Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Inakataa Kwa sababu gani ?

Je wamekewa wakieleza wananchi sababu hizo ili tuone kama zina mashiko au la ?

We are not isolated in the World.

Ni nchi gani inafanya sensa na kuacha hicho kipengele?!

Waloanzisha nadharia ya sensa wameainisha vigezo vya kuzingatiwa katika kufanyika sensa.

Sasa kama unaamua kufanya ili upate matokeo sahihi ni lazima ufuaate na uzingatie yale yanayotakiwa.
Serikali haina dini, ila raia wake wanayo....

lengo la sensa ni kufahamu idadi ya watu na mahitaji yao, hayo ya kujua idadi ya waumini fanyeni nyie kwenye mikusanyiko yenu ya kidini
 
Serikali haina dini, ila raia wake wanayo....

lengo la sensa ni kufahamu idadi ya watu na mahitaji yao, hayo ya kujua idadi ya waumini fanyeni nyie kwenye mikusanyiko yenu ya kidini



Mbona iko interested kujua idadi ya taasisi za dini na taarifa zao ?

Unafahamu hayo ?
 
Pole sana,kaulize wachungaji wenu wanaapkwenda Nigeria kununua uchawi
Halafu wanajua Sheria mbili tu za hiyo dini.
1. Nguruwe ni haram
2. Kufunga ramadhani muhimu.
Upendo hakuna kabisa, roho mbaya, wivu, uchawi, uzinzi husda na ufisadi vimetawala mioyo Yao.
 
Mbona iko interested kujua idadi ya taasisi za dini na taarifa zao ?

Unafahamu hayo ?
Taasisi ni lazima isajiliwe na ifahamike majukumu yake, viongozi wake na washirika wake kwa maslahi ya usalama wa nchi.

Ila kujua idadi ya waumini wa dini ni jukumu lenu washirika wa dini husika na viongozi wenu.
 
Kama Rais anaenda pahali kuongea na watu,kuwahutubia watu; lazima ajue watu wale wanawaza nini SASA HIVI. Na njia moja ya kujua wanawaza nini ni kufahamu dini zao,Ni kufahamu Imam kaongea nini.
Kwa mfano Joe Biden anaenda kuongea katika Bible Belt,yapo majimbo mengine kule Marekani(sijui majimbo gani), yanaitwa "Bible Belt",bila Shaka kwa vile watu wanasoma sana Biblia. Sasa Biden akitaka kwenda kule kuongea na wale watu,speech writer wa Rais lazima ajue speech nzuri ya kuandika(ili awaridhishe watu wa Bible Belt). Ni kwa maana hiyo ndiyo tunasema ni muhimu kwa Rais,kwa Serikali kujua imani za watu.
 
Mikoa uliyotaja ni kweli ipo nyuma kiuchumi. Kwa sababu;

1. Uislamu ulifanyika kuwa utamaduni, kwa kiasi kikubwa waliwakataa Wajerumani na Elimu yao, kwa sababu ilihamasisha sana dini ya kikristo, Abushiri, Bwana Heri, Maji Maji hizi zote zimetoka ukanda huu, Waingereza pia hawakuwa huru kukaa huku.

2. Mkoa kama kigoma ni kwa sababu ulikuwa 'Labor recruitment centre', kutokana na ardhi yake hawakuFanya sana shughuli za kimaendeleo huko; hiyo mikoa mingine ulotaja si tu kuwa na Ukithiri wa dini as utamaduni, ila ilifanyika kama 'Production areas' ndio mana.

Kuhusu kipengele cha dini kwenye sensa hakuna maana yoyote zaidi ya kutafuta basis ya kutenganisha watu, tutambuane kwa Utanzania wetu, uwe dini.
 
Ulisoma historia?

Mbona sasa hiyo study unaweza kuifanya mwenyewe tu bila hata kuingizwa kwenye sensa?
jiulize kwanini shule za kata/wazazi zilianzia Kilimanjaro ?

Kwanini watu wa Hai hawazungumzii changamoto za maji kama watu wa Mwakidira TANGA/KABUKU nk?
umeanza sifa zenu zile za uwongo za kichaga. Shule za kata zilianza Kilimanjaro? una ushahidi? Shule za kata zilianza kujengwa nchi nzima kipindi cha Kikwete waziri mkuu akiwa Lowasa. Acheni sifa za kijinga
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Si mjihesabu huko misikitini? chokochoko ya nini?
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Nani alikuambia mkoa wa kigoma unawaislamu wengi
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele.


Pia soma: Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu
Hakuna faida ya kujua dini ya nani ni nani
 
umeanza sifa zenu zile za uwongo za kichaga. Shule za kata zilianza Kilimanjaro? una ushahidi? Shule za kata zilianza kujengwa nchi nzima kipindi cha Kikwete waziri mkuu akiwa Lowasa. Acheni sifa za kijinga
Mkoa wa Kilimanjaro shule za kata zilianza kipindi Cha Mkapa, kipindi hicho lowasa ni waziri wa kilimo na mifugo, na kikwete waziri wa mambo ya nje kwa hiyo mtoa mada Yuko sahii

Shule nyingi za kata mkoa wa Kilimanjaro form four ya kwanza ilikua 2007, it means mchakato ulianza tokea mwaka 1990's huko

Kiwete na lowasa wamekuja kuendeleza kile kilichokua kimeanza tayari
 
Back
Top Bottom