Unajisumbua...hivi hamelewagi???
Alokwambia wabunge ndio wanachagua spika nani?
Kwani awali huyo tulia niwao walimtaka???
Prezda anasema wabunge wanafanya kazi imeisha muwe mnaelewawa khaa!
Asipokuelewa basi atakuwa na matatizo kichwani.Na hapo ndipo ngoz nyeus tunapofeli kuamini kuwa eti viongozi wanaletwa na Mungu..mbona mnamsingizia Mungu kwa mambo ya ajabu hata hamuoni aibu...umefanya ngono zembe umepata ukimwi unakufa .."mapenz ya Mungu"..unaendesha gar unachat unapata ajal unakufa " mapenz ya Mungu"..uongoz mbaya watu wanakufa kama rwanda " mapenz ya Mungu....
Mungu alishamaliza kaz yake dunian baada ya Uumbaj na kutupa kiila kitu ..yanayoendelea ni creation zetu sis wanadamu na ndomana kuna free will...
Achen kupotosha watu ....na hii ndio ilifanya mzungu atawale africa kwa maneno kama hayo..et viongoz wanaletwa na Mungu....mkoloni alikua akikosewa anatoa adhabu halaf anasema kaambiwa na Mungu unapewa bible unasoma samehe 7×70 game over...
Unaweza kuta na wewe una Phd kama ya Tulia.Mungu ndio huweka serikali za mataifa na viongozi wake, hivyo hata JPM aliletwa na Mungu na akaitwa na Mungu, Samia ameletwa na Mungu. Ndugai pia alipangiwa na Mungu, na ni Mungu alimruhusu shetani kumuingia na kumtelezesha ulimi, hivyo akaruhusu aondolewe, hivyo Spika ajaye tayari Mungu ameisha mpangia, na sisi baadhi yenu ni watu wa Mungu, tumeisha ambiwa Spika mpya ni Dr. Tulia!.
Tembelea hapa uangalie hili tuliambiwa lini!
PVoices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Kapewa kazi maalum ya kiusalama, So tulieni na TuliaLukuvi
Huu ndio ugonjwa wakupeleka jina moja bungeni.Hapo “wakuwaomba” ni vikao vya uteuzi vya CCM vikianzia na Kamati Kuu. Akishapitishwa na vikao hivyo(watapitisha jina moja tu) basi hakuna namna tena, jina likifika Bungeni ni lazima atachaguliwa na CCM wenzake
Wataamua wana CCM wenyeweTULIA Hana TOFAUTI na NDUGAI wote ndio wale wale Waliopitisha Sheria Mbovu ALIZOZITAKA MAGUFULI kwa MANUFAA YAKE
HAFAI KUWA SPIKA
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kwani kwenye baraza hujawaona karibu robo tatu walikuwa na Mwendazake?Sisi wana CCM kindakindaki tunajua jinsi mama huyu alivyoingia bungeni toka 2015. Tunajua tabia yake ya kujipendekeza ili aoate chochote kitu. Huyu hafai kuwa kiongozi hata wa kata. Tutamkataa kwa nguvu zote.
We jamaa una matatizo.Tulia hatufai kabisa kuwa Spika. Maturity level yake iko very low, yeye ni zao la mfumo usiofuata demokrasia. Isitoshe ana harufu mbaya kama KIGWANGALA
Kwa kuwa ccm mwenzenu na mlisha chagua kuwa wa hovyo hovyo mchagueni TU, kwani hapata badilika kitu. Say hamtaki nae ajekunyolewa kama mtangulizi wake🤔.Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Mwendazake sijui alikatoa wapi haka kademu. Alikateua kuwa kabunge afu chaap kakawa naibu spika...Sisi wana CCM kindakindaki tunajua jinsi mama huyu alivyoingia bungeni toka 2015. Tunajua tabia yake ya kujipendekeza ili aoate chochote kitu. Huyu hafai kuwa kiongozi hata wa kata. Tutamkataa kwa nguvu zote.
Acha kumchafua naibu spika.....huyu ndiye atakayekuwa spika mtake msitake.Sisi wana CCM kindakindaki tunajua jinsi mama huyu alivyoingia bungeni toka 2015. Tunajua tabia yake ya kujipendekeza ili aoate chochote kitu. Huyu hafai kuwa kiongozi hata wa kata. Tutamkataa kwa nguvu zote.
Tulia ni mwalimu wa Pasco pale udsmUnaweza kuta na wewe una Phd kama ya Tulia.
Kwani anaenda kufanya nini? Anaenda kulinda maslahi ya ccm na wabunge ni Wana ccm sijui ushauri wako utakusaidia nini.Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Una uhakika?Tulia ni mwalimu wa Pasco pale udsm
Hili ni zao la MATOKEO YA MAHAKMA kuhusu umbali wa mita mia au kurudi nyumbani baada ya kura, akasema kurudi nyumbani basi hapo ndipo , akaukwaa uspika naibuMwendazake sijui alikatoa wapi haka kademu. Alikateua kuwa kabunge afu chaap kakawa naibu spika...
Yule mzee unaweza kukuta alikuwa anakakamulia protini