Acha hizo chuma zitembee zinaenda mbali sana, Kama hutaki kuwahi kufika ni ww panda mizaha ipo mingi tu panda kina alfa.
Fj hizo chuma huwa zinatupwa ni [emoji91] hizo allys kizazi cha kina DXS zisifatwe kabisa.
Mkuu mimi napenda sana ma BUS yanayokimbia , yani magari yanayo nyata bora nihairishe safari.
Kitu nilichoshindwa ni kuacha ushabiki wa haya ma BUS yanayokimbia[emoji23] ni kama kilevi kwangu. Ushaziona hizo ally's zinavotupwa Road mkuu?
Kuna chuma ya ally's imepotea ilkua inaitwa la petrol 554 DRG wakina dar lux na mashoga zake kampuni zilikufa kwa kufata hiyo chuma[emoji1787]