Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Waislamu hawana maendeleo sababu ya mafunzo wanayopeana misikitini na life style zao.

Pili kuendekeza ushrikiana na kutopenda kufanya kazi kwa bidii. Kila jambo wanategemea waganga wa kienyeji.

Pia katika kusoma Wazazi huwakazania watoto wao kusoma elimu ya dini kuliko elimu dunia.

Pia wanaendekeza sana ndoa za utotoni wakati mtu bado hajajipanga na maisha
 
Waarabu walicho nacho ni fedha tu inayo tokana na mafuta asilia.
Hawajafanya lolote la kujiletea maendeleo.
Pia mafuta yenyewe yanapata thamani kwa sababu ya ugunduzi ( kazi ) wa wazungu.
Africa kupokea akili ya kiarabu, imetugharimu zaidi.
Sasa na sisi mbona hatutumii tulivyokuwa navyo kujipatia utajiri au kuondoa tu huu umasikini?
 
Waislamu hawana maendeleo sababu ya mafunzo wanayopeana misikitini na life style zao.

Pili kuendekeza ushrikiana na kutopenda kufanya kazi kwa bidii. Kila jambo wanategemea waganga wa kienyeji.

Pia katika kusoma Wazazi huwakazania watoto wao kusoma elimu ya dini kuliko elimu dunia.

Pia wanaendekeza sana ndoa za utotoni wakati mtu bado hajajipanga na maisha
Hao ni waislamu wa dunia nzima au wa Tanzania tu?
 
Kipengele cha dini hakina tija yoyote. Kuna wengine hatuna dini ne itakuwaje?

Pia kipengele cha kabila nacho hakina tija. Mimi baba yangu ni Mmasai na mama ni Mchaga ila nimezaliwa na kukulia uchagani mpaka nimekuwa mtu mzima na hata kwa baba yangu huko Nainokanoka sijawahi kufika.

Najua mila na tamaduni za kichaga na lugha ya kichaga naijua pia ila kimasai sikijui.

Je mimi ni Mmasai au ni Machagga?
Wewe ni mmasai ila mcahga wa kuloea yani mlowezi wa kichaga,ila asili yako ni mmasai
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Nonsense
 
Kwa hiyo wewe kijijini kwenu mnaovaa rozali na kuabudia lile sanamu pale mbele ya jengo mnawazidi Maendeleo Egypt, Oman na Dubai ambao katika hao waislamu? Acha Uzwazwa. Ukichukua matajiri wakubwa Tanzania ktk top 10 Wakristo ni 2 Tu. Same applies to the rank of Africa. Ndio maana takwimu ni muhimu
Halafu wote hao wanane asili yao ni Asia na kwamba wamezipataje hizo Mali, mungu wao anajua iwapo amewaachia furusa ya udanganyifu ili watajirike then wewe ujivunie eti waislamu wenzako wanaukwasi,

Acha uvivu wewe mbongo, tutafute vyetu na sisi ngozi nyeusi
 
Dini kwa macho ya kawaida inaonekana siyo muhimu kutajwa, ila kuna mahali ambapo ni muhimu kujua dini ya mtu.

Let's say hospital umeenda hujajaza kipengele cha dini, ikatokea umefariki na hakuna mtu wa karibu hapo utazikwa kwa akina kinjekitile.

Kwa watanzania dini ni muhimu vinginevyo Roman Catholic watatawala wao milele
Mawazo duni kabisa haya, kuhesabiwa kidini zetu na waromani kutawala kuna mahusiano gani hapa!

Unataka kusema kwamba, hata kabla ya serikali kuhesabu watu na dini zao, Waloma walishahesabiwa na serikali, na serikali inatumia sensa ya walomani kuwapendelea siyo?
 
Serikali ya ccm imeshaona dini ni takataka na wizi wa kuaminika
 
Waarabu walicho nacho ni fedha tu inayo tokana na mafuta asilia.
Hawajafanya lolote la kujiletea maendeleo.
Pia mafuta yenyewe yanapata thamani kwa sababu ya ugunduzi ( kazi ) wa wazungu.
Africa kupokea akili ya kiarabu, imetugharimu zaidi.

Kila cku mnawasakama waarabu alafu hapo hapo mnawapeleka dada zenu wakafanye kazi za ndani uarabuni, mnajenga nyumba na kujifungulia biashara kutokana na hela zao alafu still unawasema 😁 akili zingine bwana!!

Hivi mzungu alikosea kukuita SOKWE? hili neno angelitoa mwarabu nadhani ungewehuka wewe,

Acha chuki, fanya kazi hudumia familia yako.
 
Hivi wenzetu nchi nyingine huwa wanafanyaje?

Yani ni ajabu sana.!

Kwanini hawataki hicho kipengele?
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

Hii hoja yako ni dhaifu na ya kizembe sana. Kubaini maeneo ya nchi yenye changamoto zaidi au yaliyobaki nyuma kimaendeleo, Serikali haihitaji kujua dini za watu. Now, whether or not dini zinachangia kuendelea au kutoendelea, hilo haliihusu Serikali. Uhuru wa kuabudu ni haki ya mwananchi ya kikatiba. Serikali haina wajibu wa kuhubiri dini, hata kama dini fulani inaonekana kuchangia maendeleo zaidi kuliko dini nyingine!
 
Waislamu hawana maendeleo sababu ya mafunzo wanayopeana misikitini na life style zao.

Pili kuendekeza ushrikiana na kutopenda kufanya kazi kwa bidii. Kila jambo wanategemea waganga wa kienyeji.

Pia katika kusoma Wazazi huwakazania watoto wao kusoma elimu ya dini kuliko elimu dunia.

Pia wanaendekeza sana ndoa za utotoni wakati mtu bado hajajipanga na maisha
IMG-20220311-WA0003.jpg
 
Waislamu hawana maendeleo sababu ya mafunzo wanayopeana misikitini na life style zao.

Pili kuendekeza ushrikiana na kutopenda kufanya kazi kwa bidii. Kila jambo wanategemea waganga wa kienyeji.

Pia katika kusoma Wazazi huwakazania watoto wao kusoma elimu ya dini kuliko elimu dunia.

Pia wanaendekeza sana ndoa za utotoni wakati mtu bado hajajipanga na maisha
View attachment 2146438
 
We kwa siku unaswali mara 5 tena kwa nyakati tofauti huo muda wa kuwa serious na kazi unaupata wapi? Mmeshindwa kuchuma duniani mmeshawekewe chenu pembeni na Mwenyeezi Mungu kufidia kukosa kwenu hapa duniani, hamuwezi kukosa bara na pwani maana mtoaji ni Mungu na pengine ndio kaugawa huo umasikini unaouzungumzia kwenu ili mkapate zaidi Mbinguni.
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Ni marufuku kubwa ya AMANI kuzungumzia dini katika taifa lenye jambo moja tu WASWAHILI. Dini isiwe mjadala wa jambo lolote ktk taifa,itapelekea ukabila baadae,kitu ambacho sisi wa kanda ya ziwa tutawakomesha, tuzungumzie utaifa wenye lugha moja,na kila mmoja aheshimu dini ya mwenziwe,na serikali isiingilie dini ya mtu isipokua tu pale dini itakapotumika kuvunja amani au kuleta viashiria vya uvunjifu wa amani,hapo serikali iingilie kati,lakini mtoa mada hili uliloosema hapa linapaswa kua useless na hii mada ifutwe.
 
Back
Top Bottom