China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

Hiyo Harmony inatumia application gani?
Kama ni za android basi hiyo ni clone ya android.
Chukulia mfano huu
OS hii za simu hazingliani extension za application
Ios, Android, Blackberry OS, Symbian, Java na windows phone hivyo hivyo kwa Linux na Windows.
Kwa mfano mimi nikatengeneza OS yangu nikaita Impact OS halafu inatumia application za Android, hapo nitasema nina OS yangu?
Kwani application za Android Ni zipi ?
 
Nimetumia Instagram kwenye Windows phone mbona
App ya windows phone ilikuja late nadhan 2013 au 14 kabka ya official instagram ilikuwepo moja ilikuwa sijui inaitwaje lakini inamalizika na gram ila haikuwa poa.
Windows phone ilikuwa haina apps kibao pendwa kwa watu na nyingine zilikuwa zinachelewa sana.
Sema pia nadhani waliikatisha mapema wangekomaa miaka 4 mbele nahisi ingetoboa. Zilikuwa simu poa sana zina camera kali.
Developers walitufelisha pale
 
Kwa sasa hajafika ila kwa kasi aliyo nayo atamfikia na kumpita.
Maana kila anachofanya mwishi anabeba crown. Na tofauti ma nchi nyingi unakuta ni mashuhuri kwa vitu fulani, yeye anataka awe mashuhuri kwa kila kitu. Si uunzi wa magari, ndege, rocket, meli, silaha, research papers, electronics yani anataka kote kote awepo kama si 1 basi 2.
Baada ya miaka 20 Mungu akituweka hai tutashuhudia mengi
Marekani ndio iko vizuri kwenye kila kitu sio China
  • Kwenye laptop Marekani yuko juu
  • Kwenye simu Marekani yuko juu
  • Kwenye space exploration Marekani yuko juu
  • Kwenye kilimo, angalia matrekta yenye nguvu zaidi duniani, utakuta ya Ujerumani, India ila Mmarekani naye lazima umkute ila sio China
  • Simu nyingi za China zinazofanya vizuri zinatumia Android (ya Mmarekani)
  • Laptop zinategemea Windows (Mmarekani)
  • OS iliyoleta ushindani kwa Android ni iOS ambazo zote ni za Mmarekani mwenyewe
  • Kwenye laptop washindani wakuu wa Windows ni Chromebook OS na MacOS tena ni za Mmarekani mwenyewe, Wachina wenyewe wanatumia sana hizi
*China ndio ina iPhones nyingi kushinda hata Marekani ambako ndio zinatokea
* Kama ni michezo Marekani iko vizuri kwenye basketball, angalia NBA
*Makampuni popular ya chip za simu ni Qualcomm, MediaTek na ushindani wanaletewa na Apple Bionic. Wote hawa ni Wamarekani. Can you imagine [emoji23]
* Kwenye sanaa, muziki wa Marekani uko vizuri kuliko wa China
*Movie za Marekani ni za teknolojia ya hali ya juu sana yani huku Mchina hagusi hata robo
  • Kwenye magari Marekani iko vizuri kuliko China
  • Kwenye masuala ya AI bado Mmarekani anafanya vizuri
*Ukiongelea uchumi wa mtu mmoja mmoja Marekani iko vizuri


Huoni kama Marekani ndio iko vizuri kwenye kila kitu na sio China?
China hawezi kuizidi Marekani labda kama unaongelea kuizidi GDP pekee
 
Najua haujaijua Huawei vizuri, upande wa simu ndio sanctions ya Marekani imeumiza lakini Huawei is more than smartphones

Na upande wa smartphones amerudi sasa ni suala la muda kuona Huawei anarudi kivingine kwenye soko la dunia
Biashara kubwa nyingine ya Huawei no kwenye kubuni na kuzalisha telecommunications equipment Kwa makumuni ya mitandao ya simu,5G items nk .
Ingawa pia huko nako wamempa vikwazo
 
Simi ya mwisho ya huawei umetumia simu gani? Mate 60 pro hiyo iliyotoka juzi juzi inaenda kuuza únits milion 17. Demand ni kubwa kuliko uzalishaji.
Shida ni kwamba sisi watumiaji wa google ecosystem kuinunua ni kujitesa
"Shida ni kwamba sisi watumiaji wa google ecosystem kuinunua ni kujitesa"

Afadhali umeelewa kwa nini Huawei atapata tabu kutafuta soko nje ya China
 
Biashara kubwa nyingine ya Huawei no kwenye kubuni na kuzalisha telecommunications equipment Kwa makumuni ya mitandao ya simu,5G items nk .
Ingawa pia huko nako wamempa vikwazo
Vikwazo everywhere
Hayo ndio madhara ya kukorofishana na wababe wa dunia. Umeota nywele kwapani juzi then unaanza kukoromea watu wazima? Ndio yaliyomkuta Huawei [emoji1][emoji1]
 
