Chongolo uwe na amani, uchunguzi utafanyika na utatendewa haki. Chama kitaonesha ukubwa wake

Chongolo uwe na amani, uchunguzi utafanyika na utatendewa haki. Chama kitaonesha ukubwa wake

CCM ni catel ya majizi, masqueradering as politicians, hiki chama,niliwahi kusema huko nyuma hqkina tofauti na interahamwe, chama cha Juvenal habyarimana, wao wanajari maslahi Yao tu,, ukienda kinyume nao,haijarishi wewe ni nani,watakula kichwa tu! Vile vile CCM, ni wanobezi wa 'art of deception"mbinu moja hatari ya kijasusi, wanafanya jambo moja, kumbe kuna lingine, linapangwa nyuma ya pazia,
Chongolo ana "jiuzuru" Kumbe wanataka wamfsnye waziri mkuu! Just read btn the lines,
CCM wapo tayari kufanya kazi hata na shetsni, ili mradi, maslahi Yao yanalindwa.
Kwahiyo wamfanye kuwa Waziri Mkuu bila kuwa mbunge wa kuchaguliwa?
 
Ina maana huujui mringi? Mwenye mringi ndo anaitwa Anamringi siyo Anna Mringi. Kuwa na adabu na wanaume.
Kumbe ni Mwanaume sasa nikajua typing error kumbe sio Anna Mringi bali ni Anamringi na ni Mwanaume sio Mwanamke, ahsante kwa taarifa
 
Kwahiyo wamfanye kuwa Waziri Mkuu bila kuwa mbunge wa kuchaguliwa?
Interahamwe haikuwa chama Cha siasa interahamwe lilikuwa kundi la wanamgambo wa kihutu wenye msimamo mkali walikuwa supported na serikali ya Habyarimana kupelekea mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka wa 1994.
 
Ccm hachomoki 2025. Yani kifupi 2025 ndo mwisho wa reli
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Mbona hujatuambia hizo tuhuma ni zipi, na kama Siri yenu mbona unakuja kulia hapa bila facts, CCM acheni ujinga
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)

Habari za uhakika na za ndani kabisa ni kuwa ameshaondoka chamani. Mnachunguza nini? Sio kupoteza wakati?
 
Back
Top Bottom