yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,228
- 2,234
hata hicho kidude kama Kuna choo cha kukaa inakuwa ngumu sana kujitawaza.Ukiwa na choo cha kukaa lazima uwe na shattaf ya kutawazia
View attachment 2935822
Au wao wameweka bila hiyo shattaf
Ukiwa na hiko kifaa choo cha kukaa ni salama zaidi kuliko wanaoshika mavi wakati wa kutawaza
Ila choo hiki kinafaa kwa matumizi binafsi au wanandoa tu
Kwa nn huyo mwanaume anapokojoa asinyanyue ile seat na seat cover yake. Uchafu wa baadhi ya wanaume usi generalise wote wako hivyo.Wanawake hawapendi kabisa kushea Sitting Toilet na mwanaume.
Kwanini?
Kwa sababu mwanaume anapokojoa, hata awe na shabaha vipi, lazima matone ya mikojo yasambae pale juu kwenye sinki ya kukalia.
Maoni yako
Hiki kifaa nilikuta mahali wadada wanakisifia sana kuwa kuna namna kinawasaidia sababu ya ile presha yake basi wanapulizia kwenye papsiUkiwa na choo cha kukaa lazima uwe na shattaf ya kutawazia
View attachment 2935822
Au wao wameweka bila hiyo shattaf
Ukiwa na hiko kifaa choo cha kukaa ni salama zaidi kuliko wanaoshika mavi wakati wa kutawaza
Ila choo hiki kinafaa kwa matumizi binafsi au wanandoa tu
Wewe hapa unajiona una common sense tayari?Anaamanisha Angle/Access
Seems common sense not common any more
Dah nimegoma kabisa kua wa kisasa, pia hata hiyo shataff haikuepo,Prakatatumba abaabaabaa na uchawa wote ulionao kumbe bado mshamba hata shataff huijui Karne hii ya ishirini na moja.
Shame on you.
Endelea kutumia choo Cha shimo na kutumia majani ya migomba Kama kitawazio.
Chuma ikiwa skanganga hukati gogo.Kwanza mimi huwa najiuliza ukienda kukata gogo hali uume upo katika hali ya kusimama mkojo unarukia wapi? Au basi uume umelala inabidi ukojoe kwanza mdio ukae au unakunjia uume humohumo?
Vyo hivi ni usumbufu na hasa iwe sehemu yenye baridi sana
Kuna half erected hapo gogo unakata yan unakuwa haujasimama ila upo katika hali ya kusimamaChuma ikiwa skanganga hukati gogo.
Ukiwa hivo si unapinda mkuu, ujue hata kwenye hivi vya kuchutama navyo chuma ikiwa skanganga ni shidaKuna half erected hapo gogo unakata yan unakuwa haujasimama ila upo katika hali ya kusimama
Hoja ni hiyo suala la uchafu wa waafrika. Ila ndo choo safi kabisaHivyo ndo vyoo vizuri na salama kwa kutunza AFYA ya mgongo.
Inahitaji usafi Sana na maji Ku we po
Sema watu weusi wachafu Sana hawajazoea usafi bado.
Angalau unajibu linalo elekea swali nalo uliza. Sasa wasiwasi wangu nikuwa unapo ipindisha uelekeo wa shimo mikojo haikurukii?Ukiwa hivo si unapinda mkuu, ujue hata kwenye hivi vya kuchutama navyo chuma ikiwa skanganga ni shida
Ushamba mwingine! Hii ni aibu kubwa. Hujui kutumia choo cha kukaa? Umekulia mbugani huko? Umezoea vile vyoo ambavyo unakuta li-ndoo li-kubwa chooni, limejazwa maji, na kopo kwa pembeni. Kila mtumiaji wa choo anatumia kopo hilo hilo, kutoweza ndani ya maji hayo hayo, na ''kujisafisha''? (kujipaka uchafu?).Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.
Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.
View attachment 2935816
View attachment 2935817
Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
acha mazoe, jaribu kuziba gari bomba la moshi uone kama itaenda.unapokula sio chakula chote kinatumika kuna makapi, sasa kama hauyatoi yanaenda wapi, pengine kuna sensor kwenye bomba lako la moshi hazifanyi kazi zinaona moshi sio takataka.Kwamba wewe unakuny* kutwa mara tatu kisa unakula kutwa mara tatu, mbona unaweza kukaa hata siku nne na huku unakula
Kama lengo ni kukaa si viti vipo?Kwanini umekichukia sana hiking Choo?
Mimi nilidhani ungependa ile comfortability iliyopo ukikitumia
Vyoo vya kukaa vinahitaji ustaarabu na usafi. Kuna vitu ambavyo ni lazima viwe kwenye hivi vyoo vya kukaa. Ukikuta hakuna basi ni kosa. 1. Bomba la maji yanayotitirika. 2. Sinki la kunawia mikono. 3. Sabuni 4. toilet paper. 5. Hand tissues (kwenye vyoo vya umma na taulo kwa vyoo vya nyumbani). Pia vyoo vingine vya umma huwa wanaweka disposable toilet seat covers, za kuweka kwenye choo ile sehemu unayokaa. Waafrika wengi mnachukulia chooni ni kama sehemu ambayo ni lazima iwe chafu na hivi vitu nilivyoorodhesha hatuweki. Ndipo tatizo linapoanzia.Hujajibu swali la mtoa mada na mimi naongeza la kwangu
Kwanza mimi huwa najiuliza ukienda kukata gogo hali uume upo katika hali ya kusimama mkojo unarukia wapi? Au basi uume umelala inabidi ukojoe kwanza mdio ukae au unakunjia uume humohumo?
Vyo hivi ni usumbufu na hasa iwe sehemu yenye baridi sana
Jamaa munapenda kuny nyieacha mazoe, jaribu kuziba gari bomba la moshi uone kama itaenda.unapokula sio chakula chote kinatumika kuna makapi, sasa kama hauyatoi yanaenda wapi, pengine kuna sensor kwenye bomba lako la moshi hazifanyi kazi zinaona moshi sio takataka.
Choo chochote mzigo unashuka. Wacha hizi sayansi za bush za kudanganya kuwa ukichuchumaa ndiyo mzigo unatoka zaidi. Wenye mawazo kama haya hawajui sayansi ya excretion system.Kama lengo ni kukaa si viti vipo?
Lengo la choo kizuri ni mzigo ushuke wote kabisa.