China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

Ni nyingi mkui, hapa Zanzibar kwa mama Janet nakula kilo 1 kwa wiki sasa kwa mwezi kilo 4, kwa mwaka kilo 48. Sijafika kilo 70.
 
Unavyo fanya mlinganisho unatakiwa kuangalia vitu vingi mojawapo ni idadi ya watu. Maana Bongo unaweza kukuta watu wenye Kula Wana wastani wa kilo 100 kwa mwaka
 
Kwahiyo wananchi wengi wa china wana mapepo maana kipindi kile YESU baada ya kuyaondoa mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Kuna utot halafu kuna utoto wa kipumbavu kama huu.
Mbona shetani alitupwa duniani lakini ninyi bado mpo mnazaliana duniani na mnakula ya dunia?
Pamoja na dunia kuwa chini utawala wa shetani lakini bado mnaifurahia]!
 
Kwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Akili za hovyo,. Ulisoma vizuri Bible kweli!? Unaijua wale nguruwe walienda wapi!? Na uliambiwa wale ndio nguruwe waliokuwepo nchi/Dunia nzima!?
Nyama ya nguruwe ni tamu sana❤️.
 
No research no right to Speak - Chairman Mao.
Ni hivi aslimia
Mpange huyo madame mjuaji kuwa . solium taeniosis/cysticercosis/neurocysticercosis haisambai kwakula nyama ya pork tu.
Unaweza kuwa hauli kitimoto na ukaumwa via ingestion of contaminated water or food.
. Kutokuwa na matumizi mazuri ya vyoo pia
. Ufugaji holela wa nguruwe
Hizi sababu zote zipo zaidi kwenye nchi maskini au uchumi wa Kati.
 
🐷🐷🐷🐷 Ritz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…