Voltage kama zote....huko kwny tasnia karibia wote wameunga kwenye gridi. Ila maisha yanasonga sio tatizo tena.Ruge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.
Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkuu
homeboy nikiwa na maana ya mtu tunaejuana mtaani,, na sio ndugu kwa damu, mtaani kwetu haturuhusu mtu apumuliwe kisogoni ila mwana ndo kashaleft group sasa sie tutafanyaje.Kwenu mnakubali wanaume kupumliwa kisogoni? Ref cocastic
Ukiwa masikini mwanamke hata mtoto atapewa mwingine ukiwa tajiri utasingiziwa hadi watoto.Mungu anakuoneniYaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.
Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah
Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikiri wapi?Wew ndo unasemaa ilaa hamida alikirii nengaa alimkulaa sema baada ya Kumzaa dylan ilaa ukweli naoneshaa walikuwa wanakulana hata kablaaa...
Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweliEtiii hawapati "Ngoma"?? Chain ni ndefu....kwakuwa ukimwi wa sasa ni ngumu kujua ila wenyewe wanajijua ,Ni kazeze ni kazeze ni kazeze.
Nenga ni punda huyo ,kwahiyo mtonyo alikuwa nao wa kuweza kubang na warembo kama kina Mobeto.
Wanajiongelesha tu hawa naoMbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
Acha kujitia ujuaji kwenye mambo ya maana, kwa hiyo wewe huwezi msaidia mzazi wako mgonjwa?? Kuumwa ni umaskini? Kama Mtoto asipomsaidia Mzazi wake akasaidiwe na nani??Yaani badala mzazi uzae mtoto ili uendeleze uzao wako na aendeleze mali zako.
Watanzania tunazaa ili tusaidiane umasikini na shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zako ndo watapooza wote na wewe mwenyeweMjazeni ujinga tu,
Hako katoto ndio katakuja kumuosha akiwa hoi kitandani kwa maradhi ya kupooza mwili.
Sawa Baba Levo,Ndugu zako ndo watapooza wote na wewe mwenyewe
Pole sana Juma Lokole sikujua kama umekasirika namna hii.... i hope umevaa diaper
Usiwasemee moyo hawa bongo sanaaHamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
Daah dada yangu umenifanya ni cheke then ni tafakari kwa hiyo type za Hamisa ni zipi?Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Utauponza huo uchiSawa Baba Levo,
Haya nenda kamzalie watoto wanne uliomuahidi
Sio kosa lake
We hujielewi kila mtu unamuita majina ya wanaume unaotaka wakukule ila haiwezekani ...Pole sana Juma Lokole sikujua kama umekasirika namna hii.... i hope umevaa diaper
Utawaweza watu walioshiba ugali maharage akili zao huishia pafupi,
Yaani hiyo ya kusema wasanii wana HIV ndio imekua silaha ya kuwa defend kwenye magumu yao wanayopitia.