Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Katiba mpya ni muhimu sana kwa sasa ...... yaani hata namna ya kufanya sensa inabidi aombwe Rais ..... !!
 
Moderator futa hii post ni kidini, kibaguzi,ina ubaguzi. Hii neo colonialism na no unazi momboleo. Ndio Mtumishi Putin' anawachapa hawa hawa wanazi.mkabila, mdini. Hawa hatari katika duniani. Analeta vitakwimu uchwana. USA, China, JAPAN, GERMANY, INDIA, IRAN, SAUDI ARABIA, RUSSIA,RUSSIA. 80% Kuna dini moja huku 40%Hakana dini .Huku China, India No Christian no Islamic. mbona kuna maendeleo.
 
Mfumo wa kijana hauruhusu sensa ya dini. Yakupasa utambue kuwa Tanzania tumechanganyika sana. Usipandikize chuki na ubaguzi katika kutoa huduma kwa wananchi. Dini ni kwaajili ya kuabudu na si kutoa huduma za kijamii.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi nchi zote zikifanya sensa huwa zinafanyaje ?

Zinaacha kuhusisha kipengele cha dini ?

Au sie ndio wa pekee ?

Tanzania ni sehemu ya Dunia.
 
Halafu inasemekana ni dini moja tu kati ya nyingi zilizopo nchini Tanzania ndio haitaki kuwepo na hicho kipengele cha dini wakati wa sensa.

Tujiulize Kwanini wanahofia kufanyika Kwa jambo hilo ?

Kwanini dini nyingine hazioni shida kuwepo kwa kipengele hicho kwenye sensa isipokuwa watu wa dini hiyo tu?
 
Science and studies na wavumbuzi wa maswala ya sensa wanataka kipengele cha dini kiwemo ,

Inakuwaje kikundi cha watu wajitokeze kukataa halafu wakubaliwe ?

Nadharia ya sensa inasemaje?
 
Halafu inasemekana ni dini moja tu kati ya nyingi zilizopo nchini Tanzania ndio haitaki kuwepo na hicho kipengele cha dini wakati wa sensa.

Tujiulize Kwanini wanahofia kufanyika Kwa jambo hilo ?

Kwanini dini nyingine hazioni shida kuwepo kwa kipengele hicho kwenye sensa isipokuwa watu wa dini hiyo tu?
Serikali ndio iliyokataa kuweka hicho kipengele, kama Kuna dini imekataa hilo itaje.
 
Serikali ndio iliyokataa kuweka hicho kipengele, kama Kuna dini imekataa hilo itaje.



Inakataa Kwa sababu gani ?

Je wamekewa wakieleza wananchi sababu hizo ili tuone kama zina mashiko au la ?

We are not isolated in the World.

Ni nchi gani inafanya sensa na kuacha hicho kipengele?!

Waloanzisha nadharia ya sensa wameainisha vigezo vya kuzingatiwa katika kufanyika sensa.

Sasa kama unaamua kufanya ili upate matokeo sahihi ni lazima ufuaate na uzingatie yale yanayotakiwa.
 
Inakataa Kwa sababu gani ?

Je wamekewa wakieleza wananchi sababu hizo ili tuone kama zina mashiko au la ?

We are not isolated in the World.

Ni nchi gani inafanya sensa na kuacha hicho kipengele?!

Waloanzisha nadharia ya sensa wameainisha vigezo vya kuzingatiwa katika kufanyika sensa.

Sasa kama unaamua kufanya ili upate matokeo sahihi ni lazima ufuaate na uzingatie yale yanayotakiwa.

Sizani kama kuna nchi duniani haihesabu sensa ya dini.
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Naunga mkono 100%., tupaze sauti mama anatakiwa kuliona hili na aache mazoea, nyerere alikuwa mwanadamu mahitajio ya sasa na miaka ile ni tofauti sana, dunia inaenda kwa kasi sana.
 
Nendeni mkahesabiane kwenye mistiki..masinagogi na makanisa yenu kisha mtuletee takwimu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kipengele cha dini hakina tija yoyote. Kuna wengine hatuna dini je itakuwaje?

