Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Ndivyo tulivyo! Mambo ya kichina china huwa hatuyashobokei, Mchina ni fake kwa kila kitu.Tafadhali wana ufipa habari hii haiwahusu kabsa. Mnaruhisiwa kuchangia habari za EU huko, hizi za rafiki yetu China, msizikodolee macho.[emoji16]