Choo cha kukaa ni uchafu tu, sasa unajisafisha kwa namna gani?

Choo cha kukaa ni uchafu tu, sasa unajisafisha kwa namna gani?

Ukiwa na choo cha kukaa lazima uwe na shattaf ya kutawazia
View attachment 2935822

Au wao wameweka bila hiyo shattaf

Ukiwa na hiko kifaa choo cha kukaa ni salama zaidi kuliko wanaoshika mavi wakati wa kutawaza

Ila choo hiki kinafaa kwa matumizi binafsi au wanandoa tu
hata hicho kidude kama Kuna choo cha kukaa inakuwa ngumu sana kujitawaza.

Kama nimeingia lodge Ina choo cha hivyo huwa natoka kutafuta choo sehemu hata ya kulipia.
 
Wanawake hawapendi kabisa kushea Sitting Toilet na mwanaume.

Kwanini?

Kwa sababu mwanaume anapokojoa, hata awe na shabaha vipi, lazima matone ya mikojo yasambae pale juu kwenye sinki ya kukalia.

Maoni yako
Kwa nn huyo mwanaume anapokojoa asinyanyue ile seat na seat cover yake. Uchafu wa baadhi ya wanaume usi generalise wote wako hivyo.
 
Ukiwa na choo cha kukaa lazima uwe na shattaf ya kutawazia
View attachment 2935822

Au wao wameweka bila hiyo shattaf

Ukiwa na hiko kifaa choo cha kukaa ni salama zaidi kuliko wanaoshika mavi wakati wa kutawaza

Ila choo hiki kinafaa kwa matumizi binafsi au wanandoa tu
Hiki kifaa nilikuta mahali wadada wanakisifia sana kuwa kuna namna kinawasaidia sababu ya ile presha yake basi wanapulizia kwenye papsi
 
Ukiwa hivo si unapinda mkuu, ujue hata kwenye hivi vya kuchutama navyo chuma ikiwa skanganga ni shida
Angalau unajibu linalo elekea swali nalo uliza. Sasa wasiwasi wangu nikuwa unapo ipindisha uelekeo wa shimo mikojo haikurukii?
 
Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.

Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.

View attachment 2935816

View attachment 2935817


Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Ushamba mwingine! Hii ni aibu kubwa. Hujui kutumia choo cha kukaa? Umekulia mbugani huko? Umezoea vile vyoo ambavyo unakuta li-ndoo li-kubwa chooni, limejazwa maji, na kopo kwa pembeni. Kila mtumiaji wa choo anatumia kopo hilo hilo, kutoweza ndani ya maji hayo hayo, na ''kujisafisha''? (kujipaka uchafu?).
 
Kwamba wewe unakuny* kutwa mara tatu kisa unakula kutwa mara tatu, mbona unaweza kukaa hata siku nne na huku unakula
acha mazoe, jaribu kuziba gari bomba la moshi uone kama itaenda.unapokula sio chakula chote kinatumika kuna makapi, sasa kama hauyatoi yanaenda wapi, pengine kuna sensor kwenye bomba lako la moshi hazifanyi kazi zinaona moshi sio takataka.
 
Hujajibu swali la mtoa mada na mimi naongeza la kwangu

Kwanza mimi huwa najiuliza ukienda kukata gogo hali uume upo katika hali ya kusimama mkojo unarukia wapi? Au basi uume umelala inabidi ukojoe kwanza mdio ukae au unakunjia uume humohumo?
Vyo hivi ni usumbufu na hasa iwe sehemu yenye baridi sana
Vyoo vya kukaa vinahitaji ustaarabu na usafi. Kuna vitu ambavyo ni lazima viwe kwenye hivi vyoo vya kukaa. Ukikuta hakuna basi ni kosa. 1. Bomba la maji yanayotitirika. 2. Sinki la kunawia mikono. 3. Sabuni 4. toilet paper. 5. Hand tissues (kwenye vyoo vya umma na taulo kwa vyoo vya nyumbani). Pia vyoo vingine vya umma huwa wanaweka disposable toilet seat covers, za kuweka kwenye choo ile sehemu unayokaa. Waafrika wengi mnachukulia chooni ni kama sehemu ambayo ni lazima iwe chafu na hivi vitu nilivyoorodhesha hatuweki. Ndipo tatizo linapoanzia.
 
Back
Top Bottom