The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,788
- 1,101
Pumba...vu,jadilivp barick ulikua unaiamini
nilichokiandika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumba...vu,jadilivp barick ulikua unaiamini
Hawa si ndio walitaka kutupiga kwenye ile bandari ya Bagamoyo?Toa mfano wa rasrimali anazoiba
Ukumbi mpya wa CCM Dodoma ulijengwa kwa msaada wa mchina.Wamewajengea ccm chuo cha siasa Kibaha kwa mfipa....
Kumbe ww ni libot, nyie endeleeni kuota mtaichukua nchi, yani tuwape vibaraka wa mabeberu. In your wet dreams.Hakuna uhuru Tanzania siyo Nchi huru ilinunuliwa mwaka 1998 ipo chini ya Mkoloni mweusi kaburu sasa inaenda kupata uhuru tarehe 28 pindi chadema wakiingia ikulu
Idadi ya watu ni kigezo cha utajiri?Ndio China ina nguvu kuliko marekani. Angalia nchi zinazoidai marekani ni nchi gani inaongoza kwa kudai mpunga mrefu. Njoo pima vigezo vyote marekani kaachwa mbali. Idadi ya watu, biashara na kila kitu
Hawajali unafanya nini na wananchi wako, USA inajali.Ndo unajidanga hivyo, Siasa ni nuru ya maslai yao.. kawa hawajali why wametoa tamko.?
Alioimega taiwani,Tibet na waigur ni nani?China wana mfumo wa chama kimoja tu hawana mfano wa kuigwa hata mmoja
Wanakwambia, Demokorasia haijawahi kuwa sababu ya maendeleo, zaidi Sana inaleta kudai haki za kipumbavuKama ni kweli si jambo la kushangaza kwa China kusema hivyo, inalinda maslahi yake zaidi.
Amekuwa mfadhili mkuu wa viongozi wengi waovu hasa Afrika na hata wakati mmoja hutomsikia akitoa maoni kuhusu demokrasia kukandamizwa.
Gas.Toa mfano wa rasrimali anazoiba
Mkoloni mpya Africa ,tena ana njaa kali balaaChina ndio Baba wa dunia
Mkoloni mpya Africa ,tena ana njaa kali balaa
Mbona bado mnakulana hata kabla hao wakoloni hawajawaletea officially hiyo sheriaChina hawezi kuleta ushoga Tanzania
Alilinda amani ya nchi gani Africa?China hata kama mnauana na kutiana vilema,as long as wao wanaendelea kupiga pesa basi hiyo siyo concern yao kabisaaaa!Ndio maana Marekani anatambulika kama baba wa kulinda amani ya dunia!
Tuuane kisa uchaguzi?Hao wote lengo ni kuigombania Tanzania.Mbaya zaidi China hakuna uchaguzi huru na wa haki.Hivi kama inatokea watanzania wakauwana kwa sababu ya uchaguzi nchi za nje zisiingilie kisa ni mambo ya ndani,?
Ukiona nchi zimetulia hazina vurugu na zinapokea msaada wa USA basi jua nchi hizo zinasaidiwa na Marekani pakubwa sana kwenye kulinda amani!Alilinda amani ya nchi gani Africa?