Pia kipengele cha kabila nacho hakina tija. Mimi baba yangu ni Mmasai na mama ni Mchaga ila nimezaliwa na kukulia uchagani mpaka nimekuwa mtu mzima na hata kwa baba yangu huko Nainokanoka sijawahi kufika.

Najua mila na tamaduni za kichaga na lugha ya kichaga naijua pia ila kimasai sikijui.

Je mimi ni Mmasai au ni Machagga?
Kama huna dini utaingia kwenye category ya wasio na dini., muhimu kujua mahitaji ya wanadini katika maeneo mbali mbali nchini na hata wasio na dini ili kuleta maendeleo kwa ufanisi zaidi, nchi nyingi ulimwenguni zinahoji dini si kwa shari lakini kwa mahitaji.

Nyerere alikuwa mwanadamu sasa dunia imebadilika theory yake hayakuwa maneno yaliyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu
 
Nendeni mkahesabiane kwenye mistiki..masinagogi na makanisa yenu kisha mtuletee takwimu.

#MaendeleoHayanaChama
Kwenye sensa ya nchi mkuu, ondoeni hofu ni kujua tu mahitaji wanadini na wasio na dini pia
 
Elimu haina dini, afya haina dini. sote tusiokua na dini na wenye dini tunapata sawa.

Hakuna sababu ya kipengele cha dini. Sensa inaenda kuhesabu idadi ya raiawote wa Tanzania, haiendi kuhesabu wenye dini fulani wako wangapi.
Raia wa Tanzania unao waongelea hapo asilimia 90 ni wana dini, hili suali la dini kuwepo litasaidia kwenye mahitaji ya maendeleo kama alivyofafanua mtoa mada. ni hivyo tu mama azingatie.
 
Kama inafahamika kuwa mikoa fulani inawaislamu wengi na mikoa fulani inawakristo wengi hiyohiyo inatosha, kuingiza kipengele cha kuulizana dini ni kukaribisha hoja ya ubaguzi wa maendeleo kuwa mikoa fulani haijaliwi na serekali kwa kuwa watu wa dini fulani ni wengi kulikodini fulani.
Sio ubaguzi ni uhitaji wa maendeleo kutokana na dini zao hili jambo ni mashuhuri mtoa mada ametola mfano wa nchi za mataifa ya Morocco na mengine ya kiislamu mbona wao hawakuja na hoja hizo unazoziwaza wewe.

Ni vile wakiristo wengi wanahofu kujiona katika Taifa la Tanzania idadi yao ni chache lakini hili suali likiwekwa halitamaanisha hivyo ni kwa sababu ya mahitaji tu
 
Nimejaribu ku-google nchi nyingine. Kila nchi niliyoona taarifa zake wameweka takwimu za dini za raia wao mfano nchi ya Chad iko hivi:
Religion
(2015)[2]
Hiyo ni kwa mujib wa sensa waliyofanya 2015.
Kimataifa nchi zote wanaoyesha hivo. Mimi sijui faida au hasara yake. Kuna nchi ambayo hata bila kuhesabiana, tayari wanajua, hata watu wa mataifa mengine wanawajua takwimu zao za dini. Mfano Misri wanajijua kabisa idadi ya waislam ni kubwa kuliko dini nyingine. Poland wanajijua, na sisi tunawajua kuwa wakristo wakatoliki ni wengi kuliko dini nyingine. Je kwa takwimu hizo kujulikana kumekuwa na faida gani? Je kumekuwa na hasara gani?
Tujiulize (hapa utafiti ni muhimu) kwa Nini mataifa mengine wanapofanya sensa wanatoa na takwimu za imani za raia wao? Kwa Nini sisi tuache jambo ambalo wengine wote wanafanya? Na kwanini tufanye kwa vile wengine wanafanya?
uko juu mkuu wape figure hizi waondoe hofu
 
Naunga mkono 100%., tupaze sauti mama anatakiwa kuliona hili na aache mazoea, nyerere alikuwa mwanadamu mahitajio ya sasa na miaka ile ni tofauti sana, dunia inaenda kwa kasi sana.

Watanzania kila kitu tuko nyuma, yani wamwisho. Kwenye suala la sensa sidhani kama mama atakua amejiamulia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom