Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Sina tabia za kimasai kabisa. Yani mimi ni mchaga hata tukikutana leo utajua tu ni mchaga mpaka nikuambie kuwa sio.


Biologically ndio nakubali mimi ni mmasai. Lakini socially huwezi kusema mimi ni mmasai. Nafit zaidi kwenye uchagga.
Bwana wee naenda ukasalimie huko Umasaini upajue vyema.
Kuna umuhimu asee.
 
Hii hoja ishindwe 100%
Nimejaribu ku-google nchi nyingine. Kila nchi niliyoona taarifa zake wameweka takwimu za dini za raia wao mfano nchi ya Chad iko hivi:
Religion
(2015)[2]
Hiyo ni kwa mujib wa sensa waliyofanya 2015.
Kimataifa nchi zote wanaoyesha hivo. Mimi sijui faida au hasara yake. Kuna nchi ambayo hata bila kuhesabiana, tayari wanajua, hata watu wa mataifa mengine wanawajua takwimu zao za dini. Mfano Misri wanajijua kabisa idadi ya waislam ni kubwa kuliko dini nyingine. Poland wanajijua, na sisi tunawajua kuwa wakristo wakatoliki ni wengi kuliko dini nyingine. Je kwa takwimu hizo kujulikana kumekuwa na faida gani? Je kumekuwa na hasara gani?
Tujiulize (hapa utafiti ni muhimu) kwa Nini mataifa mengine wanapofanya sensa wanatoa na takwimu za imani za raia wao? Kwa Nini sisi tuache jambo ambalo wengine wote wanafanya? Na kwanini tufanye kwa vile wengine wanafanya?
 
Dini sio muhimu kwenye sensa maana kila mwaka unaweza kuwa na dini mpya ukitaka so ni suala la kibinafsi zaidi tofauti na taarifa zingine za kudumu.
Lakini cha muhimu zaidi ni kulinda umoja na mshikamano maana mataifa mengi amani imevunjika kisa dini.
Taarifa za makabila ni muhimu kwa ajili ya kudumisha utamaduni wetu na kukuza tafiti za historia za makabila yetu ili kuzidi kujua huko tulipotoka.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwenye makabila pia nako kuna tatizo la ukabila.
 
Naunga mkono hoja. Suala hili serikali isiendeshwe kwa mihemko ya baadhi ya watu badala yake ijikite kwenye kuona tija za takwimu kwenye maamuzi na mipango ya mambo mbalimbali. Nasisitiza kipengele cha dini ni muhimu sana kiwepo kwenye sensa. Kiujumla sensa ni gharama sana, sasa serikali ichukue kila aina ya data hata kama zitakuja kutumiaka miaka ijayo. Hakuna mtu atakuja kunyang'anywa dini yake eti kisa serikali imexhukua takwimu. Hatuweza kufanya mambo ya kubahatisha na mabunio ya kitakwimu wakati tunafursa ya kupata yakwimu halisi.
Acheni ubaili taasisi yenu itenge fungu ili mjihesabu mjijue mpo wangapi. Itawasaidia kujiendeleza Kama taasis. USIJIBANZE KWA SERIKALI IKUFANYIE KAZI MAANA SERIKARI HAIONI MASIRAI YAKE.
 
Sasa kama kundi flani ambao wanaongiza kwa utajiri Tanzania na Asia misaada wanayopeana ni misikiti na visima vya maji misikitini? Utafanunishaje na wanawekeza kwenye mashule na mahospitali?
 
Kwenye makabila pia nako kuna tatizo la ukabila.
Kabila linabeba historia ya mtu maana kabila unapata kwa baba na kurithi vizazi kwa vizazi milele. Kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia yanayokuja tunahitaji data za makabila ili mbeleni tuzidi kujua chimbuko la jamii zetu na uhusiano wa kihistoria/kibaologia na jamii zingine.

Japo hata Tanzania kwa haraka haraka unaweza kujua dini gani wapo wengi hata kwenye internet unaweza pata hizo data bila hata kuweka kwenye sensa.
Just hesabu nyumba za ibada kila kata uone misikiti, makanisa, hekalu au nyumba za mizimu zipo ngapi utapata majibu ni dini gani wapo wengi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kipengele cha dini ni upuuzi kuwekwa kwenye sensa. Sensa inalenga kutathmini maendeleo mutually na sio mafungamano yake na dini. Sioni hoja yeyote yenye msaada uliyoitoa pale serikali itakapogundua mikoa fulani iko nyuma kimaendeleo kwasababu watu wake ni wa dini fulani, zaidi ya kusema 'serikali inakazi ya kufanya' kazi ipi sasa? Kwa maoni yangu Kama ambavyo umeshindwa kuisema kazi hiyo inayotakiwa kufanywa na serikali basi ndivyo upuuzi wa hoja ya dini unaanzia hapo hapo. Ukishajua mkoa wa Lindi unawaislamu wangapi vs wakristo then what? Itakusaidia nini kwenye kupanga ujenzi wa barabara, shule, zahanati na upatikanaji wa maji? Kama shule haikujengwa wakati wa ukoloni mtwara kisa uislamu Kama hoja yako inavyojielekeza implicitly, ni muislam gani atakataa kwenda shule ukijenga leo kule tandahimba. Hitimisho hoja ya dini leo bado haina mashiko Kama ambavyo haikuwa na mashiko siku za nyuma Kama utachukua muda wako kujielimisha juu ya umuhimu wa sensa ya watu na makazi kwa muktadha wa maisha ya sasa ya mtanzania. I rest my case.
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
 
