Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ina maana huujui mringi? Mwenye mringi ndo anaitwa Anamringi siyo Anna Mringi. Kuwa na adabu na wanaume.Anna Mringi Macha ni Mwanamke au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana huujui mringi? Mwenye mringi ndo anaitwa Anamringi siyo Anna Mringi. Kuwa na adabu na wanaume.Anna Mringi Macha ni Mwanamke au?
Kwahiyo wamfanye kuwa Waziri Mkuu bila kuwa mbunge wa kuchaguliwa?CCM ni catel ya majizi, masqueradering as politicians, hiki chama,niliwahi kusema huko nyuma hqkina tofauti na interahamwe, chama cha Juvenal habyarimana, wao wanajari maslahi Yao tu,, ukienda kinyume nao,haijarishi wewe ni nani,watakula kichwa tu! Vile vile CCM, ni wanobezi wa 'art of deception"mbinu moja hatari ya kijasusi, wanafanya jambo moja, kumbe kuna lingine, linapangwa nyuma ya pazia,
Chongolo ana "jiuzuru" Kumbe wanataka wamfsnye waziri mkuu! Just read btn the lines,
CCM wapo tayari kufanya kazi hata na shetsni, ili mradi, maslahi Yao yanalindwa.
Kumbe ni Mwanaume sasa nikajua typing error kumbe sio Anna Mringi bali ni Anamringi na ni Mwanaume sio Mwanamke, ahsante kwa taarifaIna maana huujui mringi? Mwenye mringi ndo anaitwa Anamringi siyo Anna Mringi. Kuwa na adabu na wanaume.
Piga Hamas mpaka wanye Moshi mweusiWatanzania tupo pamoja nawe waziri mkuu wa Israeli. Tunaomba muwasamehe HAMAS na muwashughulikie hawa CCM.
Interahamwe haikuwa chama Cha siasa interahamwe lilikuwa kundi la wanamgambo wa kihutu wenye msimamo mkali walikuwa supported na serikali ya Habyarimana kupelekea mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka wa 1994.Kwahiyo wamfanye kuwa Waziri Mkuu bila kuwa mbunge wa kuchaguliwa?
Tumemuomba awasamehe HAMAS wa Palestina na ahamie kwa HAMAS wa Kijani wa hapa Tanzania.Piga Hamas mpaka wanye Moshi mweusi
Mbona hujatuambia hizo tuhuma ni zipi, na kama Siri yenu mbona unakuja kulia hapa bila facts, CCM acheni ujingaKwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.
Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.
Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.
Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.
Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.
Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.
Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Charity begins at home ujue.mkuuTumemuomba awasamehe HAMAS wa Palestina na ahamie kwa HAMAS wa Kijani wa hapa Tanzania.
Ungetupa na muhtasari wa tuhuma zake mkuu.Au ukiwa kwenye chombo cha usafiri huwezi kutudokeza?
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.
Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.
Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.
Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.
Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.
Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.
Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)