Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Kwani application za Android Ni zipi ?Hiyo Harmony inatumia application gani?
Kama ni za android basi hiyo ni clone ya android.
Chukulia mfano huu
OS hii za simu hazingliani extension za application
Ios, Android, Blackberry OS, Symbian, Java na windows phone hivyo hivyo kwa Linux na Windows.
Kwa mfano mimi nikatengeneza OS yangu nikaita Impact OS halafu inatumia application za Android, hapo nitasema nina OS yangu?
App ya windows phone ilikuja late nadhan 2013 au 14 kabka ya official instagram ilikuwepo moja ilikuwa sijui inaitwaje lakini inamalizika na gram ila haikuwa poa.Nimetumia Instagram kwenye Windows phone mbona
Marekani ndio iko vizuri kwenye kila kitu sio ChinaKwa sasa hajafika ila kwa kasi aliyo nayo atamfikia na kumpita.
Maana kila anachofanya mwishi anabeba crown. Na tofauti ma nchi nyingi unakuta ni mashuhuri kwa vitu fulani, yeye anataka awe mashuhuri kwa kila kitu. Si uunzi wa magari, ndege, rocket, meli, silaha, research papers, electronics yani anataka kote kote awepo kama si 1 basi 2.
Baada ya miaka 20 Mungu akituweka hai tutashuhudia mengi
Be specificKuna sekta kamfikia na kumpita kuna zingine wanachuana, kuna zingine Marekani kampiga gap China
Biashara kubwa nyingine ya Huawei no kwenye kubuni na kuzalisha telecommunications equipment Kwa makumuni ya mitandao ya simu,5G items nk .Najua haujaijua Huawei vizuri, upande wa simu ndio sanctions ya Marekani imeumiza lakini Huawei is more than smartphones
Na upande wa smartphones amerudi sasa ni suala la muda kuona Huawei anarudi kivingine kwenye soko la dunia
"Shida ni kwamba sisi watumiaji wa google ecosystem kuinunua ni kujitesa"Simi ya mwisho ya huawei umetumia simu gani? Mate 60 pro hiyo iliyotoka juzi juzi inaenda kuuza รบnits milion 17. Demand ni kubwa kuliko uzalishaji.
Shida ni kwamba sisi watumiaji wa google ecosystem kuinunua ni kujitesa
Vikwazo everywhereBiashara kubwa nyingine ya Huawei no kwenye kubuni na kuzalisha telecommunications equipment Kwa makumuni ya mitandao ya simu,5G items nk .
Ingawa pia huko nako wamempa vikwazo
Ngoja nilale nikiamka kesho nitakuletea stastics za vitu ambavyo china anaongoza. Kwa kuanzia tu nusu ya order za meli zote zinazoundwa duniani anaziunda mchina, sasa hivi ndiye anaongoza kwa kuuza magari, tech ya train zenye kasi mchina, hizo train za maglev ziko china, korea, japan na mchina anazo nyingi zaidi.Marekani ndio iko vizuri kwenye kila kitu sio China
*China ndio ina iPhones nyingi kushinda hata Marekani ambako ndio zinatokea
- Kwenye laptop Marekani yuko juu
- Kwenye simu Marekani yuko juu
- Kwenye space exploration Marekani yuko juu
- Kwenye kilimo, angalia matrekta yenye nguvu zaidi duniani, utakuta ya Ujerumani, India ila Mmarekani naye lazima umkute ila sio China
- Simu nyingi za China zinazofanya vizuri zinatumia Android (ya Mmarekani)
- Laptop zinategemea Windows (Mmarekani)
- OS iliyoleta ushindani kwa Android ni iOS ambazo zote ni za Mmarekani mwenyewe
- Kwenye laptop washindani wakuu wa Windows ni Chromebook OS na MacOS tena ni za Mmarekani mwenyewe, Wachina wenyewe wanatumia sana hizi
* Kama ni michezo Marekani iko vizuri kwenye basketball, angalia NBA
*Makampuni popular ya chip za simu ni Qualcomm, MediaTek na ushindani wanaletewa na Apple Bionic. Wote hawa ni Wamarekani. Can you imagine [emoji23]
* Kwenye sanaa, muziki wa Marekani uko vizuri kuliko wa China
*Movie za Marekani ni za teknolojia ya hali ya juu sana yani huku Mchina hagusi hata robo
*Ukiongelea uchumi wa mtu mmoja mmoja Marekani iko vizuri
- Kwenye magari Marekani iko vizuri kuliko China
- Kwenye masuala ya AI bado Mmarekani anafanya vizuri
Huoni kama Marekani ndio iko vizuri kwenye kila kitu na sio China?
China hawezi kuizidi Marekani labda kama unaongelea kuizidi GDP pekee?
Usiku mwema na kwako piaNgoja nilale nikiamka kesho nitakuletea stastics za vitu ambavyo china anaongoza. Kwa kuanzia tu nusu ya order za meli zote zinazoundwa duniani anaziunda mchina, sasa hivi ndiye anaongoza kwa kuuza magari, tech ya train zenye kasi mchina, hizo train za maglev ziko china, korea, japan na mchina anazo nyingi zaidi.
