China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

ACHANA NA MATUMIZI YA BANGI
 
Kumbe na Marekani ambaye hawezi kwenda vitani msaada na rundo la washirika wake naye sio super power?
NATO literally ni marekani, hivyo vi nchi vingine ni bendera tu, kama haufikirii sawasawa hauwezi kuelewa hilo.
 
Mbona wamagharibi hawakuona aibu kuisapoti Marekani alipo kuwa ana zivamia nchi nyingine?
 
Ni suala la muda mpaka lini? Tayari ametangaza donbase kua ni ardhi ya urusi. Na leo kwenye mkutano wake ameweka wazi kua watajenga bandari za kimkakati kwe black sea, azov nk... maana yake urusi anaenda kujenga miundombinu ya biashara kwenye ardi yake mpya.

Hivi unajua utajiri wa hayo majimbo mawili? Embu google hapo yalikua yanachangia asilimia ngapi ya pato la Ukraine.

Ukiwa Ukraine watashindwa kurudisha ardhi hii na vita bado vinaendelea... Ukraine itawakuta yale ya korea... nchi yao itagawanywa kwa wakubwa. Ila kusema Ukraine atashinda vita dhid ya urusi huu ujinga hata kichaa hawez kuamini.
 
NIMEELEWA KWANINI MRUSI ANATUMIA WAKABAJI NA WEZI, KUMBE ALIKUWA ANAVIZIA WAMAGHARIBI WAINGIE MAZIMA ATIE MEDANI RASMI.KWA CHINA NADHANI BAADA YA KUSUMBULIWA TAIWAN ANATAKA KUMUINESHA AMERIKA KWAMBA WEWE NI MSICHANA KAMA WASICHANA WENGINE.Utofauti upo kwamba wewe emerika ni shangingi.ngoma inogile.
 
Kariri.HUKUONA PUTO KWA KAKA MKUBWA NI KAWAIDA KWA WATANZANIA KURAHISISHA MAMBO SABABU YA UKARIRIFU.
 
Hapa kitufe cha like kiko kimoja ila kimoyoni nimekupa likes 1000.
 
Sio lazima wazibe, usahihi ni kwamba anauza na anapo pakufanyia biashara.MBONA MAPAMBANO BADO YANAENDELEA.TUANGALIE NA KUUSUBIRIA WAKATI.Kama kubishana tushabishana sana.Wengine toka wadogo Ussr amerika.tutulie tucheki mtanange.
 

Kugawanyika kiitikadi ni jambo la kawaida sana. Lakini kupambana waziwazi kivita kwa kugawa silaha maeneo ya vita na katika kipindi cha vita kwa makundi hasimu ni jambo jipya.
 
Umeandika kama mtu mwenye uwezo mdogo sana kiakili.
 
Biden yupo Ukraine. Ampige bomu tuone kweli yupo vizuri.
Russia anaomba msaada wa silaha China na North Korea. Huoni kama hapa Putin ameshafeli tayari?

Kuomba misaada ya silaha ni jambo la kawaida. Hata Marekani anaomba misaada kwa kujificha kwa nato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…