China kupeleka chombo Mars na kuanzisha space station inawauma sana Marekani na washirika wake

China kupeleka chombo Mars na kuanzisha space station inawauma sana Marekani na washirika wake

Great nation on the earth? 😳😳😳
China has always been a great nation on the planet, ni watu wachache wasiofahamu ndiyo huwa wanapingana na hili. Mnamo karne ya 18 na 19 Uchina ndiyo lilikuwa taifa kubwa na tajiri likifuatiwa na India. Mnamo miaka ya 1800's Uchina alikuwa anamiliki zaidi ya asilimia 30% ya Uchumi wa dunia.

Uchina, Uajemi (Iran) na Israeli ndiyo jamii kongwe zaidi duniani ambazo tamaduni zao zina miaka zaidi ya 6000 na bado ziko vilevile na kwenye maeneo yaleyale. Professor Ian Morrisson kwenye kitabu chake cha WHY THE WEST RULES FOR NOW, anaelezea kwamba The Ming Dynasty ya Uchina ndilo taifa lililokuwa na teknolojia ya kisasa duniani pia taifa lililokuwa limestaarabika sana mnamo karne ya 14.

Wao ndiyo walikuwa wa kwanza kufika pwani ya Afrika Mashariki miaka 90 kabla ya bwana Vasco Da Gama. Zheng He alipewa meli mia tatu na mabaharia 27000 ili afanye safari za majini na kutengeneza mahusiano ya kidiplomasia duniani kote. Lakini bahati mbaya wafalme wa Uchina waliamini kwamba wao hawaihitaji dunia na wakaanza kuchoma manowari moto ili kuzuia safari za nje, Ulaya ikawakuta kiteknolojia, kuwapita na kuwatala.

Lakini ukweli ni kwamba Uchina imegundua mambo mengi sana hapa duniani. Gobole la kwanza lilitengenezwa Uchina mnamo karne ya 11, pia unga wa bunduki (gun-powder) iligunduliwa Uchina. Teknolojia ya kutengeneza majahazi ya kisasa kabisa kwa kipindi hicho ilikuwa Uchina. Ulaya iliiba teknolijia nyingi sana za Uchina na kuzitumia kuvuruga dunia nzima.

Sasa leo unapoona wachina wanafanya haya, siyo jambo la kushangaza kabisa. Wamekuwa hivi vizazi na vizazi, na wao ni watu wanaomini kwamba nchi yao ndiyo kitovu cha dunia (Center of the world). Mwanajiografia wa Kiitaliano, Bwana Mateo Ricci alipelekea kwa mfalme wa Uchina ramani ya dunia ambayo tunaitumia leo itokanayo na The Mercator Projection, ambayo inaonyesha Ulaya na Afrika zikiwa katikati. Mfalme wa Uchina na baraza lake walighafirika sana ikabidi jamaa abadilishe haraka sana.

Ramani za kale za Uchina zinaonyesha kwamba Uchina iko katikati ya dunia, yaani wao ndiyo The Middle-Kingdom. Haka kaugonjwa wanako mpaka leo hii na sumu yake inasambazwa na chama cha kikomunisti cha Uchina. Marekani na Ulaya wanafahamu dhahiri kwamba siku Uchina akiwashinda nguvu basi lazima atawaumiza na kulipiza waliomfanyia mnamo karne za 18 na 19: Wazungu wanaogopa mnoo.

Ukiwafuatilia wataalamu wa Ulinzi na Usalama wa Marekani na Ulaya wanasema Uchina ndiyo tishio kubwa kuwahi tokea kwa ustaarabu wa Magharibi kwa kipindi cha miaka 500. Maana kipindi hicho chote wamekuwa wakipigana wazungu kwa wazungu. Yaani Saxons-Romans/Latins-Slavs ambayo ni mataifa ya Ujerumani, Uingereza, Marekani, Urusi, Ufaransa, Uhispania, Ureno n.k ambayo yana mila na tamaduni zinazofanana. Lugha zao zina mizizi ya Kigiriki na Kilatini (Greco--Romano), dini yao ni Ukristo wa Kiyahudi (Judeo-Christian)

Pia kibaolojia wao ni watu weupe wenye macho ya kijani na bluu (Caucasians). Lakini Wachina ni ustaarabu mwingine kabisa ambao haushabihiani kabisa na chochote kile cha Ulaya, kuanzia lugha, dini, mfumo wa maisha na hata maumbile ya kibaolojia. Nchi za Magharibi zinaogopa kabisa kutokewa na kile ambacho Karne za nyuma zilinusurika kuwakuta kupitia The Mongols na Ottomans ambao walitaka kuvuruga kabisa tamaduni zao.

