Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Kuna taarifa kuwa Press ya Mama kulitangazia Taifa msiba wa Magufuli ilitumwa TBC kwa Whatsapp bila hata Gen Mabeyo na wenzake kujua. Nao walishangaa tu imepelekwa na nani na Mama Samia kujuaje? Je kuna ukweli wowote?
Hamna ukweli. Kila kitu kiliandaliwa. Na wakatafuta location mama samia aweze rusha ile taarifa. As wel ass shughuli za chama zilikua zinaendelea kule. Automatically TBC na media zingine zilikuwepo kule. Na kujazia tu, ile haikua breaking news everything was prepared as soon as msiba ulipotokea.
 
Na TBC waka-forward tu kwenye vyombo bila kufanya any due diligence wala kuuliza hapa na pale ?
 
Hata ikiwa kwa watsap au twtter lengo ni ujumbe. Na ujumbe ulifika na watu waliomboleza. Au unataka kusema msiba ule ni batili?
 
Mabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui nchi ingegawanyika mara ngapi.
Mtu amekuwa chief of staffs halafu asiwe na sifa za kuwa CDF!?unajua hata itifaki za mgambo kweli!?
 
Habari za mda huu wapwa, kwa mliobahatika kuangalia video ya cdf mabeyo anaelezea dakika za mwisho za magufuli kuna sehem alisema kwamba "Magufuli alimwita na kumwambia mm siwezi kupona niitieni kadinali pengo"

swali langu ni, Mtu anakua anapitia hali gan mpaka anasema maneno kama haya, kwa hadhi ya magufuli bila shaka alikua na madaktari bingwa wengi, ni nini kinamfanya achukue kusmama upande wa kwamba hatapona ilihali anapatikwa huduma standard kabisa, nlitegemea labda awe upande wa imani kwamba ipo sku ntapona ata kama itachukua mda
Mshana Jr njoo tusaidie kidogo hapa tumekwama wanafunzi wako.
 
Alikuwa bias. Mbona alimuacha makonda aendelee licha ya kufoji vyeti na majina makonda aliua, hakuwa analipa kodi na ushuru alikuwa anatumia madaraka yake vibaya. Licha ya kuwafukuza wenye vyeti feki ilileta tija gani? Kupitia yeye Jiwe kulikuwa na upotevu wa matrillion.
1. Makonda alikuwa mkuu wa mkoa - sifa ya kuwa mkuu wa mkoa ni kujua kusoma na kuandika tuu na sii kuwa na cheti. Ila hawa walio foji vyeti walikuwa katika nyanja mbalimbali za utendaji (mfano, waalimu, madaktari, wahandisi n.k)

Hebu tazama athari ya makonda kufoji vyeti na kuwa mkuu wa mkoa (kumbuka hapa cheti hakimsaidii kitu) na hao nilio wataja hapo juu. Yaan, una mwalimu aliye foji cheti na unatarajia elimu ya nchi iwe Bora, una mhandisi aliye foji cheti na unatarajia atengeneze miundombinu bora, una daktar aliye foji cheti na unatarajia atibu wagonjwa.?

2. Kuhusu tuhuma za makonda - nadhani ni kheri ukae kimya kama huna ushaidi, ila kama unao bhac ni vyema ukawasilisha kwa mamlaka na akachukuliwa hatua kama ilivyo kuwa kwa sabaya na wengineo - sababu hakuna mtu aliye juu ya Sheria.
 
Kama ambavyo na mimi nina mashaka na uwezo wako finyu wa kifikiri na kuiljigeuza kuwa shabiki usie na hoja.
Nani anaajiri, anatumia vigezo gani? Umemuajiri mtu ametumika miaka 20, 25, 30 ndio unabaini kuwa alifoji cheti, tena ni cheti cha kidato cha nne.
Mtu huyo huyo ni daktari bingwa, mhandisi au mwalimu mwandamizi; kwa kuwa tu analifoji cheti cha kidato cha nne unamuondoa kazini? Ni zaidi ya ujinga.
1. Bila shaka aliajiriwa Kwa kutoa rushwa sababu kwa Sheria, miongozo na itifaki za kuajiri haiwezekani mtu uliye foji cheti kuajiriwa.

2. Hata kama utatumikia miaka 1,000 na hiyo nafasi uliipata kwa kufoji nyaraka unapoteza haki zako zote sababu wewe unakuwa ni mwizi na tapeli - hivyo unakuwa ni muhalifu. Nadhani kulikuwa na ulazima wa kuwapeleka mahakamani na kuwafungulia mashtaka watu wote waliopata ajira kwa kufoji vyeti, mshukuruni mwendazake hakufanya hilo.

3. Hata uwe daktari bingwa, hata uwe professor - kama ulifoji vyeti - huo udaktari bingwa wako ama uprofesa wako ni batili. Na kuendelea kuwatetea ni kushabikia na kuhalalisha dhambi walio ifanya.
 
Back
Top Bottom