Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini unauliza hivyo?Mkoa wa kigoma una waislamu wengi?
Umasikini wa mikoa hiyo haujatokana na serikali kujisahau..!!Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.
Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Umetokana na niniUmasikini wa mikoa hiyo haujatokana na serikali kujisahau..!!
Tamaduni za maeneo husika..!! Dini ya maeneo husika, hasa panapotokea watu wa dini moja (hasa waislam) kuwa wengi eneo moja. Kwenye hili wewe angalia hata kwenye shughuri za mazishi ya maeneo hayo, daftari la michango kukuta mtu kato 100/-, 50/- etc ni kama jambo la kawaida sanaUmetokana na nini
Kwa hiyo kuna haja ya serikali ku face hili tatizo sio?Tamaduni za maeneo husika..!! Dini ya maeneo husika, hasa panapotokea watu wa dini moja (hasa waislam) kuwa wengi eneo moja. Kwenye hili wewe angalia hata kwenye shughuri za mazishi ya maeneo hayo, daftari la michango kukuta mtu kato 100/-, 50/- etc ni kama jambo la kawaida sana
😂😂😂Kipengele cha dini kikiwekwa kuna watu watasema sensa imechakachuliwa.Wanafikiri wapo wengi kumbe wapo 26%.Wasiopiga kelele wapo 74%.
Hii hoja ni nzuri kabisa inatokana na mtu anayefikiri vizuri. Mimi kwa dini ni Mkristo namwelewa anachosema. Anasema kuna uhusiano unaendana na dini iliuoshamiri sehemu fulani na maendeleo. Wanatakwimu uhusiano huo huita 'correlation'. Lakini huo uhusiano hapa nchini haupo kidini tu, pia upo uhusiano wa sehemu ambazo Wamissionari walifika mapema na sehemu ambako walichelewa; kwa mfano, linganisha kiwango cha elimu Mkoa wa Shinyanga na Mkoa wa Mbeya. Mbeya au sehemu kama hizo (Kagera, Kilimanjaro, Lushoto) wananchi walitambua faida ya elimu dunia hii mapema kuliko sehemu nyingine. Kwa hiyo walianza kusomesha watoto wao na kujenga au kudai kujengewa shule nyingi mapema kuliko sehemu nyingine. Huo ndiyo ukweli.Tuwasaidie wale ambao walichelewa.Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.
Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Nchi zote za Kiarabu zimeendelea kuliko nchi za Afrika mkuuEgpty na Morocco kuna waislamu smart wasioshikilia dini kijinga kama nchi zingine za kiarabu.
Nawaitaga waislam wajanja
Siyo kweli. Kuna nchi za Kiarabu kweli zimezidi kuliko baadhi ya nchi za Kiafrika na siyo nchi zote za Afrika. Inategemea nchi ya Kiarabu ina misingi na utamaduni upi. Pia nchi za Kiarabu ni zipi? Sudan, Tunisia, Morocco au ni zile nje ya Bara la Afrika. Za Mashariki ya Kati za Kiarabu ni zipi? Mwisho, maana yako ya maendeleo ni ipi?Nchi zote za Kiarabu zimeendelea kuliko nchi za Afrika mkuu
Hakuna sababu, maana serikali haipo kuondoa mila au tamaduni zisizo na athari kiafya. Kundi husika linatakiwa kupambana na hali yakeKwa hiyo kuna haja ya serikali ku face hili tatizo sio?
Sudan sio nchi ya kiarabu, maana ina weusi wengi kuliko WaarabuSiyo kweli. Kuna nchi za Kiarabu kweli zimezidi kuliko baadhi ya nchi za Kiafrika na siyo nchi zote za Afrika. Inategemea nchi ya Kiarabu ina misingi na utamaduni upi. Pia nchi za Kiarabu ni zipi? Sudan, Tunisia, Morocco au ni zile nje ya Bara la Afrika. Za Mashariki ya Kati za Kiarabu ni zipi? Mwisho, maana yako ya maendeleo ni ipi?
Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu umasikini si uja athari kubwa sana kwa vitu vingi ikiwa pamoja na afyaHakuna sababu, maana serikali haipo kuondoa mila au tamaduni zisizo na athari kiafya. Kundi husika linatakiwa kupambana na hali yake
Sawa uarabuni wana dini hiyo.. Lakini unasahau kwamba hawa wa huku wamepokea walicholetewa na wa huko. Na wale waletaji inaonyesha wameleta mabaya zaidi ya mazuri.Sasa mkuu umasikini si uja athari kubwa sana kwa vitu vingi ikiwa pamoja na afya
Simaanishi wawalazinishe watu kubadili dini, ila kuna mambo ya muhimu wana paswa kufanya, mbona Uarabuni kuna dini hiyo lakini hawana umaskini kama huo?
Basi kama tumeletewa mafundisho tofauti na ambayo wenyewe wanafundisha huko, na mafundisho hayo yanawaletea wananchi umasikini basi kuna haja ya serikali kuingilia, ni jukumu lake kulinda wananchiSawa uarabuni wana dini hiyo.. Lakini unasahau kwamba hawa wa huku wamepokea walicholetewa na wa huko. Na wale waletaji inaonyesha wameleta mabaya zaidi ya mazuri.
Elimu ni nguzo muhimu kuleta maendeleo ya jamii husika. Maeneo ambayo ukristu uliweka mizizi shule na hospitali zilijengwa. Uislamu ulijikita ujenzi wa misikiti. Bila Nyerere kutaifisha shule na hospitali, maendeleo katika maeneo yanayo kaliwa na uislamu yangekuwa nyuma sana, na mambo ya Boko haramu yangeshamiri.Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.
Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Hao matajiri wa hiyo dini wamejenga hospitali ngapi ?Kwa hiyo wewe kijijini kwenu mnaovaa rozali na kuabudia lile sanamu pale mbele ya jengo mnawazidi Maendeleo Egypt, Oman na Dubai ambao katika hao waislamu? Acha Uzwazwa. Ukichukua matajiri wakubwa Tanzania ktk top 10 Wakristo ni 2 Tu. Same applies to the rank of Africa. Ndio maana takwimu ni muhimu