Una matatizo makubwa sana yanayo kusumbua na sidhani kama unafahamu ni matatizo gani yana kusumbuaSio kama ikiwezekana ni kwamba hakuna kitu kama hiki ulichokizungumza.
Kilichotestiwa ni model na sio full sized train ni model ndogo sana na hizi huwa ni hatua za mwanzoni kabisa katika steps za engineering design au engineering research
Wacha kutudanganya we jamaa
Punguza unnecessary things sehemu zisizo hitajikaWamarekani wamesha simulate hadi nyumba zitakazo jengwa Mars yaan 3D house zitakavyojengwa sayari Mars
Ingelikuwa ndio mchina kasimamia na kuanzisha project kama hii ungesema umejenga kabisa kwa jinsi CCP wanavyopenda propaganda za uongo
Unapenda sana mashindano yasiyo na tija sijui hata yana kufaidisha nini?!We jamaa ebu acha uongo, kilichotestiwa ni model na sio full sized train,
Full sized train iliyotestiwa sio ya 1000km/h Bali ni iyo ya 600+km/h na pia sio maglev kama unavyotuaminisha
Punguza propaganda asee dah,
Umesoma habari nzima au umekurupuka kuja kubishana tuWeka video wacha malalamiko, iliyooneshwa ni model ndogo sana ambayo haifikii hata ukubwa wa a small child toy car lakini tayari ww umeshatuletea propaganda
That's not a full sized maglev train, prove me wrong
Kuna watu watasema mchina mwiz wa teknolojia
Nipandishe video kwa matakwa yako binafsi ya mashindano ya kimaneno hakuna sababu ya mimi kufanya hivyo kama uona napotosha Watanzania fungua mada yako utakayo elezea ukweliNimesoma habari yote na nimeona unawadanganya watu kwenye comments zako
Kwa kujua waTanzania sio wafatiliaji wa mambo unatumia huo mwanya mwanya kuwadanganya.
Prove me wrong, show us a video.
Maglev train ni train inayo levitate kwenye magnetic field rail way ndani ya vacuum kitu ambacho hakijafanyika.
Unaposema full sized maglev train unakuwa unatudanganya.
Onesha video hapa unikosoe.....
Mbona umeshinda toka mda tatizo nini sasa ?! Kwa nini unateseka na kuumia?!I understand very well engineering concepts
1000km/h is about mach 0.8 speed, kiwango hiki cha speed kinahitaji many safety procedures si rahisi kama unavyotuaminisha.
Hatua waliyopo ni hatua za mwanzoni kabisa za kutengeneza model na kujaribu kukusanya data muhimu ili kuangalia kama wataweza kufikia malengo hayo. Ni kama stage za project za hyperloop za Elon musk zilivyoanza mpaka sasa kufikia kuchimba na kuanza ujenzi kwaajili ya test run
So, punguza propaganda na uache kudanganya watu unapoleta taarifa uwe unaweka na vithibitisho vya uhakika maana humu Kuna watu wafatiliaji
Waafrika gani. Hawa ambao bado kuna vijiji hamna vyoo? Maendeleo sio suala la kuigana, ni kufanya priorities kwa kuzingatia faida na gharama na ulazima kwa wakati huo.Misri to SA kama masaa 7. Waaafrika wajiunge nchi zote ijengwe kutoka kaskazini hadi kusini halafu kuwe na dirvesion ya East Africa na West Africa. Nchi zitaendelea haraka sana.
Najaribu ku-imagine hiyo speed ya 1000km/hr ..... daah kweli kuna watu wapo serious na maendeleo. Sisi acha tuendelee kupambana kujenga matundu ya vyoo1000km/hr figo lazima zihame