Bila Mungu kuingilia kati na kumuondoa Mongke Khan ambaye alikuwa anapeleka jeshi lake Vatican basi leo hii Ulaya ingekuwa ni ya tofauti sana. AU waturuki wakina Mehmed wangefanikiwa kupandisha Ulaya na kufika Urusi, basi Ulaya ingeweza kuwa ni bara la kiislamu. Sasa mambo kama haya yamewakaa sana Ulaya na kuwaogopesha.

Lakini kubwa ambalo linawatatiza ni kwamba tofauti kabisa na Afrika na Marekani, bara la Asia halikuzikubali tamaduni za Magharibi kirahisi. Ukristo upo lakini siyo kwa kiwango kama cha Afrika au Marekani Kusini, lakini pia tamaduni za wenzetu zimekuwa na nguvu kuliko ushawishi wa Magharibi. Ukienda Korea, Japan, India, Thailand na kwingineko, tamaduni zao zina nguvu sana.

NIKIRUDI KWENYE HILI LA UCHINA NA TEKNOLOJIA YA ANGA SASA:
Marekani na Urusi walianza kuwafanyia figisu Uchina tangu miaka ya 70 kwa kuzuia wachina wasitengeneza satelaiti zao na kuzirusha angani. Aliweka vikwazo vizito kwa Uchina, lakini wachina wakarusha The Dong-Fang 1 bila msaada wa nchi yoyote ile. Tena inasemekana ile satelaiti ilikuwa na uwezo mkubwa kwenye baadhi ya mambo kuliko nchi nyingine.

Miaka ya tisini wamarekani walifanya figisu sana lakini bahati mbaya Urusi ikawa imeanguka na teknolojia yake iliibwa sana na Uchina, hasa ile ya anga. Alifanikiwa sana kupiga hatua kali kiteknolojia miaka ya tisini kuliko kipindi chochote kile. Marekani chini ya George Bush Sr walikosea kuweka vipaumbele vyao kiulinzi, waliamini adui mkubwa ambaye anafaa kushughulikiwa mapema ni mataifa ya Kiislamu.

Ametumia pesa nyingi mno kupambana mashariki ya kati huku Uchina anapiga hatua kimya kimya. Ukisoma majarida ya miaka ya tisini na kuwauliza wataalamu wa Magharibi kuhusu matishio ya Usalama kipindi hicho wangekuambia ni Sadam Hussein, Mullah Omar, Slobodan Milosevic na Mohamed Rasfanjani. Ila Jiang Zemin na Hu Juntao walidhaniwa kuwa wanaongoza A Bamboo Nation ambalo litaanguka muda wowote ule.

Mwaka 1996 (Taiwan Strait Crisis) Clinton alimfurumusha Jiang Zemin kule Taiwan baada ya kupelekea manowari kubwa za kijeshi hadi Uchina akaufyata, alikuwa hana uwezo kama alionao leo. Lakini leo hii Marekani hana huo msuri wa kumtisha kabisa na akijaribu yanaweza kumkuta makubwa, A genie is out of the bottle.

Uchina anaongoza kwenye 5G na 6G mpaka sasa, na kama akifanikiwa kupeleka Kituo chake cha anga basi tegemea kituo hicho kutumika kama sehemu ya biashara ya usafiri wa anga, maana hiki kilichopo sasa wanataka kukifanyia marekebisho makubwa sana ambayo yatahitaji gharama. Kituo cha Uchina kitakuwa na zaidi ya tani 66 na kikubwa sana kiasi ambacho kinaweza kutumiwa hadi na wanasayansi kutoka NASA.

