Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Hapa mstaafu aliongea kidipromasia zaidi lakini ukweli tunaujua kuhusu hayo majadiliano yalihusu kitu gani tofauti na anachozungumza mstaafu.
Ila bado najiuliza kama kulikuwa na haja ya mahojiano kuhusiana na suala hili!
Mazungumzo yalihusu nini?
 
Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.
Hii ni dhana potofu kabisa. Kutoa chozi haina maana ya 'weakness' katika jambo lolote. hizi ni 'myth' tu za kizoefu.
 
Sidhani kama unaliangalia kiaskari akiwa public kwa level yake anatakiwa kujizuia.

Siku Kabudi, Polepole, Makonda au hata Bashiru wakitoa machozi hakuna wa kushangaa. Lakini sio senior army officer.
Hawa wote uliowataja hapo mbona tayari wanakula bata na wala hawakumbuki chochote cha wakati huo?
 
Hata sasa huwa sielewi ilikuwaje ukastaafishwa na huyohuyo ambaye yupo madarakani kutokana na msimamo wako mkali dhidi ya suala hili na msimamo uliokuwa unagharimu uhai wako wakati wa mvutano huo! Nilitegemea umalize utumishi wako siku utumishi wa amiri jeshi umekoma pia.
Alifika umri wake wa kustaafu kama CDF muda mrefu kabla
 
Back
Top Bottom