Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Wewe umejuaje kwamba kuna details ambazo ameficha! Kama siyo kile ambacho waswahili tunaita umbea mtupu. Angekuwa kalazimishwa kutoa interview hiyo, labda tungeweza kudhani hakutaka kuyasema ila amelazimishwa hivyo kamezea mengine, lakini jamaa alikuwa anaongea yuko relaxed kabisa tena kwa hiari yake mwenyewe halafu wewe ubakuja hapa kutoa tafsri zako conspiratorial hizi ukitaka uskilizwe?
Soma post yako #396 na #399 maswali uliyo uliza ndio yaliyo tufikisha hapo.

Kwa mtu mwenye Phd na kuwai kufundisha kama dhana ya kujua cha kuongea nini just enough given the occasion utambui. Basi hata tukijadili ili swala siku nzima itakuwa kazi bure kwa mtu ambae his mind is already made up.

Pili unataka mtu aliekuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi taifa aelezee classified information kisa wewe tu upate kujua zaidi huo utaratibu aupo duniani vinginevyo watu wasingekuwa na vitengo vya kusoma kwanza vitabu vya watu walioshika nyadhifa za juu serikalini kabla ya kuchapishwa na kuwataka kufuta sensitive info or practices wakikuta.

Muda wa majukumu kwetu, ‘good morning’

👋
 
Soma post yako #396 na #399 maswali uliyo uliza ndio yaliyo tufikisha hapo.

Kwa mtu mwenye Phd na kuwai kufundisha kama dhana ya kujua cha kuongea nini just enough given the occasion utambui. Basi hata tukijadili ili swala siku nzima itakuwa kazi bure kwa mtu ambae his mind is already made up.

Pili unataka mtu aliekuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi taifa aelezee classified information kisa wewe tu upate kujua zaidi huo utaratibu aupo duniani vinginevyo watu wasingekuwa na vitengo vya kusoma kwanza vitabu vya watu walioshika nyadhifa za juu serikalini kabla ya kuchapishwa na kuwataka kufuta sensitive info or practices wakikuta.

Muda wa majukumu kwetu, ‘good morning’

👋
Achana na kusambaza conspiracies. Wewe siyo source ya habari hizi, mwenye source mwenyewe ni Mabeyo na ameshazungumza hadharani , kwa hiyo usijipandikize kwenye habari usiyojua ukitegemea credit.

Yaani iwapo interview hii ungekuwa umeiskiliza peke yako, basi ndiyo hivyo gtena misinformation ingesambaa sana. lakini tumisikiliza wote, usijaribu kupandikiza tafsiri yako kwe wengine wote.
 
Achana na kusambaza conspiracies. Wewe siyo source ya habari hizi, mwenye source mwenyewe ni Mabeyo na ameshazungumza hadharani , kwa hiyo usijipandikize kwenye habari usiyojua ukitegemea credit.

Yaani iwapo interview hii ungekuwa umeiskiliza peke yako, basi ndiyo hivyo gtena misinformation ingesambaa sana. lakini tumisikiliza wote, usijaribu kupandikiza tafsiri yako kwe wengine wote.
Feeling type of way, not the post apparently but personal.

Unaongea vitu ambavyo havipo kabisa sasa nani hajui humu kama content ni mali ya Daily News, ipo kwenye YouTube channel yao, mimi nimekuta ina views elfu kadhaa tayari kabla ya kuleta humu na kila mtu kasikiliza, wengi wana opinion zao na mada luluki with different perspective zimeanzishwa.

Sasa how on earth can I dictate the narrative wakati posts zangu humu azifiki ata kumi na moja tu ndio ina opinion yangu nyingine zote na respond tu.

Unfortunately siwezi kukusaidia huko kwenye personal issues, kwa sababu hatujuani in real life na I doubt kama tuta kuja kujuana. Kanuni yangu ya mtandaoni ni kujadili mada ukisoma kichwa cha habari tu ni swali na content inaomba tafsiri ya wengine. Sasa ya hayo kumsemea mtu aliekuwa interviewed sijui umeyatoa wapi.

Ni michango tu ya JF ukubaliani na mtu unampotezea (wenzako tunapiga na ignore kabisa) huna sababu ya kuwa na personal grudges na member humu ambae humjui na wala msikutane mpaka mnaondoka kwenye hii dunia.