Space-Programme ya Uchina ikiwa Commercialised basi utasikia mataifa mengi ambayo hata hayana uwezo mkubwa yanajiunga nayo. Hili litapunguza Monopoly ambayo Marekani na Urusi wamekuwa nayo kwa miaka mingi. Uchina ana pesa na teknolojia ya kuwezesha haya kufanyika kwa haraka, na Marekani analifahamu hilo......

Walipofika Uchina leo, Marekani ameshachelewa sana cha msingi ni kujenga ushirikiano kwenye mambo muhimu na kubakiza ushindani kwingine. Ambaye anatakiwa kulaumiwa kwa Uchina ilipofika hapa ni Richard Nixon na Henry Kissinger.......

AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU............
 
Wewe umejijuaje kwamba unayozungumza ni makunwa zaid ya umri wako
Bwana mkubwa, ni kutokana na mazingira yanayonizunguka. Kuna mambo yamesajiliwa na mazingira kuwa ni ya umri au rika fulani. Huwa mgawanyo ndiyo unaokuweka katika kundi la utoto, ujana au uzee.

Ni mazingira yaliyonizunguka!
 
Civilization!!!???? 😳😳😳😳
Mkuu stop this nonsense. Civilized countries don’t treat its own people this way or for that matter even the people from foreign countries.
Yes, this is a civilization is a home to great thinkers like Confucius, Sun-Tzu and Lao-Tzu.

When most of Europe was still in darkness, these people were already writing philosophy.
Be grateful to these people for inventing paper, tea-production and noodles that we all love to eat

One would insult the Chinese Civilization by looking at the glimpse of history and fail to see the entire penumbras of history. How China as a civilization has thrived for over 5000 years, gifting the worlds with great inventions and innovations that human family share today. They have been here long enough and have outlived Alexander of Macedon, Cyrus the Great, Julius Caesar, Genghis-Khan, Napoleon and Adolf Hitler.

If you think the Chinese Civilization started with Mao-Zedong, Chiang-Kai Shek and Sun-Yat Sen, then you are on the wrong side of history. Also if you think that this is the greatest moment in history then you are deeply mistaken: China was more than once the richest empire on the Planet. I mean it was a center of global commerce and innovation.

The Han-Dynasty at its peak accounted for almost 26% global GDP, while Roman Empire accounted about 25% to 30% at her peak. And some you folks swallowed a diabolical Western narrative that Rome ruled the entire world and shaped history.

The Tang-Dynasty at its peak accounted for almost 58% global GDP. Remember during this time Europe was in dark ages and rotting under the dogmas of the Catholic Church. Much of the world was controlled by the Islamic Caliphate (The Arab Empire) which only accounted about 7% of world GDP.

The Song-Dynasty, oooh my gosh! At its peak accounted for almost 80% of global GDP. This is a record that no nation on earth has ever or will ever come close to break. This means that nothing could ever be done either in Europe, Arab World, Asia or Africa without paying due regard to the GREAT SILK-ROAD.

The Qing-Dynasty which out connivance and Western greed was incinerated to the ground at its peak accounted for almost 35% of world GDP. This was a time when the British Empire had a taste of the Industrial Revolution, a heyday of maritime discovery and circumnavigation of the earth: Yet, with all her discoveries and enterprise, the British Empire was a behemoth not even close to challenge the Asian Dragon.

Hizi mbwembwe za Wamarekani na Wazungu ni suala la muda tu: Hili hata wao wanalifahamu vizuri na hata NABII YOHANA, mtume ambaye alipendwa na Bwana YESU sana amealiandika vizuri kwenye kitabu cha Ufunuo 16. Sisi tuendelee kulumbana hapa, lakini historia ndiyo hiyo mzee, Uchina limekuwa taifa tajiri duniani zaidi ya mara nne kwa vipindi tofauti-tofauti.

Liliporomoka tu na kutawaliwa kwa kipindi cha miaka 100 ya karne ya 19, ambacho wao hukiita "A Period of national humiliation". Mwaka 1949 Mao-Zedong aliapa kwamba hakitarudia tena, wazungu kama wakina Harry Truman na Winston Churchill walipuuza na kusema "China is a bamboo nation", lakini leo hii ndiyo taifa la pili kwa Uchumi duniani. Linawanyima usingizi na kuwapa kihoro. Hivi unadhani taifa kama hili kuna kulizuia lisirudi juu ?????

