Iran analialia vikwazo vimembana koo viondolewe, lakin bosi hana hata huo mpango wa kuviondoa, sasa Iran anakula jeuri yakeMtakapo athirika ndio mtatia akili yakujitegemea wenyewe sio kutegemea vyakupewa[emoji23][emoji23][emoji23]IRAN Wanapambana nawao kujieka sawa katika taifa lao nyie kaeni tu mngojee misaada[emoji23][emoji2][emoji12][emoji14]
Sent using My COVID-19
Sawa Mu-Iran Mweusi.Kufail kwa US Kama ilivyokua kwa USSR UK ROMA Nawengineo Hawez kuja kua kama SOMALIA KONGO n.k Ila atapoteza ila hadhi nasifa alokua nayo Awali Pia hata kama ntakufa akipoteza anachoringia sasa ntajihisi amani sana huko kaburini ama mavumbini.
Sent using My COVID-19
Inawezekana, mm si mchina wala mmarekani nitetee upande wowote. Ila kwa analysis zangu ndogo za kitanzania tangu vita ya huawei na suala la android apps mpaka hii ya corona ni 5g war, na mmarekani ndo msumbufu, hataki kumnyooshea njia mchina. Na mpaka ss anavuruga vuruga tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati huo US Anammaliza MCHINA Yeye US Kwao Hawazalishi Kitu Viwanda Vimefungwa watu wake wanakufa shughuli zakiuchumi karibia zote ama nusu narobo zimesimama wakati WACHINA Walisimamisha kwamuda sasa hv wanapiga kazi
Kama US Kapeleka Gonjwa hili Kwa UCHINA Kama Unavyodai Kafeli Sana Maana Limemrejelea Mwenyewe Pamoja Nawashirika Wake Sio UCHINA Kama alivyodhamiria
Kwahapa kama kafanya US Kama Unavyodai Kafeli Vibayaaaaa.
Sent using My COVID-19
Kwan kutktaka iwe super power ndio kuichukia mkuuHaya maisha yaani unamchukia mtu asiyekua na mda na wewe uko ni kujitesa, hata u.s asipokua superpower sidhani Kama Kuna kitu kitaongezeka kwenye maisha yako mim binafsi hakuna nchi nayouchukia
Jeuri yake anayoila inalika kula nawewe jeuri yako sasa kama unaweza[emoji23][emoji23]Iran analialia vikwazo vimembana koo viondolewe, lakin bosi hana hata huo mpango wa kuviondoa, sasa Iran anakula jeuri yake
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa Mu-Iran Mweusi.
Sijui wewe kwamaoni yako ila kwamaoni yangu anamfanyia hila hizo sababu anaelewa kama UCHINA Akipata upenyo ndio kwaheri hakamatiki tenaInawezekana, mm si mchina wala mmarekani nitetee upande wowote. Ila kwa analysis zangu ndogo za kitanzania tangu vita ya huawei na suala la android apps mpaka hii ya corona ni 5g war, na mmarekani ndo msumbufu, hataki kumnyooshea njia mchina. Na mpaka ss anavuruga vuruga tu.
Kwamba utajihisi Aman sana, mim china Sina chuki na China na haininyimi amani, tofaut na wewe marekani inakunyima amani ndo utofautiKufail kwa US Kama ilivyokua kwa USSR UK ROMA Nawengineo Hawez kuja kua kama SOMALIA KONGO n.k Ila atapoteza ila hadhi nasifa alokua nayo Awali Pia hata kama ntakufa akipoteza anachoringia sasa ntajihisi amani sana huko kaburini ama mavumbini.
Sent using My COVID-19
Sababu ni kuwa super power. Marekani ni super power, china inatamani hiyo nafasi. Hata nchi zingine pia ni vile hazina ubavu. Hata nchi yetu tunatamani tuwe na sauti tukisema No ni No, Yes ni Yes.Yah uko sahihi kabisa unahisi kwa nn US Anamfanyia Kila Aina Yahila MCHINA ?!Sijui wewe kwamaoni yako ila kwamaoni yangu anamfanyia hila hizo sababu anaelewa kama UCHINA Akipata upenyo ndio kwaheri hakamatiki tena
Na unahisi hizo hila zitakua zinafanikiwa kila leo!? Japokua kwampaka sasa hila zake zinafanikiwa kwaasilimia zaidi ya mia ila hazitakaa zifanikiwe kila day
Sent using My COVID-19
[emoji23][emoji23]Yaani unajiita baba mwenye nyumba halaf unataka utoe pesa sawa na mkeo utakua sio mzima.
Sent using My COVID-19
Sababu ni kuwa super power. Marekani ni super power, china inatamani hiyo nafasi. Hata nchi zingine pia ni vile hazina ubavu. Hata nchi yetu tunatamani tuwe na sauti tukisema No ni No, Yes ni Yes.Yah uko sahihi kabisa unahisi kwa nn US Anamfanyia Kila Aina Yahila MCHINA ?!Sijui wewe kwamaoni yako ila kwamaoni yangu anamfanyia hila hizo sababu anaelewa kama UCHINA Akipata upenyo ndio kwaheri hakamatiki tena
Na unahisi hizo hila zitakua zinafanikiwa kila leo!? Japokua kwampaka sasa hila zake zinafanikiwa kwaasilimia zaidi ya mia ila hazitakaa zifanikiwe kila day
Sent using My COVID-19
Vijana wa juz Kuna vitu vingi hawajui wasamehe tuInajifia vipi wakati mashirika yote duniani kuanzia UN inachangiwa na USA sehemu kubwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanavyowafanya watu wa Africa unafahamu?
Unajua wazungu Wana ubaguzi wa indirect Ila wachina ni wazi wazi wabagua wa-afrika,Wanavyowafanya watu wa Africa unafahamu?
Yah uko sahihi kabisa unahisi kwa nn US Anamfanyia Kila Aina Yahila MCHINA ?!Sijui wewe kwamaoni yako ila kwamaoni yangu anamfanyia hila hizo sababu anaelewa kama UCHINA Akipata upenyo ndio kwaheri hakamatiki tena
Na unahisi hizo hila zitakua zinafanikiwa kila leo!? Japokua kwampaka sasa hila zake zinafanikiwa kwaasilimia zaidi ya mia ila hazitakaa zifanikiwe kila day
Sent using My COVID-19
Akili za mashia na masalafi hizi.Kama ili US Asambaratike lazma nasisi tusambaratike basi sio mbaya mhim US Asambaratike tuuh.
Sent using My COVID-19
Mbona mimi sibaguliwi na sijawahi kuona wenzangu wakibaguliwa? zaidi tunajiongezea marafiki daily.Unajua wazungu Wana ubaguzi wa indirect Ila wachina ni wazi wazi wabagua wa-afrika,
Wamewahi kuja kuipiga mabomu nchi yako hadi useme hivyo?