China kuisaidia Tanzania ujenzi wa SGR na mradi wa umeme Mto Rufiji

China kuisaidia Tanzania ujenzi wa SGR na mradi wa umeme Mto Rufiji

Huyu Beberu Mchina mnakazi naye siyo
kwahiyo siku hizi rafiki yetu wa kweli China mnamwita beberu hapo ufipa?

Beberu ni wale wote wanaoitakia mabaya Tanzania, hata EU baada ya kutupa mabilioni hapo jana, tumekubali awe rafiki yetu tena. Ujinga hatupendagi awamu hii ya tano.
 
Kwa hiyo hatujengi kwa pesa zetu za ndani tena?
Ulipanga kumsomesha mwanao kwa fedha zako, akajitokeza msamaria akasema atamsomesha mwanao ili mradi umkatie kakipande kadogo ka shamba ajenge kajumba, utakataa?
 
Sawa

Hapa ni pick your poison!

Either way,wote ni oppressors....

Utasikia eti wale mabeberu tumeachana nao,as if China inatoa hela bure, tena China ni lethal haisamehi madeni na inataifisha hiyo miradi kama Bandari za Mombasa na Sri Lanka
Hizo ni propaganda za Mmarekani, afterall wewe unataka ujengewe mradi wa trilioni 6 bure? Hao Sri Lanka walikufa au hiyo bandari wachina walibeba kupeleka Peking? Hiyo bandari ya Kenya imetaifishwa lini?
 
Ulipanga kumsomesha mwanao kwa fedha zako, akajitokeza msamaria akasema atamsomesha mwanao ili mradi umkatie kakipande kadogo ka shamba ajenge kajumba, utakataa?
Machadema hawaelewagi hizi logic...
 
China ni marafiki wa siku nyingi, uchumi wa kibepari umeharibu tabia yao.
 
Katika bizness nchi tajiri kukubali ombi la nchi masikini ni rahisi maana na wao wanaweka masharti au mahitaji yao! Afrika ni soko kuu la Mchina wanatuhitaji sana na pesa za miradi watatupa kiasi tunachotaka tukiomba ila baadae sote tunajua kifuatacho, Wachina watatukamua pesa zao zote walizotupatia plus bonus na riba! hakuna cha bure wala urafiki kwenye business na pesa!

Kizungu inaitwa ‘friends with benefits’
 
Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!
Kabisa ! Yaani ikibidi ni mwendo wa hela za bandia kwa cheni feki! Hilo JPM yuko makini sana!!! Wachina wajipange, hakuna cha kuvishana mikenge hapa.
 
WACHINA! Wawekezaji? Waulize wazambia - airport wamechukua wanakusanya mapato wao yaani ni mali yao hadi walipe senti ya mwisho!! Waulize Kenya! Mombasa-

Nairobi standard gauge railway wamechukua wanakusanya mapato wao. Hadi wauza chai ni wachina!! Mchina hana dini wala demokrasia! Tegemeeni ukoloni mkorofi na wa kishenzi kuliko wazungu!
Huyu China ni janja janja, amewaumiza sana Zambia, Kenya, Sri Lanka kwa mikataba yenye mitego. Magufuli nae alimshutukia kwenye mradi wa bandari ya Bagamoyo. Yawezekana sasa amekuja na ujanja mpya wa kupuliza huku anauma. Anafanya mtego ili mataifa mengine yaingie kichwa kichwa kudhani China kabadilika.
 
Bora umetoa hilo angalizo, ifahamike muda mfupi kabla ya Kikwete kumaliza muda wake madarakani, aliingia mikataba 16 ya siri na serikali ya China, walichopatana wanajua wenyewe.

Nikiangalia kiwango cha pesa cha miradi miwili ya SGR & SG, inahitaji si chini ya 10t kukamilika. Sioni ni wapi Magu anapata hela hizo ndani ya 5yrs, kwa vyovyote vile atajilipua kwenye fedha za wachina, maana anasimimiwa na bunge kibogoyo. Yajayo yatafurahisha.
ANGALIZO JINGINE UTOFAUTI WA HABARI
Pia mara nyingi taarifa zinazotolewa Dar es Salam zinazohusu wadau wa maendeleo hutofautiana na zile zinazotoka Beijing, Paris , makao makuu ya World Bank, Washington D.C n.k kwa kutaja kwa uchache. Turudi sasa kwa mazungumzo ya Xi Jinping na Magufuli , habari toka Beijing inasema :

December 16, 2020
Beijing, China

China and Tanzania vow to reinforce cooperation ties​

Chinese President Xi Jinping on Tuesday evening held a telephone conversation with Tanzanian President John Magufuli.