Hahahahahaahahahaa............................
 
Oohooo.. Mambo yamekemgeuka huko

Rocket ya Mchina imevamia ibada ya watu🤣🤣
 

Attachments

  • youngspaace~reel~COnXXpYDWBx~1.mp4
    285.8 KB
By the way niseme tu hongera kwao wote wanaofanya na kutekeleza hizo mssion either awe USA or CHINA but back to the topic ni kweli na ukweli mchungu sana kwamba mataifa yote mawili bado hayajaonyesha dhamira ya dhati kwa nchi zetu za Africa nikirejea argument wanazotoa wadau hapo juu, what i believe all of them wapo Africa coz wanajua Africa ni mahali wanapoweza kutunyonya na kujinufaisha wao kiuchumi either in right or wrong way na jambo ambalo watu wengi hawajui hizi nchi mbili zote zinapigania kuimarisha mizizi yake Africa and thats why leo hii China anaongoza kukopesha mataifa mengi Africa na kufinance project kubwa kwa interest kubwa zinazotuumiza eg Ethiopia, Kenya rail, Tanzania, Rwanda, Uganda and etc, so nadhan tungefanya argument in positive way coz i believe matatizo ya Africa yatamalizwa na Africa yenyewe na si USA or CHINA!!!!!!
 
Did I say anything about United States of America!? We are talking about China so please stay on the relevant subject.
The subject is how Civilized Countries Behave, China and America are relevant epithets of civilized and uncivilized.
 
Did I say anything about America being a civilized country? 😳😳😳
One does not attribute or attach a negative quality to a thing without impliedly and ontically setting a positive moral standard. But for the sake of the argument care to mention any civilized nation on the planet that can serve as a good moral equivalent to China ???
 
There are so many countries in the World that are trying their level best to stand up against so many bad things around the World including genocide, racism and organs harvest but China is not one of them.
One does not attribute or attach a negative quality to a thing without impliedly and ontically setting a positive moral standard. But for the sake of the argument care to mention any civilized nation on the planet that can serve as a good moral equivalent to China ???
 
😂😂😂😂😂 Tuseme ukweli Mkuu hakuna Nchi duniani ambayo inaweza ikasema iko PERFECT lakini nyingi zinajitahidi kupambana na maovu mbali mbali ya kutisha ndani ya nchi zao na nchi za nje lakini si China, ila Marekani ya hawa Republicans inataka kufanana na China Ubaguzi wa rangi nje nje wala hawaogopi. Kuminya haki ya wapiga kura dhidi ya immigrants na weusi nje nje na pia kuminya sheria mbali mbali zinazowawezesha weusi na wahamiaji kupiga kura kwa urahisi nje nje. Kama hali itaendelea hivi basi vita ya ndani wala haiko mbali kutokea. Republicans wamegundua kwamba kama weusi na wahamiaji ambao asilimia kubwa yao hupigia kura Democrats kama watakuwa wanajitokeza kwa wingi kama last election ya 2020 basi kurudi WH na kuwa majority ndani ya Senate na Congress itakuwa ni mtihani mkubwa sana.
Hahahahahaha, sawa kaka BAK
 
Ni masatellite na maroket ya china tu ndiyo yamekuwa yaanguka duniani tangu miaka 15 iliyopita. Wanafanya mambo kwa papara sana ili waonekane zaidi kumbe bado. Kuna satellite lilianguka Atlantiki nusura liangukie New York, kuna Satellite lilikuwa karibu lianguke kwao wakaamua kulilipuwa wenyewe huko huko angani na sasa hivi kuna roketi litaanguka na hakuna anayejua litaangukia wapi. Mwaka 1992 walipewa contract ya kwanza ya kurusha satellite la cellphone za AT&T, wakasababisha hasara kubwa kwa vile walizidi ile escape velocity ya satellite kwenye orbit na satellite lile likapotelea gizani huko angani wakalazimika kuilipa AT&T mabilioni ya pesa kutokana na hasara ile.
 
