Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

waislamu mshaulini chibu ni muislamu mwenzenu anaendekeza zinaa mpo tu mmenyamaza ila mkisikia kitimoto mnashupaza shingo.
Kuwa mwerevu wa kuchangia hoja, hapa waisalamu wameingiaje na iman yao ya kukataa kitimoto.


Kama una hasira za wazi nakusihi tafuta mahapa ukae assa kheir zitashuka hasira zako inshaallah
 
Ruge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.

Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkubwa.
Gonjwa hili limezua.....
 
Mobetto na Nenga wamekulanaaa sanaaa, tena hata kabla Nenga hajatua kwa Linah, wala sio story mpyaa mjini. Labda hukuwa unafatilia udaku mwayaaa.

Na ni kweli wakati ulee Dylan alikua ameshazaliwa kitambooooo, sijui labda walianzaa zaman hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenga na Linah tena [emoji849] aloo jamaa kakichafua kumbe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu angalia jaguar alivyokua na damu nzito, [emoji16][emoji16][emoji16]
Wanawake acheni dhambi,
View attachment 2451145
120199537_1807887902721438_6957825703712639791_n.jpg
 
Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.

Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah

Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe na Nenga nae alipitamo...duuh hii kali nilikua sijui
 
Back
Top Bottom