During the phone call, Xi once again congratulated Magufuli on his re-election as Tanzanian president.

Xi pointed out that China has always seen the China-Tanzania relationship from a long-term view, and no matter how the regional and international situation will change, China will always be Tanzania's trustful friend and comrade.

The Chinese President said that China will firmly support Tanzania regarding its own development path based on its domestic situation, hoping that the two countries can support each other's core interests.

Xi said China is willing to support more Chinese enterprises to invest in Tanzania and expand cooperation with the country in areas including infrastructure, resource development, and agriculture, jointly contributing to building a China-Africa community with a shared future.

For his part, Magufuli said that Tanzania appreciates China's firm political support for the country's presidential election.

He said that Tanzania and China have been in a good relationship, noting that China has contributed tremendously to Tanzania's social and economic development.

Tanzania firmly supports China on issues regarding its core interests, such as Hong Kong and Xinjiang affairs, and is willing to strengthen communication in governance, as well as deepen cooperation in various areas, including economy and trade, investment, agriculture, and tourism, Magufuli said.
Source : China and Tanzania vow to reinforce cooperation ties
 

Xi eyes closer partnership with Tanzania​

2020-12-16 08:38:00Source:XinhuaAuthor:

Chinese President Xi Jinping said Tuesday that China stands ready to work with Tanzania to closely synergize their development strategies, deliver more solid outcomes in their comprehensive cooperative partnership, and contribute to the building of the China-Africa community with a shared future.

Xi made the remarks in a telephone conversation with his Tanzanian counterpart, John Magufuli, and he once again congratulated Magufuli on re-election as Tanzanian president.

Xi pointed out that the traditional friendship between the two countries was forged by the elder generations of their leaders, and that China always views and develops its relations with Tanzania from a strategic and long-term perspective.

No matter how the international and regional situation changes, China will always be Tanzania's reliable friend and comrade, he said, adding that China firmly supports Tanzania pursuing its independent development path in line with its national conditions.

China, he said, is ready to work with Tanzania to intensify high-level exchanges, consolidate political mutual trust, and continue to firmly support each other on issues involving each other's core interests and major concerns.

Xi added that China supports more Chinese enterprises investing in Tanzania, and stands ready to expand cooperation in infrastructure construction, resource development, agriculture, manufacturing and other fields.

He also suggested the two sides join hands to implement the outcomes of the Forum on China-Africa Cooperation Beijing Summit and the Extraordinary China-Africa Summit On Solidarity Against COVID-19, and boost cooperation within the framework of the Belt and Road Initiative.

For his part, Magufuli thanked China for its solid political support before and after Tanzania's presidential election, and spoke highly of the great achievements China has scored under Xi's outstanding leadership.

Over the years, Tanzania-China relations have maintained sound development, and Tanzania has greatly benefited from China's considerable assistance for the country's economic and social development, Magufuli said.

Tanzania regards China as an important and reliable friend, and stands ready to consolidate traditional friendship, strengthen exchange of experiences in state governance, and deepen cooperation in economy, trade, investment, agriculture, tourism and other fields with China, he said.

Tanzania firmly supports China's position on Xinjiang and Hong Kong, which concern China's core interests, and stays committed to taking an active part in Belt and Road cooperation, Magufuli said, adding that his country is ready to play an active role in pushing forward cooperation under the Forum on Africa-China Cooperation and Africa-China solidarity
Source : Xi eyes closer partnership with Tanzania
 
Tafsiri ya communique za habari rasmi zilizopitia katika lugha ya kigeni mara nyingi zinatiwa ukakasi kwa chanzo cha Dar es Salaam kutoa taarifa kwa umma nyenye utofauti mkubwa, ndiyo maana hata hao wadau wa maendeleo wakitoka kwenye mazungumzo na Prof. Kabudi iwe Dar es Salaam au Dodoma mimi hutilia shaka anavyowatafsiria waandishi wetu juu ya mazungumzo na mgeni wake faragha behind doors au kupitia simu maana huwa kina Prof. Kabudi / Maelezo/ Daily News/ Uhuru / TBCCCM wanachakachua habari kupita kiasi.

Communique: an official announcement or statement, especially one made to the media
 
Back
Top Bottom