MFUKO WA RAMBO
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 201
- 114
Wavaa makobazi ndo nini?Huu ndo ukweli mchungu ambao wavaa kobaaz hawaukubali. Putin anateswa na Ukraine mwezi wa 6 huu ingekua US angeiweza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavaa makobazi ndo nini?Huu ndo ukweli mchungu ambao wavaa kobaaz hawaukubali. Putin anateswa na Ukraine mwezi wa 6 huu ingekua US angeiweza?
Putin yupo hapa jukwani?Putin pokea salaam kupitia kwa Bibi. Wale wachina ni wa mchongo usijenge uswaiba nao watakuacha kichinachina.
USA ni mkubwa wao. China ni mbwa koko wenye kelele.
Jitadhmini sana Mr. Putin nakuonea sana huruma.
Msisahau China kapigwa nyeti uwanja wake wa nyumbani wala sio mbali na home kwake
China hawana tofauti yeyote na Mandonga
God Bless USA.
Hakuna aliye muambia Yeye ndiye aliyejifanya kuvimbaChina angekuwa sio mnafki angemsapot waziwazi mrusi kule Ukraine. Mbona UK, France, German n.k zinaungana na US kumsapot Ukraine.
Kwanini China asijioneshe kumsapot Russia kule Ukraine? Jibu ni moja tu, China sivyo kama tunavyoidhania.
Tukisemaga kuwa uchumi wa China umeshikwa na Westerns muwe mnatuelewa. China ajira zake nyingi, ushuru, kodi n.k anapata kutokana na uwekezaji wa Westerns.
Hapo usizungumze export ya china kwenda ulaya na America, ni kufuru. China anapiga pesa ndefu mno kupitia mataifa ya magharibi.
Kumwambia leo avimbe mbele yao ni kutomtakia mema Mchina.
Sasa ile mikwara ilikuwa ya kazi gani?Vita hainzishwi kizembe hivyo.
#MaendeleoHayanaChama
Putin ni mchongo!? Wee jamaa kweli unavituko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha Putin ww unamuelewaga? Hamna mtu pale yule ni mchongo tu
Hizo ni case tofauti maana Taiwan yajitegemea kila kitu, kasoro haitambuliki kama nchi huruTaiwan kwa China ni sawa na Zanzibar kwa Tanzania. Ni donda sugu ambalo maadui zako wakilijua wanalitonesha ili kukupa mateso. Ndiyo Mmarekani anavyomfanyie Mchina. Siku Tanzania ikikorofishana na Marekani, utaona Marekani inaanza kutambua mamlaka kamili ya Zanzibar kwa sababu inajua ni donda sugu la Tanzania.
Putin pokea salaam kupitia kwa Bibi. Wale wachina ni wa mchongo usijenge uswaiba nao watakuacha kichinachina.
USA ni mkubwa wao. China ni mbwa koko wenye kelele.
Jitadhmini sana Mr. Putin nakuonea sana huruma.
Msisahau China kapigwa nyeti uwanja wake wa nyumbani wala sio mbali na home kwake
China hawana tofauti yeyote na Mandonga
God Bless USA.
Sio kutarajia kitu gani, kwani wachina walijitapa kufanya jambo gani imapo Pelos ataingia anga la Taiwan ?Wewe ulitaka Uchina wafanyeje labda? Aipige ndege iliyombeba speaker Pelosi? Embu tuambie wewe ulikuwa ukitarajia kitu gani labda kutoka kwa china.
Russia anamchakaza Ukraine na amewaambia Nato atakayejiingiza kwenye hii vita napiga nyumbani kwake !! NATO wameufyata !Vita hainzishwi kizembe hivyo.
#MaendeleoHayanaChama
Mkwara tulikuwa plan A sasa wanakwenda kwenye plan BSasa kwanini walipiga ule mkwara ooh wataizika ndege nyenyenye kama walijua hawawezi ?! MKWARA ULIKUA WANINI ?
Tuache. Viongozi wetu miyeyusho sana. Basi tuache tushabikie viongozi wa wengine. Nako tukishabikia huko mnatumaindi pia? Mtuache....
Duh !Hizo ni case tofauti maana Taiwan yajitegemea kila kitu, kasoro haitambuliki kama nchi huru
Zanzibar inaitegemea bara kila kitu hadi Rais anachaguliwa na Bara
Hizo ni case tofauti maana Taiwan yajitegemea kila kitu, kasoro haitambuliki kama nchi huru
Zanzibar inaitegemea bara kila kitu hadi Rais anachaguliwa na Bara
Plan A isiyo na akili plan B si ndio itakua mbumbumbuMkwara tulikuwa plan A sasa wanakwenda kwenye plan B
wao wanafikiri vita ya usa vs china,ni sawa na congo vs M23,akili ndogo sana.Ulitegemea China waanzishe vita kwa sababu tu spika wa Marekani kaingia Taiwan?
Vita ya 🇺🇸na China🇨🇳 haiwezi kutokea kirahisi hivyo. Ni kama ilivyo kwa Russia vs Marekani. Haya ni mataifa makubwa kupigana kutaleta hasara kubwa duniani kote
Ndugu yangu ukijishughulisha na Akili za wabongo utapasuka kichwa. Wengi ni mazwazwa. Yaani kazi yao ni KUONGEA KWA NIABA YA CHINA, UKRAINE, RUSSIA NA USA.Kwa hiyo Kuna mtu anafikiri Vita inaweza kutokea kwa huyu Nancy kufika hapo Taiwan!!?