Marekani na washirika wake wanaumia sana China kuja juu katika anga za mbali. Wanatamani tu wafeli au vyombo walivyo tuma vilipuke.

Mwezi huu wa tano chombo cha China kitatua Sayari ya Mihiri Mars. Tayari kimeshaingia Orbit ya Mars ikiizunguka nakuchagua sehemu muafaka ya kutua.

Pia tayari jana China imeshatuma kipande cha kwanza cha space station capsule. Zoezi hili lingeanza mapema lakini Janga la Corona limeichelewesha. China inataka kujenga space station yao ambayo itakuwa tofauti na ile international space station.

Mafanikio haya makubwa ya China katika anga za mbali inawaumiza nakuwauma sana Marekani hawana cha kufanya. Hata kwenye vyombo vyao vya habari kimya.

Elon musk na NASA kelele mingii lakini mwanaume China anafanya mambo ya uhakika kimya kimya.

Sasa hivi wanaombea tu chombo cha China kisifike salama sayari ya Mars.

Mungu ibariki China katika harakati zake za kuchana mbuga kwenye technology
Hata mimi wa madongo kuinama inaniuma maana kila kitu tunatolewa mfano China, mara oh china kuna chama kimoja ila wana maendeleo mara china hakuna whatsapp na twitter, wala media huru ila wana maendeleo. itafika kipindi tutaambiwa tufute ukristo na uislam kisa China hawana dini ila wameendelea.
 
Ni masatellite na maroket ya china tu ndiyo yamekuwa yaanguka duniani tangu miaka 15 iliyopita. Wanafanya mambo kwa papara sana ili waonekane zaidi kumbe bado. Kuna satellite lilianguka Atlantiki nusura liangukie New York, kuna Satellite lilikuwa karibu lianguke kwao wakaamua kulilipuwa wenyewe huko huko angani na sasa hivi kuna roketi litaanguka na hakuna anayejua litaangukia wapi. Mwaka 1992 walipewa contract ya kwanza ya kurusha satellite la cellphone za AT&T, wakasababisha hasara kubwa kwa vile walizidi ile escape velocity ya satellite kwenye orbit na satellite lile likapotelea gizani huko angani wakalazimika kuilipa AT&T mabilioni ya pesa kutokana na hasara ile.
Hii roketi iliyorushwa na China imerushwa kwa mtindo wa kizamani wa expendable launch system. Madhara yake ndiyo kama hayo kwamba haijulikani itaangukia wapi.

Hivi sasa kampuni kama Space X zinatumia tech mpya ya urushaji wa roketi (reusable launch system). Roketi inarushwa na inarudishwa salama baada ya kutekeleza majukumu yake kisha inaweza kutumika tena kwa majukumu mengine hapo baadaye. Operesheni zake ni kama ndege za kawaida tu.
 
China sio wa kumuamini kazi yake kuiba data tu.. majuzi karusha chombo marekani walazima server zao mara chombo kikapoteza muelekeo so inaonesha China bila marekani ia nothing sasa huko mars labda wampeleke raisi wao kama wapo seriouisly
 
Wanakubali tu hivyo hivyo ila inawauma sana. Na ikitokea Mwafrika ama muajemi/iran kwenda Mars watajinyonga kabisa. Ukiona jinsi Marekani walivyoihujumu Huawei wazi kabisa mabeberu wana wivu mbaya sana hasa Marekani ameshindwa kuficha maumivu yake hawa wengine Uingereza ufaransa n. K wanaumia kimyakimya. China kawaweka pabaya sana
Bahati nzuri mkuu, Mungu mkubwa wale wote walio kuwa wanaeneza uongo mkubwa kuhusu bidhaa za kampuni ya Huawei specifically teknolojia ya 5G, wabaya wa Huawei wote wameondolewa madarakani huko Marekani unceremonously hawakuamini kikicho wasibu - yuko wapi the most rabid hater of Chinese - one Mike Pompeo bila ya kumsahau Donald Trump na genge lake.