Kesho nikiamka Inshallah ntakuketea vitu anavyoongoza.
Kwa sasa mchina hajampita mmarekani ila kwakuwa anataka kufanya kila kitu baada ya muda atamkaba na baada ya muda zaidi tukiwa hai huenda akampita.
Usiku mwema
Vitu vinabadilika. Akitengeneza ecosystem nzuri watu watahama. Umesahau kipindi yahoo kadominate. Inaweza kuchukua muda lakini with time na ulazima watu wazoea tu"Shida ni kwamba sisi watumiaji wa google ecosystem kuinunua ni kujitesa"
Afadhali umeelewa kwa nini Huawei atapata tabu kutafuta soko nje ya China
James Webb imetumia pia experience ya Hubble. Kuna gap kubwa sana kiteknolojia kati ya Hubble na Webb na vilevile nchi ambayo haijapitia kwa teknolojia kama Hubble kuna vitu itakosa itatumia muda na trial and errors nyingi kufanikiwa.Mkuu lile dude limeanzwa tengenezwa 2004 kwa ushirikiano wa nasa na shirika la anga la ulaya.
Ukiangalia mpaka linakamilika na kurudhwa ni miaka mingi kaisi kwamba kuna baadhi ya vitu ndani yake vitakuwa outdated.
So, mimi ninaamini watu wanaweza kutake advantage ya tech ya sasa kuunda kitu bora zaidi.
Njia aliyosema atatumia alitoa sababu kwanini ni better kuliko kuweka darubini sehemu moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu hawataki kutoa hela zao kununua vitu kwa mashakamashaka
Kwa nini ununue Huawei expensive isiyo na Google services legally wakati Xiaomi, Oppo au Vivo zenye Google services zipo
Yani unanunua simu expensive then unaanza kuhangaika kukesha mitandaoni "How to get Google services in Huawei phones [emoji1][emoji1]"
Dunia haina huo muda, Ni wachache wapo tayari kuhimili usumbufu huo otherwise inawafaa Wachina tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huawei za zamani zilikuwa zinatumia chip za Mmarekani na OS ya Mmarekani, vitu ambavyo dunia inahitaji ndio maana kazi ya Huawei ilikuwa ni kutengeneza hardware bora then Mmarekani anamalizia that's why aliweza kuwa mkubwa kama wenzake akina Samsung na Apple
Sasa huyu wa sasa hivi kakaa Kichinachina, nani nje ya China atamtaka. Soko lake safari hii litakua ndani hukohuko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwaei,ilikuwa zaman sahiv ni kopo kama Motorola
handei ๐๐ ๐คฃ Huwezi amini hapa uk walikuwa wanatamka Hyundai tofauti na linavyotamkwa kwao
Kwa sasa kwenye advertising naona wameambiwa watamke kama wanavyoita wenye mali inaitwa Haandei na wazungu wamebadili sasa ๐
Ila ndio mali yao mkuu
Sijui Kipanya ataitaje gari lake likija huku sungusungu litakuwa bora ๐ just kidding
Yaani hapa hujaeleza.point hata moja umesimulia tuHuawei anazidi kuishangaza dunia na kuonyesha kuwa sanctions hazifanyi kazi.
Baada ya kuwashangaza na simu zenye socs alizounda mwenyewe na ambazo demand ni kubwa kuliko hata uzalishaji wake kitu ambacho kilifanya US azidi kukaza vikwazo na watu wabaki midomo wazi maana walitegemea kwa nguvu zake mwenyewe itamchukua labda hadi 2029, sasa juzi katangaza ujio wa Kirin 9006C yenye 5nm technology.
US atajuta kwa sanctions kwa sababu alichojaribu kuzuia ni kama ametia petrol kwenye moto. Sanctions hazifanyi kazi kwa China.
View attachment 2845584
Be specific
Taja hizo sector
Nimeweka kwenye jukwaa la tech nikiassume wengi wanaelewa. Technology ni hiyo 5nm mafucturing technology. Na point si kwamba ameipita US bado, ila kwa ban aliyowekewa walitegemea hata 7nm aweze walau kuitengeneza 2029 lakini badala yake 7nm na 5nm zote ameziachieve ndani ya less than 4 years.Yaani hapa hujaeleza.point hata moja umesimulia tu
.
Ulipaswa utuambie what is krini 9006C. Je Technology yake how far is it from tha of US. What benefits are we going to get with the chip?
Anajiandaa kuanza kuitumia Os yake ya Harmony NEXT kama sikosei mwakani kwenye huduma zake zote,yaani kwenye Ecosystems ya vifaa vyake vyote.Utashangaa hiyo computer yake mpya itatumia Windows ya kampuni ya Microsoft (Marekani) au naye atatengeneza OS yake?
Nilipenda sana hizi battle za Linux na Windows, hapa nilitegemea mchina atakuja na Operating system yake lkn holaa mpaka leo.
Hapo ni sawa na kutengeneza gari halafu engine ni ya Marekani bado mchina anazidi kumnufaisha Marekani tu kwa software zake