China yatuma ndege 38 za kijeshi mpakani mwa Taiwan

Wakati RUSSIA inaichukua CRIMEA ilitumia weakness za biden pia!?
Siwakubali US ila huyu biden mnamuonea sana yaan
Ni kweli mkuu Ukrane alikuwa haja saini kuwa member wa NATo kwa kipindi kile ndo kwanza alikwa member mpya wa EU.
 
Sio rahisi,tokea 1940 walivyotengana wameshindwa kuichukua waweze leo,itamwagika damu
 
Hahah kosa ni hapo mnapo ifananisha Taiwan na nchi maskini kama za East EU. pia lazima ukumbuke Urusi alitumia udhaifu kwa Ukrain kutokuwa mwanachama wa NATO kuivamia pia ndo sababu nchi wanachama hawaku chukua action. Taiwan pia ni mtengenezaji chip au semiconductor kama snapdragon sim zote kali unayo ijua wew iwe imtoka China bara au ulaya ina mkono wa Taiwan,InVidia.pia computyuta zenye nguvu kama Azus.
 
Sidhanii kama nilisema hakuna taifa la kuipiga IRAN ila nilisema kulingana na taifa husika ilikua ISRAEL
Kuhusiana na vita si US wala CHINA ambae atabakia kama alivyo ikitokea total war ila US hawezi kuiingiza US yao vitani tena na taifa kama UCHINA eti kisa TAIWAN kwahili sahau MKUU
 
IRAN kua na nyuklia ni muhimu kwa afya ya taifa lao
Muache ukoloni mambo leo
 
Duu we jamaa mchina wa bara nini?Taiwan ina sifazote za kuwa nchi na wananchi wake washapiga kula kuwa na nchi yao
Inasifa zakua nchi lakini sio nchi ukwelu usemwe
Inatambulika na UN kama nchi au kama sehem ya UCHINA!?
 
China now ana madui wengi hapo Asi hana rafiki zaid ya korea kaskazini pia ana mgogoro wa kimipaka hadi na urussi
Mkuu migogoro kawaida hata US ana migogoro nawashirika wake wakubwa juzi tu hapa france kaita baloz wake kutoka US sababu ya maslahi ya kuuziana nyambizi sijui lile sakata limemalizikia wapi
Hao maadui walifanywa nn na UCHINA jiulize hili kwanza
 
ulisema tena si mara moja. nadhani unapaswa utamka hadharani kuwa watu wasichukulie serious kile unachokisema.
 
Unawachukulia poa Taiwan sio? Hapo mchina anapaogopa sababu anajua akigusa tuu ni total destruction kwake na kwa Taiwan.
Ni China hajaamua kuingia Taipei kibabe, ni ile kwamba hawa jamaa ni ndugu so kuwateka kwa umwagaji damu wanaona kama sio ila kinyume na hapo Taiwan hawezi chukua raundi kwa mchina.
 
Ni China hajaamua kuingia Taipei kibabe, ni ile kwamba hawa jamaa ni ndugu so kuwateka kwa umwagaji damu wanaona kama sio ila kinyume na hapo Taiwan hawezi chukua raundi kwa mchina.
china hajawai kuwa na huruma na damu ya mtu.
TIANANIMEN square damu hii iliyomwagika siku hiyo inajibu kila kitu kuwa wachina ni watu namna gani.
 
Si na sisi tumevutia wawekezaji ila hatuinuki? Acha kuwachukulia poa wachina
 
To prevent military conflicts between China and the US and ensure 100 percent security, the US must retreat from provoking China's core interests. As the "freedom of navigation" in the South China Sea has never been a problem, why do US warships always sail so close to China's islands and reefs? The South China Sea is so wide that lanes are everywhere. Why must they come to China's islands and reefs to find trouble? This is not navigation at all, but undisguised provocations and threats.

The Chinese people have already seen it through. There is no way that we can talk to the US with reason, we can only talk to the US with strength and actions. I noticed that when Hyten said the US should never go to war with China and Russia, he particularly mentioned that "a war with a nuclear power is a bad thing." See? What the US is really afraid of are the nuclear weapons of China and Russia.

So, my conclusion is strong military strength, especially strategic nuclear power, has made the US in deep awe of confronting China. Under the condition that China doesn't proactively attack it, the US knows that it should stick to the bottom line and not push China into a life and death fight with it. Therefore, as long as what China is doing is defending its core interests, China has the morality and has nothing to fear.
Hu Xijin, Global Times.
 
ulimwengu wa wenye akili hawawezi ruhusu weu kuwa na nuclear.
iran kuwa na nuke hathali zake hadi sisi tulioko uku kibiti zitatupata.
Kama wenye akili wenye nyuklia nikama wale walio sababisha maafa kule nagasaki na hiroshima ni kheri wehu kama IRAN wamiliki Nyuk dunia inaweza ikawa mahala salama zaidi
 
Kama wenye akili wenye nyuklia nikama wale walio sababisha maafa kule nagasaki na hiroshima ni kheri wehu kama IRAN wamiliki Nyuk dunia inaweza ikawa mahala salama zaidi
🀣🀣 bila shambulizi ilo dunia isingelijua athali za nuclear ebu fikiria kuelezea athali za nuclear kwa maneno matupu tu bila mfano?.hakuna ambae angejali ila mfano hai tunao ndiyo maana inatakiwa wenye akili wamiliki hayo madude.
alafu unaanzia wapi kuilaum Us katika shambulizi ilo.
Japan katia mguu ndani ya viunga vya Us, kafanya uharibifu mkubwa, maelfu ya raia wakafa.
ila ajabu akarudi nyumbani kwake akaendelea kufanya mishe zake as if hajaharibu kitu kwa jirani.
Yaan unaenda kwa Jiran yako Mahamudu unakuta Familia yake unapiga familia unaua mifugo yake then unashusha chungu cha ugali alafu unarudi kulala kwenye banda lako na mlango unaegesha bila kitasa.. unashindwa kuwaza kuwa japo jamaa ni muoga na dhaifu anaweza beba jiwe na kukutwanga la kichwa ubongo umwagike!! 🀣🀣.
Robert kiyasoka ni mmarekani mwenye asili ya Japan ila katika ili uwa anailau Japan kwa ujinga ilioufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…