Dunia itambuwe kwamba kwa hivi sasa hakuna Taifa lolote Duniani linalo weza kuzuia Tsunami ya kiuchumi, kijeshi na maendeleo ya Taifa la Uchina - mataifa hasimu na Uchina ni vema wajifunze kushirikiana na Wachina kuliko kujaribu kuwapiga vita vya chini chini/kwa kificho.
 
Waamerika wataunda kirusi kingine cha mafua na safari hii watakitupa Beijing sio Wuhan.
Kitawarudia wao na kuwamaliza - walifikiri watawapukutisha Wachina lakini kinyume chake Wamerikani ndio wakawa affected/infected zaidi - walisahua kwamba what goes around comes around. Muda si mrefu kuanzia sasa utasikia US inamuomba Ti-Xing-Ping awapatie chanjo zinazo zalishwa na SinoPharm baada ya chanjo za Makampuni ya Bill Gates (Oxford-AstraZeneca) kuonekana ni usanii mtupu.
 
Marekani na washirika wake wanaumia sana China kuja juu katika anga za mbali. Wanatamani tu wafeli au vyombo walivyo tuma vilipuke.

Mwezi huu wa tano chombo cha China kitatua Sayari ya Mihiri Mars. Tayari kimeshaingia Orbit ya Mars ikiizunguka nakuchagua sehemu muafaka ya kutua.

Pia tayari jana China imeshatuma kipande cha kwanza cha space station capsule. Zoezi hili lingeanza mapema lakini Janga la Corona limeichelewesha. China inataka kujenga space station yao ambayo itakuwa tofauti na ile international space station.

Mafanikio haya makubwa ya China katika anga za mbali inawaumiza nakuwauma sana Marekani hawana cha kufanya. Hata kwenye vyombo vyao vya habari kimya.

Elon musk na NASA kelele mingii lakini mwanaume China anafanya mambo ya uhakika kimya kimya.

Sasa hivi wanaombea tu chombo cha China kisifike salama sayari ya Mars.

Mungu ibariki China katika harakati zake za kuchana mbuga kwenye technology
wewe ni mchina?
 
Ukiwa na chuki na Marekani, hata km Russia atatengeneza gari utasema linawatesa Wamerekani.
China alipokuwa anawatesa waislamu na kuwatenga mlikuja juu ila leo amekuwa mzuri. Na hayo yote ni kupunguza machungu.
Naona sasa hivi meweka kambi kwa Iran, Russia na China ili kupunguza machungu.
Unajua kuwa nchi yako inapokea pesa za misaada kutoka Marekani? Unajua kuwa ARV zinatolewa kwa hisani ya Marekani?
Sishabikii nchi yoyote ila ni kiri tu hakuna taifa lenye akili duniani km Marekani.
Makao makuu ya mashirika makubwa makubwa yote duniani yapo Marekani. Kingine ambacho nchi zingine hazijui ni kwamba Marekani anatoa misaada sana.
Viwanda vingapi Marekani imewahi kujenga Tanzania na kuongeza ajira kwa vijana, je, ni infrastrure ngapi Amerika iliwahi kiijengeaTanzania (barabara, reli na madaraja), vyuo vya ufundi, Mahospitali, mawasiliano (Voice na data),Mechanised Agriculture and what have you!! Nothing to talk about zaidi ya propaganda zao za kijinga za kuwatuma viongozi wao kuja barani Afrika kuzuga Viongozi wa kiafrika kuhusu ubaya wa ujio wa Wachina barani Afrika.

Kinyume chake USA inaendekeza unafiki wao wa miaka mingi wa kutaka bara la Afrika libaki maskini na tegemezi miaka nenda rudi - mali asili za Afrika zitumike kuendeleza Amerika na Ulaya.

Tangu Wachina waingie barani Afrika hivi karibuni, kila Mwafrika mwenye akili timamu ameshuhudia astronomical development/ maendeleo makubwa kweli kwenye nyanja za viwanda, barabara, reli, mawasiliano, kilimo, vyuo vya ufundi,Mahospitali nk -kitu ambacho mataifa ya magharibi walikuwa wanasuha suha miaka nenda rudi.
 
Back
Top Bottom