Ni ushauri tu, huko Tanzania kwenyewe wala sina mpango wa kwenda kuishi hata kwa nafasi ya uwaziri, trust me; tunachangia tu humu.
 
Mungu wetu ni mwenye huruma sio Binadamu kama wewe mwenye chuki
Mungu ni mtenda-haki pia. Yeye si kama mwanadamu mwenye upendeleo kama wewe.

Unadhani kwa nini kuhani na nabii Musa hakuruhusiwa kuingia Kanaani nchi ya ahadi?

Kwa nini mfalme Sauli alikataliwa na Mungu na wala hakujibiwa maombi yake?

Kwa nini Akani licha ya kujutia kosa lake, alipigwa mawe yeye na nyumba yake yote katika Bonde la Akori?

Kwa nini wana wa Israeli waliagizwa waangamize chochote cha Wakaanani waabudu-sanamu (pamoja na watoto wachanga)?

Kwa nini Mfalme Daudi licha ya kufunga na kuomba siku 7 kwa ajili ya mwanawe, mwisho wa siku akapewa taarifa mbaya za kifo?

Kwa nini Daudi alipoamua kuwahesabu watu, kinyume na agizo la Mungu, alipotubu, bado jambo hilo likapelekea hukumu ya kuangamia kwa maelfu ya Waisraeli? Au rehema hiyo ilikuwa mbali naye???

Kwa nini wana wa Israeli mara nyingi sana waliangamia kwa pigo la Mungu, licha ya vilio na maombi yao wakisema ^Tumemtenda Bwana dhambi^?

Unapozungumzia rehema ya Mungu, usisahau kamwe upande wa pili kuhusu haki. Rehema na haki ni sifa ambazo hazitengani kamwe (Zaburi 85:10).

ndio maana nikakwambia Magufuli alipata bahati ya kipekee kufunuliwa na Mungu juu ya kifo chake na hiyo bahati sio wote tunaweza kupata
Hakuna bahati yoyote maalum katika kujua kifo chako. Kwani wewe hapo hujui utakufa? Unangojea dakika za lala-salama ndipo utubu, au?

Bahati pekee iliyopo ni kujua kwamba Mungu anasamehe dhambi, pale tunapomwomba kwa dhati, kadiri ya mapenzi ya Mungu.

Halafu, ukisema alipata bahati ya kufunuliwa kuhusu kifo chake, huo ni uongo mwingine.

Je, ulimwona akijifunua kwake? Vipi kama zilikuwa ni hisia zake tu za kukata tamaa kutokana na hali halisi aliyoiona?

Mabeyo kasema wazi alimwomba awaamuru madokta apelekwe nyumbani.

Na, huenda angeomba kupona, angeponywa!

Unadhani Mungu alishindwa kumponya?

Labda alikuwa na imani haba yeye na jopo lake, wakatarajia mauti, na kweli yakampokea.

Acheni kumsingizia Mungu vitu msivyokuwa na uhakika navyo!
hatuwezi kujua hali ya kiroho ya mtu mwingine, na kwamba ni Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa kuhukumu na kujua hatima ya kila mtu.
Kwa nini basi unasema alifunuliwa kuhusu kifo chake? Unajua hali yake ya kiroho ilivyokuwa?

Kama hatupaswi kuhukumu kuhusu hatima ya mtu, kwa nini tayari umeshampa tiketi ya kuwepo mbinguni?

Je, tangu lini wewe umekuwa Malaika Gabrieli?

Tunachojua 100% ni kwamba JPM hatunaye tena.

Kwamba ile siku ya Kiama baada ya ufufuo wa wafu yeye atahukumiwa kuangamia au ataurithi ufalme wa milele, huo ni mstari tusioweza kuuvuka sie binadamu. Mungu ndiye anajua.

Hivyo, ni vizuri kutoa heshima na kutambua kwamba hilo ni jambo ambalo hatuwezi kulihukumu.
Ndiyo maana unakuwa kituko cha ulimwengu unapodai eti yuko mbinguni, kwa kigezo kwamba aliombewa wakati wa umauti. Nonsense!

Kumwombea mgonjwa ni sahihi. Lakini kujitwika wajibu wa kumpeleka mbinguni, huko ni kupoka mamlaka ya Mungu.
Yakobo 5:14-15, tunasoma: "Je! Yumo mmojawapo kati yenu anaumwa? Na awaite wazee wa kanisa; nao waombee, wakimtia mafuta kwa jina la Bwana. Na maombi ya imani yatakayomwokoa mgonjwa, yatakomboa; na Bwana atamwinua; hata dhambi zake atakazozifanya zitamsamehe."

