Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

waislamu mshaulini chibu ni muislamu mwenzenu anaendekeza zinaa mpo tu mmenyamaza ila mkisikia kitimoto mnashupaza shingo.
Kuwa mwerevu wa kuchangia hoja, hapa waisalamu wameingiaje na iman yao ya kukataa kitimoto.


Kama una hasira za wazi nakusihi tafuta mahapa ukae assa kheir zitashuka hasira zako inshaallah
 
Gonjwa hili limezua.....
 
Nenga na Linah tena [emoji849] aloo jamaa kakichafua kumbe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe na Nenga nae alipitamo...duuh hii kali nilikua sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…