Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

..ammendments inawezekana kwa wana-ccm tu.

..catherine ruge mgombea wa cdm serengeti alijaribu kufanya ammendments akaishia kupigwa na kudhalilishwa na polisi.
Ammendment siyo kujibadilishia ratiba mwenyewe bali unawaambia tume kuwa kuna mabadiliko ya ratiba yako na hivyo polisi nao wanafahamishwa; polisi wanapata taarifa za ratiba za wagombea kutoke tume, hawazitoi kwa wagombea wenyewe. Sasa kama Catherine alibadlilisha ratiba bila kutoa taarifa kwa authorities ni dalaili za kutokujua taratibu za kisheria. Uanaharakati na taratibu za kisheria ni vitu viwili tofauti. Tume ingeweza kumwambia kuwa badala ya kufanya mkurtonao wako muda A, ni vizuri uufanya muda B kwa sababu kuna chama kingine kitakuwa kwenye eneo hilo muda huo huo A unaoutaka
 
I hope too sio Magufuli tu bali viongozi wote wakemee kilichotokea.

Hila msikilize na Lissu kumbe ata yeye alijua kwenda Chato ni kununua ugomvi na wenyeji (wala sio Magu) kwa ivyo kuna lawama za kugawana na Lissu anazake kama alijua kilichopo mbele na kuamua kwenda ivyo ivyo.
Mkuu hebu jaribu kuwa kati kidogo! Magufuli amefanya mkutano Ikungi nyumbani kwa Lissu.
Wenyeji ambao wengine ni ndugu wa damu wa Lissu pamoja na tetesi kuhusu jaribio LA maisha yake lakini hakuna hata kuguna katika hotuba yake.
Wale wenye hasira naye walijipumzikia majumbani au kuendelea na shughuli zao. Hiyo ndio demokrasi, wameshindwa nini Chato? Au kwa vile ni kazi ya malipo? Ona yule kijana aliyerusha mawe mbele ya polisi akijua polisi hawatamfanya kitu yaliyo mkuta ndani ya nusu dakika kwa vijana wa Chadema! Sasa anauguza majeraha na sio ajabu kesho parapanda ikalia. Jee ndiyo tunataka hayo?
 
Ammendment siyo kujibadilishia ratiba mwenyewe bali unawaambia tume kuwa kuna mabadiliko ya ratiba yako na hivyo polisi nao wanafahamishwa; polisi wanapata taarifa za ratiba za wagombea kutoke tume, hawazitoi kwa wagombea wenyewe. Sasa kama Catherine alibadlilisha ratiba bila kutoa taarifa kwa authorities ni dalaili za kutokujua taratibu za kisheria. Uanaharakati na taratibu za kisheria ni vitu viwili tofauti. Tume ingeweza kumwambia kuwa badala ya kufanya mkurtonao wako muda A, ni vizuri uufanya muda B kwa sababu kuna chama kingine kitakuwa kwenye eneo hilo muda huo huo A unaoutaka

..Catherine Ruge alikwenda kwa msimamizi kuomba ammendments.

..Jesca Kishoa alikwenda kwa msimamizi kuomba ammendments.

..wote wawili wameishia kupata matatizo wakati wakifuatilia ammendments zao.

..wasimamizi wanakwamisha ammendments, halafu wana-Cdm wakilalamika, wanaitiwa polisi na kuishia kupigwa na kudhalilishwa.

..siyo kweli kwamba Cdm hawajui sheria au hawafuati sheria, ila wasimamizi wa uchaguzi wamekuwa ni tatizo kubwa.
 
..Catherine Ruge alikwenda kwa msimamizi kuomba ammendments.

..Jesca Kishoa alikwenda kwa msimamizi kuomba ammendments.

..wote wawili wameishia kupata matatizo wakati wakifuatilia ammendments zao.

..wasimamizi wanawakwamisha ammendments, halafu wana-Cdm wakilalamika, wanaitiwa polisi na kuishia kupigwa na kudhalilishwa.

..siyo kweli kwamba Cdm hawajui sheria au hawafuati sheria, ila wasimamizi wa uchaguzi wamekuwa ni tatizo kubwa.
hapo sawa-nimekuelewa; ila wanatakiwa pia kupeleka malalamiko yao kwenye ofisi za tume kitaifa iwapo hao wa vijijini, tarafani na wailayanoi wanawazingua kabbla ya kuvunja sheria.
 
Jamani rais Magufuli alifanya campaign Singida watu wa Singda walimpa heshima yake. Kwa nini yeye akaruhusu wahuni na policcm wamfanyie Lissu fujo? Haoni kuwa ni aibu kwake? Unajua kwa nini kiongozi akija katika nchi yako ni muhimu umlinde sana ili asipatikane na shida katika nchi yako kwani ni aibu ya nchi lolote lilitokea! Ni hivyo hivyo kwa mgombea uraisi. Kwa mwenzako wakikupa heshima na wewe lazima urudishe heshima ile ile!
Hili limetia Chato doa kubwa!
 
Jamani rais Magufuli alifanya campaign Singida watu wa Singda walimpa heshima yake. Kwa nini yeye akaruhusu wahuni na policcm wamfanyie Lissu fujo? Haoni kuwa ni aibu kwake? Unajua kwa nini kiongozi akija katika nchi yako ni muhimu umlinde sana ili asipatikane na shida katika nchi yako kwani ni aibu ya nchi lolote lilitokea! Ni hivyo hivyo kwa mgombea uraisi. Kwa mwenzako wakikupa heshima na wewe lazima urudishe heshima ile ile!
Hili limetia Chato doa kubwa!
Sasa huo ustaarabu unaotaka Magufuli auoneshe atautoa wapi???, ....kuvunja sheria kunako mnufaisha kwake huwa si kosa.
 
Kumbe ilipangwa mapema??
Wameyasema haya mapema na kuwa mpango huo uliratibiwa na viongozi wa CCM wilaya na mkoa.
Lakini kama inavyoonekana ni vijana wachache ambao kama wafuasi wa Chadema wangeamua kujibu mapigo baada ya polisi kukauka mauaji makubwa yangetokea.
Uhakika wa kuwa polisi nao walikuwa kwenye uratibu huo ni, jee kwa nini Jana tuu pale Kahama wafuasi waliokuwa wanamsindikiza Lissu kwa amani wamepigwa mabomu na mmoja risasi ya moto? Mbona hawa warusha mawe hata kirungu hakikutumika?
Nilimsikia Askofu Mwamakula akimsihi Lissu kuwa kama akijakuchukua madaraka asilipe kisasi kwa vyombo vya dola vilivyo mfanyia ushenzi.
Mie namuomba Lissu (ambaye uwezekano wa kushinda ni [emoji817] %) yeye asijihusishe na visasi akae pembeni na kushughulikia maendeleo na FURAHA ya wananchi. Nitafute Chakaza niteue Ubunge kisha uwaziri mambo ya ndani for only 3 month tena kwa kujitolea ili nishikishe adabu watu wa wizara hiyo waliotumia madaraka vibaya kuumiza watu.
 
Ndio kaccoordinate maana huwa anahuwa chato hawampendi kwa miaja 15 hawajawahi kumchaguwa magufuli anateka wagombea kuuwa kuwafichia fomu mazoea hayana dawa mchezo ameufanya chato miaka yote hiyo analeta nchi nzima sasa ndio kiama chake
Watu wsmesombwa kutoka BARIADI halafu unasema chato ni ngome ya cdm
 
hapo sawa-nimekuelewa; ila wanatakiwa pia kupeleka malalamiko yao kwenye ofisi za tume kitaifa iwapo hao wa vijijini, tarafani na wailayanoi wanawazingua kabbla ya kuvunja sheria.

..sheria zetu za uchaguzi zina matatizo mengi sana. lakini kwa bahati mbaya wanaoathirika ni wapinzani peke yao. ccm wao hawaathiriwa na sheria mbaya za uchaguzi.

..ushauri kwamba wapinzani wakinyimwa haki ktk ngazi ya chini wanatakiwa kulalamika ktk ngazi ya taifa ni mzuri.