Marekani ndio iko vizuri kwenye kila kitu sio China
  • Kwenye laptop Marekani yuko juu
  • Kwenye simu Marekani yuko juu
  • Kwenye space exploration Marekani yuko juu
  • Kwenye kilimo, angalia matrekta yenye nguvu zaidi duniani, utakuta ya Ujerumani, India ila Mmarekani naye lazima umkute ila sio China
  • Simu nyingi za China zinazofanya vizuri zinatumia Android (ya Mmarekani)
  • Laptop zinategemea Windows (Mmarekani)
  • OS iliyoleta ushindani kwa Android ni iOS ambazo zote ni za Mmarekani mwenyewe
  • Kwenye laptop washindani wakuu wa Windows ni Chromebook OS na MacOS tena ni za Mmarekani mwenyewe, Wachina wenyewe wanatumia sana hizi
*China ndio ina iPhones nyingi kushinda hata Marekani ambako ndio zinatokea
* Kama ni michezo Marekani iko vizuri kwenye basketball, angalia NBA
*Makampuni popular ya chip za simu ni Qualcomm, MediaTek na ushindani wanaletewa na Apple Bionic. Wote hawa ni Wamarekani. Can you imagine [emoji23]
* Kwenye sanaa, muziki wa Marekani uko vizuri kuliko wa China
*Movie za Marekani ni za teknolojia ya hali ya juu sana yani huku Mchina hagusi hata robo
  • Kwenye magari Marekani iko vizuri kuliko China
  • Kwenye masuala ya AI bado Mmarekani anafanya vizuri
*Ukiongelea uchumi wa mtu mmoja mmoja Marekani iko vizuri


Huoni kama Marekani ndio iko vizuri kwenye kila kitu na sio China?
China hawezi kuizidi Marekani labda kama unaongelea kuizidi GDP pekee?
Ngoja nilale nikiamka kesho nitakuletea stastics za vitu ambavyo china anaongoza. Kwa kuanzia tu nusu ya order za meli zote zinazoundwa duniani anaziunda mchina, sasa hivi ndiye anaongoza kwa kuuza magari, tech ya train zenye kasi mchina, hizo train za maglev ziko china, korea, japan na mchina anazo nyingi zaidi.
Kesho nikiamka Inshallah ntakuketea vitu anavyoongoza.
Kwa sasa mchina hajampita mmarekani ila kwakuwa anataka kufanya kila kitu baada ya muda atamkaba na baada ya muda zaidi tukiwa hai huenda akampita.
Usiku mwema
 
Ngoja nilale nikiamka kesho nitakuletea stastics za vitu ambavyo china anaongoza. Kwa kuanzia tu nusu ya order za meli zote zinazoundwa duniani anaziunda mchina, sasa hivi ndiye anaongoza kwa kuuza magari, tech ya train zenye kasi mchina, hizo train za maglev ziko china, korea, japan na mchina anazo nyingi zaidi.
Kesho nikiamka Inshallah ntakuketea vitu anavyoongoza.
Kwa sasa mchina hajampita mmarekani ila kwakuwa anataka kufanya kila kitu baada ya muda atamkaba na baada ya muda zaidi tukiwa hai huenda akampita.
Usiku mwema
Usiku mwema na kwako pia
 
"Shida ni kwamba sisi watumiaji wa google ecosystem kuinunua ni kujitesa"

Afadhali umeelewa kwa nini Huawei atapata tabu kutafuta soko nje ya China
Vitu vinabadilika. Akitengeneza ecosystem nzuri watu watahama. Umesahau kipindi yahoo kadominate. Inaweza kuchukua muda lakini with time na ulazima watu wazoea tu
 
Umeandika kana kwamba wote tunaelewa kinachoendelea kati ya US na china.
 
Mkuu lile dude limeanzwa tengenezwa 2004 kwa ushirikiano wa nasa na shirika la anga la ulaya.
Ukiangalia mpaka linakamilika na kurudhwa ni miaka mingi kaisi kwamba kuna baadhi ya vitu ndani yake vitakuwa outdated.
So, mimi ninaamini watu wanaweza kutake advantage ya tech ya sasa kuunda kitu bora zaidi.
Njia aliyosema atatumia alitoa sababu kwanini ni better kuliko kuweka darubini sehemu moja
James Webb imetumia pia experience ya Hubble. Kuna gap kubwa sana kiteknolojia kati ya Hubble na Webb na vilevile nchi ambayo haijapitia kwa teknolojia kama Hubble kuna vitu itakosa itatumia muda na trial and errors nyingi kufanikiwa.

Kwenye space kuna stage hazirukwi, yani kinachofanywa na Iran kwa sasa kimefanywa na Marekani miaka ya 1960s ila Iran haiwezi ruka stage kisa kwa sasa teknolojia imekua duniani.

Wakati huo successor ya Webb ilitajwa jina itarushwa kwenye 2040s uko. Sisi tuendelee kuwa machawa hatuna mipango mikakati.

Alafu hivi vitu inategemea na aliyeunda anatafuta nini. China wanataka sana kujua resources zilizopo nje, suala ambalo US na USSR walianza nalo ila wakajua chenga ndio maana ukiona zile craters karibia zote kwenye mwezi na sayari kama Mara zina majina ya Kirusi na Kimarekani. Baadae unaona NASA wapo mara wanatafuta maji mara wanatafuta hewa ya oksijeni na life like habitat. So sio rahisi vifananie ila kwa image generation Webb ni hatari, sababu inatafuta sayari, ulimwengu wa mbali, black holes, etc.
 
Watu hawataki kutoa hela zao kununua vitu kwa mashakamashaka

Kwa nini ununue Huawei expensive isiyo na Google services legally wakati Xiaomi, Oppo au Vivo zenye Google services zipo
Yani unanunua simu expensive then unaanza kuhangaika kukesha mitandaoni "How to get Google services in Huawei phones [emoji1][emoji1]"
Dunia haina huo muda, Ni wachache wapo tayari kuhimili usumbufu huo otherwise inawafaa Wachina tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huawei za zamani zilikuwa zinatumia chip za Mmarekani na OS ya Mmarekani, vitu ambavyo dunia inahitaji ndio maana kazi ya Huawei ilikuwa ni kutengeneza hardware bora then Mmarekani anamalizia that's why aliweza kuwa mkubwa kama wenzake akina Samsung na Apple

Sasa huyu wa sasa hivi kakaa Kichinachina, nani nje ya China atamtaka. Soko lake safari hii litakua ndani hukohuko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahahah
😄 🤣 Huwezi amini hapa uk walikuwa wanatamka Hyundai tofauti na linavyotamkwa kwao
Kwa sasa kwenye advertising naona wameambiwa watamke kama wanavyoita wenye mali inaitwa Haandei na wazungu wamebadili sasa 😄
Ila ndio mali yao mkuu
Sijui Kipanya ataitaje gari lake likija huku sungusungu litakuwa bora 😄 just kidding
handei 😀
 
Huawei anazidi kuishangaza dunia na kuonyesha kuwa sanctions hazifanyi kazi.
Baada ya kuwashangaza na simu zenye socs alizounda mwenyewe na ambazo demand ni kubwa kuliko hata uzalishaji wake kitu ambacho kilifanya US azidi kukaza vikwazo na watu wabaki midomo wazi maana walitegemea kwa nguvu zake mwenyewe itamchukua labda hadi 2029, sasa juzi katangaza ujio wa Kirin 9006C yenye 5nm technology.

US atajuta kwa sanctions kwa sababu alichojaribu kuzuia ni kama ametia petrol kwenye moto. Sanctions hazifanyi kazi kwa China.
View attachment 2845584
Yaani hapa hujaeleza.point hata moja umesimulia tu
.
Ulipaswa utuambie what is krini 9006C. Je Technology yake how far is it from tha of US. What benefits are we going to get with the chip?
 
Be specific
Taja hizo sector
20231219_065035.jpg
images.png
images (4).jpeg
images (1).png
Screenshot_20231219-072034_WhatsApp.jpg

Biggest Share in Global Manufacturing:

🇨🇳 China: 28.7%
🇺🇸 United States: 16.8%
🇯🇵 Japan: 7.5%
🇩🇪 Germany: 5.3%
🇮🇳 India: 3.1%
🇰🇷 South Korea: 3%
🇮🇹 Italy: 2.1%
🇫🇷 France: 1.9%
🇬🇧 United Kingdom: 1.8%
🇮🇩 Indonesia: 1.6%

*Global Manufacturing Output
Source: World Bank

20231123_150639.png
20231121_092208.jpg
20231003_210248.jpg
images.png
 
Yaani hapa hujaeleza.point hata moja umesimulia tu
.
Ulipaswa utuambie what is krini 9006C. Je Technology yake how far is it from tha of US. What benefits are we going to get with the chip?
Nimeweka kwenye jukwaa la tech nikiassume wengi wanaelewa. Technology ni hiyo 5nm mafucturing technology. Na point si kwamba ameipita US bado, ila kwa ban aliyowekewa walitegemea hata 7nm aweze walau kuitengeneza 2029 lakini badala yake 7nm na 5nm zote ameziachieve ndani ya less than 4 years.
By the way intel katangaza kuja na 2nm, so unawza kuona kuwa US bado yuko mbele ila china ana catch up kwa haraka so withini time huenda wakawa even.
 
Utashangaa hiyo computer yake mpya itatumia Windows ya kampuni ya Microsoft (Marekani) au naye atatengeneza OS yake?
Nilipenda sana hizi battle za Linux na Windows, hapa nilitegemea mchina atakuja na Operating system yake lkn holaa mpaka leo.
Hapo ni sawa na kutengeneza gari halafu engine ni ya Marekani bado mchina anazidi kumnufaisha Marekani tu kwa software zake
Anajiandaa kuanza kuitumia Os yake ya Harmony NEXT kama sikosei mwakani kwenye huduma zake zote,yaani kwenye Ecosystems ya vifaa vyake vyote.
 
Back
Top Bottom