Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

Na hapo ndipo ngoz nyeus tunapofeli kuamini kuwa eti viongozi wanaletwa na Mungu..mbona mnamsingizia Mungu kwa mambo ya ajabu hata hamuoni aibu...umefanya ngono zembe umepata ukimwi unakufa .."mapenz ya Mungu"..unaendesha gar unachat unapata ajal unakufa " mapenz ya Mungu"..uongoz mbaya watu wanakufa kama rwanda " mapenz ya Mungu....

Mungu alishamaliza kaz yake dunian baada ya Uumbaj na kutupa kiila kitu ..yanayoendelea ni creation zetu sis wanadamu na ndomana kuna free will...

Achen kupotosha watu ....na hii ndio ilifanya mzungu atawale africa kwa maneno kama hayo..et viongoz wanaletwa na Mungu....mkoloni alikua akikosewa anatoa adhabu halaf anasema kaambiwa na Mungu unapewa bible unasoma samehe 7×70 game over...
Asipokuelewa basi atakuwa na matatizo kichwani.
 
Mungu ndio huweka serikali za mataifa na viongozi wake, hivyo hata JPM aliletwa na Mungu na akaitwa na Mungu, Samia ameletwa na Mungu. Ndugai pia alipangiwa na Mungu, na ni Mungu alimruhusu shetani kumuingia na kumtelezesha ulimi, hivyo akaruhusu aondolewe, hivyo Spika ajaye tayari Mungu ameisha mpangia, na sisi baadhi yenu ni watu wa Mungu, tumeisha ambiwa Spika mpya ni Dr. Tulia!.

Tembelea hapa uangalie hili tuliambiwa lini!
P
Unaweza kuta na wewe una Phd kama ya Tulia.
 
Hapo “wakuwaomba” ni vikao vya uteuzi vya CCM vikianzia na Kamati Kuu. Akishapitishwa na vikao hivyo(watapitisha jina moja tu) basi hakuna namna tena, jina likifika Bungeni ni lazima atachaguliwa na CCM wenzake
Huu ndio ugonjwa wakupeleka jina moja bungeni.
Kiukweli Tulia abaki tu.Spika ije sura mpya kabisa.
 
Sisi wana CCM kindakindaki tunajua jinsi mama huyu alivyoingia bungeni toka 2015. Tunajua tabia yake ya kujipendekeza ili aoate chochote kitu. Huyu hafai kuwa kiongozi hata wa kata. Tutamkataa kwa nguvu zote.
Kwani kwenye baraza hujawaona karibu robo tatu walikuwa na Mwendazake?

Acha Nongwa ,Tulia ni Spika
 
Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.

Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.

Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?

Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Kwa kuwa ccm mwenzenu na mlisha chagua kuwa wa hovyo hovyo mchagueni TU, kwani hapata badilika kitu. Say hamtaki nae ajekunyolewa kama mtangulizi wake🤔.
 
Sisi wana CCM kindakindaki tunajua jinsi mama huyu alivyoingia bungeni toka 2015. Tunajua tabia yake ya kujipendekeza ili aoate chochote kitu. Huyu hafai kuwa kiongozi hata wa kata. Tutamkataa kwa nguvu zote.
Mwendazake sijui alikatoa wapi haka kademu. Alikateua kuwa kabunge afu chaap kakawa naibu spika...

Yule mzee unaweza kukuta alikuwa anakakamulia protini
 
Sisi wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tunamtaka tulia,atakuwa ndio heavyweight pekee Kutoka Kanda yetu..

Tulia ndio Spika, wapinzani wake mnahangaika bure
 
Sisi wana CCM kindakindaki tunajua jinsi mama huyu alivyoingia bungeni toka 2015. Tunajua tabia yake ya kujipendekeza ili aoate chochote kitu. Huyu hafai kuwa kiongozi hata wa kata. Tutamkataa kwa nguvu zote.
Acha kumchafua naibu spika.....huyu ndiye atakayekuwa spika mtake msitake.
 
CCM wanaweza kuishangaza dunia nzima wakituletea spika mwanamke,yaani mihimili miwili iongozwe na wanawake kitakuwa kichekesho,Ikitokea hivyo basi hata mhimili wa mahakama watuletee mwanamke tujue moja.
 
Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.

Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.

Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?

Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Kwani anaenda kufanya nini? Anaenda kulinda maslahi ya ccm na wabunge ni Wana ccm sijui ushauri wako utakusaidia nini.

Mwenyekiti anamtaka Tulia sasa wewe nani umpinge Mwenyekiti?
 
Mwendazake sijui alikatoa wapi haka kademu. Alikateua kuwa kabunge afu chaap kakawa naibu spika...

Yule mzee unaweza kukuta alikuwa anakakamulia protini
Hili ni zao la MATOKEO YA MAHAKMA kuhusu umbali wa mita mia au kurudi nyumbani baada ya kura, akasema kurudi nyumbani basi hapo ndipo , akaukwaa uspika naibu
 
RANGO kuwa spika! Ni kuwakosea heshima Wadanganyika.
 
Back
Top Bottom