Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Matajiri wakubwa Tz ni wa dini gani vile?
Endeleza kibanda chako cha kuuza Bidhaa za Said Salim Bakhreesa na Mohammed Dewji
Wamejenga hospitali ngapi nashule ngapi au wanawapanga ofisini kwao kuwapa jerojero kila Ijumaa!
 
Ngoja nione kama nimekupata vizuri...., Kwamba kuna Mikoa ambayo ipo nyuma kimaendeleo na ni Masikini..., kwahio hapo kama common denominator ni Dini / Imani Fulani tuweze kujua ili kusaidia....

Mfano unagundua tatizo ni Imani potofu (kama baadhi ya makabila ya ukeketaji) je utaanza kuwaambia / kuwafundisha au kuwaabia hao watu waachane na Imani yao ? Kama hio Imani ipo intertwined kwenye Dini huoni itakuwa ni kazi kubwa ?

Kwanini shortcut isiwe kuondoa umasikini, ujinga na maradhi popote unapoonekana be it mkoa gani au watu wengi ni wa Imani gani...

Sababu hayo matatizo hayachagui Imani, na kama kuna Imani potofu ni jukumu la kila raia na hata viongozi wa hio Imani kuweza kuinyoosha hio Imani...,
Hilo jamaa ni jinga sna aweke top five mikoa maskini aone anakuwa mjinga sana mara waje mikoa ya pwani masikini mara waislamu hawa mambwa wanafundishana ujinga sana kanisani
 
Elimu ni nguzo muhimu kuleta maendeleo ya jamii husika. Maeneo ambayo ukristu uliweka mizizi shule na hospitali zilijengwa. Uislamu ulijikita ujenzi wa misikiti. Bila Nyerere kutaifisha shule na hospitali, maendeleo katika maeneo yanayo kaliwa na uislamu yangekuwa nyuma sana, na mambo ya Boko haramu yangeshamiri.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kilaza 😅😅😅😅 wa mwisho usichukue kila mtu ana imani yake elimu mmefanya nn zaidi ya kingereza broken na siasa za ovyo hamna ugunduzi sema mnajua kukariri sana
 
Waislamu hawana maendeleo sababu ya mafunzo wanayopeana misikitini na life style zao.

Pili kuendekeza ushrikiana na kutopenda kufanya kazi kwa bidii. Kila jambo wanategemea waganga wa kienyeji.

Pia katika kusoma Wazazi huwakazania watoto wao kusoma elimu ya dini kuliko elimu dunia.

Pia wanaendekeza sana ndoa za utotoni wakati mtu bado hajajipanga na maisha
Kaangalie kagera mbwa wewe
 
Hili halitowezekana
Ni marufuku kubwa ya AMANI kuzungumzia dini katika taifa lenye jambo moja tu WASWAHILI. Dini isiwe mjadala wa jambo lolote ktk taifa,itapelekea ukabila baadae,kitu ambacho sisi wa kanda ya ziwa tutawakomesha, tuzungumzie utaifa wenye lugha moja,na kila mmoja aheshimu dini ya mwenziwe,na serikali isiingilie dini ya mtu isipokua tu pale dini itakapotumika kuvunja amani au kuleta viashiria vya uvunjifu wa amani,hapo serikali iingilie kati,lakini mtoa mada hili uliloosema hapa linapaswa kua useless na hii mada ifutwe.
Kabisa kwa sababu mm naongea wakristo ni wabaguzi ndo maana utasikia mara wamekashfu ivi huwaga mm sipend shobo sihudhurii sherehe ya mkristo hata awe rafiki yangu kiasi wanaweza kutupa hata sumu hawatupendi kabisa ,makabila ndo kabisa
 
Mikoa ya pwani ni wavivu sana...wachache sana wanajua thamani ya kufanya kazi kwa bidii...tuna beki tatu hapa analala kama katoto kadogo...huko alikotoka huwa wanalala tu wakishakunywa chai asubuhi...
Pambana na umaskini muokoe mama ako asiwe omba omba hujawai kufika chuki moyoni mbaya sana utakonda kijinga usizungumzie kitu hukijui
 
Halafu wote hao wanane asili yao ni Asia na kwamba wamezipataje hizo Mali, mungu wao anajua iwapo amewaachia furusa ya udanganyifu ili watajirike then wewe ujivunie eti waislamu wenzako wanaukwasi,

Acha uvivu wewe mbongo, tutafute vyetu na sisi ngozi nyeusi
Wewe kwenu una pesa si kapuku tu kafie mbele shobo kibao umetolewa mfano povu hujui hata unaongea nn tuje bongo tumewashika kila kona

Dunia qatar ndo ina GDP kubwa
 
Sasa kama kundi flani ambao wanaongiza kwa utajiri Tanzania na Asia misaada wanayopeana ni misikiti na visima vya maji misikitini? Utafanunishaje na wanawekeza kwenye mashule na mahospitali?
Wewe una hakika mbona unaropoka sana😅😅😅 sana elimu ya bongo y kuajiriwa mshamba we wakuja hospital ngapi tunazijua na ni kali chuki mambwa wa kikristo
 
Zitaje Mkuu
Zipo nyingi we mshamba wapi ingia google andika kila mkoa niliofika zipo labda huko unapofuga nguruwe


Zipo nying mno yaaani kama huji google kalale usije leta chuki hapa utatajiwa uanze sijui upumbavu gani
 
Watu wanajua kuvaa kanzu, kufuga ndevu na majini maendeleo watayatafutaje?

Oman, saudia, emirates n.k wanavaa kanzu na wengine huachia ndevu maaaachallah Allah amewajaalia, na nchi zao zimeendelea. Wewe mmatumbi wa kikatoliki unaeshinda na suruali/suti una maendeleo gani, au nchi yetu ina maendeleo gani kuwazidi waarabu!!!!

Kuhusu majini, uislamu na majini mbali mbali, hivyo acha kuongea usichokijua. Hujui rukhsa kuuliza
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Hoja yako kama ulisoma History vizuri hukua na haja ya kuuliza haya kwenye sensa karne hii. Na swala la udini kwenye sensa hapana
 
Hili halitowezekana

Kabisa kwa sababu mm naongea wakristo ni wabaguzi ndo maana utasikia mara wamekashfu ivi huwaga mm sipend shobo sihudhurii sherehe ya mkristo hata awe rafiki yangu kiasi wanaweza kutupa hata sumu hawatupendi kabisa ,makabila ndo kabisa
Kija haji, huku tunajumuika nao kama kawaida, na nguruwe ndo walaji wakubwa!

We huoni mkifunganga na kitimoto zinakisa soko?

Usilete shobo hapa, mla nguruwe no moja!
 
Nimeorodhesha sababu kadhaa hapo sijui umesoma au umekimbilia tu kujibu
Hizo sababu zako hazina mashiko. Ukitaka kujua Waislam mko wangapi na ktk eneo gani wekeni utaratibu wa sensa yenu. Kanisa Katoliki (Sijui madhehebu mengine) wanao utaratibu mzuri sana, Ukimuuliza Askofu wa Jimbo kwamba Jimboni kwako una Wakatoliki wangapi anaingia tu kwenye system anakupa idadi. Msitake kutumia resources za Serikali kuwahesabia Waislam
 
Kija haji, huku tunajumuika nao kama kawaida, na nguruwe ndo walaji wakubwa!

We huoni mkifunganga na kitimoto zinakisa soko?

Usilete shobo hapa, mla nguruwe no moja!
Wale tu Kuna tatizo gani ishu ubaguzi kila mtu na msimamo wake dini sio mtu we wakuja nn
 
Back
Top Bottom