..tatizo ni kwamba maamuzi yakitoka ktk ngazi ya taifa yanarudi kwa msimamizi ktk ngazi ya wilaya au jimbo kuyatekeleza. sasa maagizo ya ngazi ya juu yakirudi ngazi ya wilaya, au jimbo, figisu zinaanza upya tena kuwakwamisha na kuwahujumu wagombea wa upinzani.

..kwa mfano, kuna wagombea udiwani wa Cdm mpaka wiki iliyopita walikuwa wameshindwa kuanza kampeni. Na tatizo lilikuwa ni msimamizi ktk ngazi ya jimbo kuchelewa kutekeleza maamuzi yaliyotoka ktk ngazi ya tume taifa. Tume inadai imepeleka barua kwa msimamizi ktk ngazi ya wilaya kwamba wagombea wameshinda rufaa, lakini msimamizi anadai hajapokea maagizo hayo.

..Pamoja na kuwepo kwa matangazo ktk magazeti kuonyesha kwamba tume ngazi ya taifa imeridhia rufaaa za wagombea, bado wasimamizi walikataa kuwapa ruhusa wagombea kuanza kampeni.

..Tunakwenda kupiga kura tarehe 28, lakini kuna wagombea wa vyama vya upinzani wameanza kampeni zao wiki jana, au wiki hii, kutokana na figisu za wasimamizi wa uchaguzi. Na hapo tunazungumzia figisu za wagombea, bado hatujui nini kitatokea kwa mawakala wa vyama vya upinzani.

..Kwa kweli kama taifa tunatakiwa ku-clean up our election laws and processes lakini sijui ni nani ataifanya kazi hiyo.
 
Mkuu hebu jaribu kuwa kati kidogo! Magufuli amefanya mkutano Ikungi nyumbani kwa Lissu.
Wenyeji ambao wengine ni ndugu wa damu wa Lissu pamoja na tetesi kuhusu jaribio LA maisha yake lakini hakuna hata kuguna katika hotuba yake.
Wale wenye hasira naye walijipumzikia majumbani au kuendelea na shughuli zao. Hiyo ndio demokrasi, wameshindwa nini Chato? Au kwa vile ni kazi ya malipo? Ona yule kijana aliyerusha mawe mbele ya polisi akijua polisi hawatamfanya kitu yaliyo mkuta ndani ya nusu dakika kwa vijana wa Chadema! Sasa anauguza majeraha na sio ajabu kesho parapanda ikalia. Jee ndiyo tunataka hayo?
Binafsi si support physical attacks kwa raia wala kiongozi yoyote kwa sababu za siasa.

Baada ya kusema hayo lazima tuelewe Tanzania ni kubwa sana na watu wake wana viji culture vinavyopishana in terms of what they can tolerate kutokana na maeneo yao.

Kwa ivyo lazima tuelewe mfano mtu kama Gwajima kutokana na kauli zake za huko nyuma wakazi wa Dar wanaweza mvumilia, wakampotezea na pengine kusahau na maisha yakaendelea. Lakini siku akitua Zanzibar au Pemba asichukulie kauli zake kule zimechukuliwa poa.

Similarly kuna watu kwao ni mashujaa machoni mwa wengi ata kama sio wote, unapokuwa unamtukana kwenye majukwaa halafu uende na nyumbani kwao kujaribu kumtukana you are asking for trouble.

Pili acheni kumfananisha Magufuli na Lissu. Magufuli bado ni raisi wa nchi analindwa na security kubwa sana, moja wapo la lengo la security ni ku deter any criminal actions ndio maana wanajionyesha awajifichi.

Sasa we ukiangalia ule msafara wa Magu ambapo pengine kuanzia mpiga picha wake na wote walio karibu yake ni security officers kuna anaeweza jaribu kurusha jiwe kweli? Angalia ule msafara wake na bado kunakuwa na local police presence kila anaposimama.

Si ajabu Magufuli akawa mmoja wa maraisi wenye ulinzi mkubwa duniani, that gives him the luxury ya kwenda popote anapotoa taarifa mapema ndani ya Tanzania.

Mwisho wa siku lazima tukubali pia Lissu provoked the situation ata yeye anajua hilo. Wakati tunalaumu baadhi ya hao waliofanya fujo lazima na Lissu nae aambiwe ukweli aikuwa busara na yeye kwenda Chato ukizingatia aina ya kauli zake dhidi ya Magufuli kila uchao.
 
Jamani rais Magufuli alifanya campaign Singida watu wa Singda walimpa heshima yake. Kwa nini yeye akaruhusu wahuni na policcm wamfanyie Lissu fujo? Haoni kuwa ni aibu kwake? Unajua kwa nini kiongozi akija katika nchi yako ni muhimu umlinde sana ili asipatikane na shida katika nchi yako kwani ni aibu ya nchi lolote lilitokea! Ni hivyo hivyo kwa mgombea uraisi. Kwa mwenzako wakikupa heshima na wewe lazima urudishe heshima ile ile!
Hili limetia Chato doa kubwa!
Hii inaendelea kudhihirisha hitimisho ambalo baadhi yetu tuliishalifanya kitambo kuwa Magufuli ni limbukeni, limbukeni, limbukeni ama mshamba wa madaraka. Yeye kwa vile ni rais kutokana na CCM basi alitaka na kujenga ndoto za alinacha kuwa atawageuza waTz wote wawe CCM. Kampeni hizi zimemthibitishia ushamba wake. Sasa pia anafikiri kwa vile yeye anatokea Chato, basi waChato wote wawe CCM! Tukiuita ujinga tutakuwa tumempendelea. Ni upumbavu! Haijawahi kutokea ulimwenguni humu viumbe wote wakawa na mtazamo mmoja. Hata walioutengeneza ulimwengu - Mungu na Shetani, walitofautiana na kila mmoja ana wafuasi wake. Lakini tufahamu kuwa Mungu ana makusudi yake kwa kutupatia limbukeni huyu - kama si leo ni kesho!!!!!
 
Binafsi si support physical attacks kwa raia wala kiongozi yoyote kwa sababu za siasa.

Baada ya kusema hayo lazima tuelewe Tanzania ni kubwa sana na watu wake wana viji culture vinavyopishana in terms of what they can tolerate kutokana na maeneo yao.

Kwa ivyo lazima tuelewe mfano mtu kama Gwajima kutokana na kauli zake za huko nyuma wakazi wa Dar wanaweza mvumilia, wakampotezea na pengine kusahau na maisha yakaendelea. Lakini siku akitua Zanzibar au Pemba asichukulie kauli zake kule zimechukuliwa poa.

Similarly kuna watu kwao ni mashujaa machoni mwa wengi ata kama sio wote, unapokuwa unamtukana kwenye majukwaa halafu uende na nyumbani kwao kujaribu kumtukana you are asking for trouble.

Pili acheni kumfananisha Magufuli na Lissu. Magufuli bado ni raisi wa nchi analindwa na security kubwa sana, moja wapo la lengo la security ni ku deter any criminal actions ndio maana wanajionyesha awajifichi.

Sasa we ukiangalia ule msafara wa Magu ambapo pengine kuanzia mpiga picha wake na wote walio karibu yake ni security officers kuna anaeweza jaribu kurusha jiwe kweli? Angalia ule msafara wake na bado kunakuwa na local police presence kila anaposimama.

Si ajabu Magufuli akawa mmoja wa maraisi wenye ulinzi mkubwa duniani, that gives him the luxury ya kwenda popote anapotoa taarifa mapema ndani ya Tanzania.

Mwisho wa siku lazima tukubali pia Lissu provoked the situation ata yeye anajua hilo. Wakati tunalaumu baadhi ya hao waliofanya fujo lazima na Lissu nae aambiwe ukweli aikuwa busara na yeye kwenda Chato ukizingatia aina ya kauli zake dhidi ya Magufuli kila uchao.
Hakika.
JamiiForums-1874524951_428x320.jpg
 
Acha ujinga huo, haki yako iko tarehe 28 Oktoba, 2020 (sasa hivi JPM yuko, Dar, Rungwe Dom, - sasa huku waliko wagombea wakipopolewa mawe tutakuwa na uchaguzi tena)?
Labda uyo ni mwanafamilia ana hasira kweli kweli.
 
Back
Top Bottom