Voltage kama zote....huko kwny tasnia karibia wote wameunga kwenye gridi. Ila maisha yanasonga sio tatizo tena.Ruge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.
Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkuu