
 
Nimeuliza swali afu unauliza swali?,shenzi kabisa.
Matusi ni mtu aliyefirisika kiakili nakupa jibu.
Faida 5 za uwanja wa chato kwa wanachato.maana wenye kumudu kupanda ndege ukifanya sensa upati hata watu 10.
1.Kujifunzia kuendeshea bodaboda,
2.kuanikia mazao
3.kuchungia mifugo
4.kuvutia
5.kufanyia mazoezi ya watu wawili usiku
 
Namkubali sana Lissu hasa kwa 'Akili' yake Kubwa, Kujiamini na kuwa 'Legal Guru' mzuri tu ila kusema kuwa atashinda mbele ya JPM ni ndoto mno.

Mkuu bila kupunguza thamani ya ulichosema naomba nisaidie jambo, hivi system huwa ni nini, na muundo wake ukoje? Na ni sifa zipi hutumika kumpata mtu wa system? Wangalau kwa weledi wako unaweza kunifumbua macho na kunisogeza mahali. Najua mbali ya itikadi yako, lakini sina shaka na weledi wako.
 
Kipindi cha kampeni lazima mapungufu ya CCM yaanikwe live bila kujali mada inaongelea nini
Ndo madhara ya kuongoza kwa kumsikiliza kagame anataka nini badala ya kuwasikiliza watz wanataka nini,laiti Kama ccm ingewasikiliza watz wanataka nini wasingepata tabu hizi sasa
 
Matusi ni mtu aliyefirisika kiakili nakupa jibu.
Faida 5 za uwanja wa chato kwa wanachato.maana wenye kumudu kupanda ndege ukifanya sensa upati hata watu 10.
1.Kujifunzia kuendeshea bodaboda,
2.kuanikia mazao
3.kuchungia mifugo
4.kuvutia
5.kufanyia mazoezi ya watu wawili usiku
6- kugawa Tausi kwenda kenya
 
Kipindi cha kampeni lazima mapungufu ya CCM yaanikwe live bila kujali mada inaongelea nini
Mapungufu halisi hayana shida, ninavyowajua CCM watayafanyia kazi. Lakini mapungufu ya uzushi, fitina, uongo nakadhalika hayo lazima yapuuzwe!!!
 
Mpumbavu huangalia upana wa nyayo zake bali mtu mwerevu hutengeneza mirathi ya kizazi cha nne cha uzao wake.

Lisu yuko juu mno ya upeo wenu unaoishia kwenye wali maharage, khanga na kofia!.
Sa mbona mnamponda anayejenga vitu kwa kizazi kijacho (na kilichopo)!
 
Jibu hoja acha uvuvuzela.
Sasa hivi Lissu anahutubia kakikundi ka vijana na watoto wa wanachadema leo sijasikia neno nyomi, zaidi ya wale makamanda wanaosafirigi na mabasi siku 1 kabla kutoka Tarime, Kagera, Mbeya na Arusha wanaokuaga wanashangilia hata akiachia ushuzi wao wanapiga kelele
 
Chato haikuwepo kwenye ila ya ccm 2015 bali ni maamuzi binafsi ya mgombea kwa faida zake yeye binafsi
Kuna waarabu wachina wahindi na matajiri wamelazimishwa kwenda kununua viwanja chato wajenge mahoteli viwanda kwa nguvu ili chato ikue kwa kulazimisha pasipo lidhaa ya wafanyabiashara wenyewe kuna uonevu unyanyasaji mwingi kwenye utawala huu dhalimu wa kidikteta
 
Hapo chato kuna kero manyanyaso mengi mno ndiyo maana maccm yanahaha kumhujumu Tundu lisu akose umakini wa kuongea vizuri
 
Back
Top Bottom