Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Ruge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.

Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkuu
Voltage kama zote....huko kwny tasnia karibia wote wameunga kwenye gridi. Ila maisha yanasonga sio tatizo tena.
 
Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.

Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah

Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa masikini mwanamke hata mtoto atapewa mwingine ukiwa tajiri utasingiziwa hadi watoto.Mungu anakuoneni
 
Etiii hawapati "Ngoma"?? Chain ni ndefu....kwakuwa ukimwi wa sasa ni ngumu kujua ila wenyewe wanajijua ,Ni kazeze ni kazeze ni kazeze.

Nenga ni punda huyo ,kwahiyo mtonyo alikuwa nao wa kuweza kubang na warembo kama kina Mobeto.
Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
 
Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
Wanajiongelesha tu hawa nao
 
Yaani badala mzazi uzae mtoto ili uendeleze uzao wako na aendeleze mali zako.
Watanzania tunazaa ili tusaidiane umasikini na shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujitia ujuaji kwenye mambo ya maana, kwa hiyo wewe huwezi msaidia mzazi wako mgonjwa?? Kuumwa ni umaskini? Kama Mtoto asipomsaidia Mzazi wake akasaidiwe na nani??

Movies zinawaharibu kwa kudhani Maisha ya Wazungu ndio yapo hivyo na kuanza kujidharau wenyewe,

Kovu la Utumwa ni Kovu baya kuwahi kutokea duniani.
 
Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Usiwasemee moyo hawa bongo sanaa
 
Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli

Ngoma ina ustrage mwingi sana ,mwenye ngoma anajifungua vizuri tu na mtoto anazaliwa fresh bila maambukizi ,wanaotumia dawa vizuri inakuwa ngumu kuambukiza ila tasnia imeoza si bongo mavi wala ubongo lala fleva,kwahuyo nandy ndio asiseme kitu Ruge kaichakata hadi basi yaani alikuwa anatwangwa kote kote Ruge along side Nenga!
 
Wanasemaga UKIWA na ela ndio utapata mapenzi ya dhati ni big NO Nina ushuhuda WA bro wangu mmoja ivi alichomekewa MIMBA watu wakamtonya Sio wako HUYO....siku kachukua kile kiumbe kamdanganya mama yake natoka NAYE out mwanagu kumbe kaenda KUCHEKI DNA NASHUKURU hakumuua yule mwanamke zaidi ya kumfukuza na KITOTO kishaanzaga chekechea za mamilioni izi dah
 
Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Daah dada yangu umenifanya ni cheke then ni tafakari kwa hiyo type za Hamisa ni zipi?

Au selection ya baba ilifanywa based on type ya Hamisa na si mwenye mzigo wake.

Hamisa mwenye mdangaji unaweza ukakuta yy ndiye aliye mshawishi Nenga.
 
Utawaweza watu walioshiba ugali maharage akili zao huishia pafupi,
Yaani hiyo ya kusema wasanii wana HIV ndio imekua silaha ya kuwa defend kwenye magumu yao wanayopitia.

Huo ndiyo ukweli hata ukipinga ,wasanii wameungua na hii inasababishwa kwa kulana wao kwa wao hovyo hovyo!! Ila ngoma ya sasa hauwezi kuijua kwa kuangalia muonekano.

Nenda clinic wanazogawa dozi ndio utajua au ukipata Dr ambaye hana maadili vizuri akikuhadithia ndiyo utaelewa.

Masikini na Matajiri wote kuna magumu wanapitia ,hakuna binaadamu hana changamoto ila zinatofautiana na pia usione kila mtu humu JF amepigika wengine wapo njema wanakuja humu kuchangamsha genge.
 
Back
Top Bottom