Serikali haina dini, ila raia wake wanayo....Inakataa Kwa sababu gani ?
Je wamekewa wakieleza wananchi sababu hizo ili tuone kama zina mashiko au la ?
We are not isolated in the World.
Ni nchi gani inafanya sensa na kuacha hicho kipengele?!
Waloanzisha nadharia ya sensa wameainisha vigezo vya kuzingatiwa katika kufanyika sensa.
Sasa kama unaamua kufanya ili upate matokeo sahihi ni lazima ufuaate na uzingatie yale yanayotakiwa.
Tanzania hatutafanya hilo, sio kila kitu ni muhimu kuiga.
Serikali haina dini, ila raia wake wanayo....
lengo la sensa ni kufahamu idadi ya watu na mahitaji yao, hayo ya kujua idadi ya waumini fanyeni nyie kwenye mikusanyiko yenu ya kidini
Watu wanajua kuvaa kanzu, kufuga ndevu na majini maendeleo watayatafutaje?
Halafu wanajua Sheria mbili tu za hiyo dini.
1. Nguruwe ni haram
2. Kufunga ramadhani muhimu.
Upendo hakuna kabisa, roho mbaya, wivu, uchawi, uzinzi husda na ufisadi vimetawala mioyo Yao.
Taasisi ni lazima isajiliwe na ifahamike majukumu yake, viongozi wake na washirika wake kwa maslahi ya usalama wa nchi.Mbona iko interested kujua idadi ya taasisi za dini na taarifa zao ?
Unafahamu hayo ?
Pole sana,kaulize wachungaji wenu wanaapkwenda Nigeria kununua uchawi
Taratibu MgalatiaWatu wanajua kuvaa kanzu, kufuga ndevu na majini maendeleo watayatafutaje?
Phobia!Wa kundi fulani kujiona wako wengi na wengine labda wachache, unadhani miaka yote kwanini serikali huwa haiweki hiki kipengele cha dini?
Allahumma amin Yaa Rabbi l Aalamin.
Na wewe pia maalim wangu kwa Dua zako Njema.
Allah akuongeze kila jema. Na zuri popote ulipo.
umeanza sifa zenu zile za uwongo za kichaga. Shule za kata zilianza Kilimanjaro? una ushahidi? Shule za kata zilianza kujengwa nchi nzima kipindi cha Kikwete waziri mkuu akiwa Lowasa. Acheni sifa za kijingaUlisoma historia?
Mbona sasa hiyo study unaweza kuifanya mwenyewe tu bila hata kuingizwa kwenye sensa?
jiulize kwanini shule za kata/wazazi zilianzia Kilimanjaro ?
Kwanini watu wa Hai hawazungumzii changamoto za maji kama watu wa Mwakidira TANGA/KABUKU nk?
Si mjihesabu huko misikitini? chokochoko ya nini?Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.
Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Nani alikuambia mkoa wa kigoma unawaislamu wengiRais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.
Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Hakuna faida ya kujua dini ya nani ni naniRais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.
Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Mkoa wa Kilimanjaro shule za kata zilianza kipindi Cha Mkapa, kipindi hicho lowasa ni waziri wa kilimo na mifugo, na kikwete waziri wa mambo ya nje kwa hiyo mtoa mada Yuko sahiiumeanza sifa zenu zile za uwongo za kichaga. Shule za kata zilianza Kilimanjaro? una ushahidi? Shule za kata zilianza kujengwa nchi nzima kipindi cha Kikwete waziri mkuu akiwa Lowasa. Acheni sifa za kijinga