Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tusio na dini umetuandalia sehemu ya kutuweka?Serikali hana dini, ila watu wake wanadini na serikali ipo kwa ajili ya kuwahudumia watu hao. Na ndio maana mtumishi wa serikali akifa itashughulikia maziko yake kwa mujibu wa imani yake. Au hata wewe ukikutwa leo mfano umekufa na ukasachiwa mfukoni ukakutwa na kitamburisho unaitwa John Richard (Mkristo) utazikwa kwa imani hiyo. Huoni kuwa serikali inauhitaji wa kufahamu dini yako? Ukizungumzia mipango ya maendeleo aidha kijamii, uchumi, nk huwezi kuepuka matumizi na uhitaji wa takwimu sahihi. Utachekesha.
Kwamba Serikali itasaidiwa kwa kupata takwimu ya fulani dini gani ili iweze kumsaidia kumzika ?Serikali hana dini, ila watu wake wanadini na serikali ipo kwa ajili ya kuwahudumia watu hao. Na ndio maana mtumishi wa serikali akifa itashughulikia maziko yake kwa mujibu wa imani yake. Au hata wewe ukikutwa leo mfano umekufa na ukasachiwa mfukoni ukakutwa na kitamburisho unaitwa John Richard (Mkristo) utazikwa kwa imani hiyo. Huoni kuwa serikali inauhitaji wa kufahamu dini yako? Ukizungumzia mipango ya maendeleo aidha kijamii, uchumi, nk huwezi kuepuka matumizi na uhitaji wa takwimu sahihi. Utachekesha.
Kama huna dini unaitwa tu Mpagani mbona simple? Kwa ni wewe usipokuwa na dini ndio wengine wote wasijulikane wala serikali isiwe na takwimu sahihi?Kipengele cha dini hakina tija yoyote. Kuna wengine hatuna dini ne itakuwaje?
Pia kipengele cha kabila nacho hakina tija. Mimi baba yangu ni Mmasai na mama ni Mchaga ila nimezaliwa na kukulia uchagani mpaka nimekuwa mtu mzima na hata kwa baba yangu huko Nainokanoka sijawahi kufika.
Najua mila na tamaduni za kichaga na lugha ya kichaga naijua pia ila kimasai sikijui.
Je mimi ni Mmasai au ni Machagga?
Basi hata kipengele Cha kabila, elimu nacho kitolewe. Watu wajihesabu huko makwaoKwanini msijihesabu huko makanisani/ misikitini mkajuana idadi kuliko kuleta mkanganyiko kwa wanajamii
Kwani kwa mfano hata sasa tunajua kuwa Kabila ka Wasandawe na Wazanaki ni wachache sana na Kabila Kama Wasukuma ni wengi sana. Eleza athari kubwa waliyoipata Wazanaki kwa Kujua kuwa ni Wachache.Wa kundi fulani kujiona wako wengi na wengine labda wachache, unadhani miaka yote kwanini serikali huwa haiweki hiki kipengele cha dini?
Kipengele cha dini hakina maana....Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Kwa hiyo wewe kijijini kwenu mnaovaa rozali na kuabudia lile sanamu pale mbele ya jengo mnawazidi Maendeleo Egypt, Oman na Dubai ambao katika hao waislamu? Acha Uzwazwa. Ukichukua matajiri wakubwa Tanzania ktk top 10 Wakristo ni 2 Tu. Same applies to the rank of Africa. Ndio maana takwimu ni muhimuWatu wanajua kuvaa kanzu, kufuga ndevu na majini maendeleo watayatafutaje?
Serikali hana dini, ila watu wake wanadini na serikali ipo kwa ajili ya kuwahudumia watu hao. Na ndio maana mtumishi wa serikali akifa itashughulikia maziko yake kwa mujibu wa imani yake. Au hata wewe ukikutwa leo mfano umekufa na ukasachiwa mfukoni ukakutwa na kitamburisho unaitwa John Richard (Mkristo) utazikwa kwa imani hiyo. Huoni kuwa serikali inauhitaji wa kufahamu dini yako? Ukizungumzia mipango ya maendeleo aidha kijamii, uchumi, nk huwezi kuepuka matumizi na uhitaji wa takwimu sahihi. Utachekesha.
Kwani Serkali ya Israel haina Dini kama Serikali yetu ?Kama huna dini unaitwa tu Mpagani mbona simple? Kwa ni wewe usipokuwa na dini ndio wengine wote wasijulikane wala serikali isiwe na takwimu sahihi?
Amgalia takwimu za waumini (idadi) kwa nchi ya Israel ilivyo hapa chini ambapo kipengele cha dini. Ingawa ukisikia baadhi wanavyojitapa na kujilikisha Israel utadhani wapo kwa 90%. Let data speaks for itself and use it for better
View attachment 2144519
Swali, utajuaje dini halisi ya mtu?Hivi kipengele cha dini kinaathiri nini taifa kikiwekwa?
Matajiri wakubwa Tz ni wa dini gani vile?Watu wanajua kuvaa kanzu, kufuga ndevu na majini maendeleo watayatafutaje?