Ni kweli maendeleo ya kiuchumi/kijamii yanahitaji takwimu sahihi, lakini je nikweli takwimu hizo ni pamoja na dini ya mtu? Kwamba eneo hili linahitaji kituo cha afya basi tujue watu wake ni dini gani? Naomba nikuulize, umetetea kipengele cha dini kwa hoja hiyo hiyo ya mazishi ya mazishi au unahoja nyingine ambayo ungedhani ni muhimu serikari ikajua dini yako?
Serikali hana dini, ila watu wake wanadini na serikali ipo kwa ajili ya kuwahudumia watu hao. Na ndio maana mtumishi wa serikali akifa itashughulikia maziko yake kwa mujibu wa imani yake. Au hata wewe ukikutwa leo mfano umekufa na ukasachiwa mfukoni ukakutwa na kitamburisho unaitwa John Richard (Mkristo) utazikwa kwa imani hiyo. Huoni kuwa serikali inauhitaji wa kufahamu dini yako? Ukizungumzia mipango ya maendeleo aidha kijamii, uchumi, nk huwezi kuepuka matumizi na uhitaji wa takwimu sahihi. Utachekesha
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Kipengele cha dini hakitatuletea tija yoyote ila kitaleta vurugu tu hapa nchini. Maswala ya dini yanatakiwa kufanyika huko huko kwenye familia. Serikali haina dini- ila wananchi wana dini zao. Serikali inatakiwa kuhakikisha maendeleo ya kila mwananchi yanapatikana kwa kupanga mikakati mizuri- kujenga mashule, zahanati, kuboresha huduma za maji,kuboresha barabara, kupiga vita mila potufu, kuhakikisha kila mtoto anakwenda shule, kutunga sheria nzuri, kuhakisha uhuru na usalama wa raia mahali popote. Je Ukijua Tanzania kuna waumini wa dhehebu fulani ni asilimia 51% - je hii itakusaidiaje kuleta maendeleo kama si utengano tu. Itakuwa sisi tupo wengi tunatakiwa tupewe nafasi zaidi katika kila kitu.
 
Nimeorodhesha sababu kadhaa hapo sijui umesoma au umekimbilia tu kujibu
Kuweka sababu haina maana kuwa zitakuwa na mantiki. Hujawahi kuona mwanafunzi kajaza karatasi ya majibu na bado kapata 0.

Serikali inakatazwa kufanya mambo kwa ubaguzi wa aina yoyote, isipokuwa tu kwenye maeneo machache mfano upendeleo wa wanawake na walemavu. Serikali ikiamua kuanza kufanya sera za maendeleo kwa kuangalia dini, itashitakiwa mahakamani kwa kuvunja katiba; kwa hiyo point yako ni null and void. Hakuna umuhimu wa kutafuta hizo taarifa maana haziwezi kutumika.

Kama unataka kujua wapi umaskini unatokea, angalia vitu kama wapi eneo lipo, geografia na climate ya eneo. Jiulize, huo mkoa una-produce kitu gani cha maana cha kuwaondolea umaskini. Nyanda za juu Kusini wana mipaka na nchi muhimu, ardhi na hali ya hewa ya kulima mazao muhimu ya biashara kama kahawa etc Nyanda za juu Kaskazini ni kilimo na utalii. Sasa kama pia maeneo hayo yana watu wa dini fulani, ujue yana maendeleo sio kwa sababu ya dini, kuna sababu nyingine za ziada.
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Bora dini iulizwe kuliko kabila la mtu maana wazilankende hawakawii
 
Dini kwa macho ya kawaida inaonekana siyo muhimu kutajwa, ila kuna mahali ambapo ni muhimu kujua dini ya mtu.

Let's say hospital umeenda hujajaza kipengele cha dini, ikatokea umefariki na hakuna mtu wa karibu hapo utazikwa kwa akina kinjekitile.

Kwa watanzania dini ni muhimu vinginevyo Roman Catholic watatawala wao milele
 
Kabila linabeba historia ya mtu maana kabila unapata kwa baba na kurithi vizazi kwa vizazi milele. Kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia yanayokuja tunahitaji data za makabila ili mbeleni tuzidi kujua chimbuko la jamii zetu na uhusiano wa kihistoria/kibaologia na jamii zingine.

Japo hata Tanzania kwa haraka haraka unaweza kujua dini gani wapo wengi hata kwenye internet unaweza pata hizo data bila hata kuweka kwenye sensa.
Just hesabu nyumba za ibada kila kata uone misikiti, makanisa, hekalu au nyumba za mizimu zipo ngapi utapata majibu ni dini gani wapo wengi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Point yangu kwenye makabila kuna tatizo la ukabila hilo unalizungumziaje?
 
Point yangu kwenye makabila kuna tatizo la ukabila hilo unalizungumziaje?
Nimekupata. Ukabila Tanzania ni ngumu sana kuutekeleza kwa vile makabila ni mengi sana. Udini ni rahisi kuleta madhara kwa vile una makundi makuu mawili yaani ukristo na uislamu. Ni rahisi mkristo mchaga kuwa na ukaribu na mkristo msukuma kuliko mkristo mchaga kuwa na ukaribu na mwislamu mchaga. Dini hizi zinapingana na kubaguana kwenye mafundisho yake lakini tamaduni za makabila hazipingani wala kubaguana.
Ni rahisi mtu kuoa mtu wa kabila tofauti lakini sio rahisi mtu kuoa mtu wa dini tofauti.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
UMEANDIKA UPUMBAVU NA UPUUZI.

HATA SIJAKUELEWA NAONA UNALIA LIA TU.
 
Back
Top Bottom