Je unabisha na Biblia?? Nilitee na wewe mstali wa biblia unaosema
Nisaidie kujua ni kwa vipi andiko hilo linahusiana na Magufuli kuwa mbinguni.

Halafu, Yakobo anazungumzia mgonjwa na uponyaji na kusamehewa dhambi zake.

Lakini hoja kuu hapa ni Magufuli, kifo chake na kuwepo mbinguni.

Je, unaona kuna ulinganifu wowote hapo?

Unalazimisha Maandiko yasomeke kufuata hisia zako na kile unachotamani kusikia???
 
Labda wewe ndiye mwenye chuki? Soma kwanza hoja yangu uielewe kabla ya kuropokwa uchuro.

Mosi, ukingoja hadi saa ya mwisho ndipo utubu, unaweza usiipate nafasi hiyo kamwe.

Ni sawa na timu ya mpira kutegemea penalti kwenye dakika za nyongeza!

Huko ni kuchezea shilingi kwenye tundu la choo. Ndiyo maana Maandiko yanasema muda ni sasa; wokovu ni sasa.

Pili, kuombewa kwa mgonjwa mahututi ni jambo moja. Kuokolewa hatimaye katika ufalme wa Mungu siku ya mwisho ya Kiama, ni jambo lingine tofauti kabisa!

Kazi ya mwanadamu ni kufanya sehemu yake ya kutubu na kujiweka karibu na Mungu; lakini kuhitimisha kwamba fulani na fulani ataurithi ufalme ama atahukumiwa, hilo wala si jukumu la mwanadamu yeyote. Usithubutu hata kulifikiria!

Tatu, kwa mantiki hiyohiyo, ni uongo wa mchana kudai eti fulani na fulani yuko sasa peponi, mbinguni ama paradiso.

Kama ndivyo, hivi Kristu ajapo mara ya pili atawafufua wenye haki wapi ili kupaa nao mbinguni???

Someni Biblia, acheni kushupalia mapepo ya upumbavu akilini mwenu.
Nimeipenda
 
Mungu ni mtenda-haki pia. Yeye si kama mwanadamu mwenye upendeleo kama wewe.

Unadhani kwa nini kuhani na nabii Musa hakuruhusiwa kuingia Kanaani nchi ya ahadi?

Kwa nini mfalme Sauli alikataliwa na Mungu na wala hakujibiwa maombi yake?

Kwa nini Akani licha ya kujutia kosa lake, alipigwa mawe yeye na nyumba yake yote katika Bonde la Akori?

Kwa nini wana wa Israeli waliagizwa waangamize chochote cha Wakaanani waabudu-sanamu (pamoja na watoto wachanga)?

Kwa nini Mfalme Daudi licha ya kufunga na kuomba siku 7 kwa ajili ya mwanawe, mwisho wa siku akapewa taarifa mbaya za kifo?

Kwa nini Daudi alipoamua kuwahesabu watu, kinyume na agizo la Mungu, alipotubu, bado jambo hilo likapelekea hukumu ya kuangamia kwa maelfu ya Waisraeli? Au rehema hiyo ilikuwa mbali naye???

Kwa nini wana wa Israeli mara nyingi sana waliangamia kwa pigo la Mungu, licha ya vilio na maombi yao wakisema ^Tumemtenda Bwana dhambi^?

Unapozungumzia rehema ya Mungu, usisahau kamwe upande wa pili kuhusu haki. Rehema na haki ni sifa ambazo hazitengani kamwe (Zaburi 85:10).


Hakuna bahati yoyote maalum katika kujua kifo chako. Kwani wewe hapo hujui utakufa? Unangojea dakika za lala-salama ndipo utubu, au?

Bahati pekee iliyopo ni kujua kwamba Mungu anasamehe dhambi, pale tunapomwomba kwa dhati, kadiri ya mapenzi ya Mungu.

Halafu, ukisema alipata bahati ya kufunuliwa kuhusu kifo chake, huo ni uongo mwingine.

Je, ulimwona akijifunua kwake? Vipi kama zilikuwa ni hisia zake tu za kukata tamaa kutokana na hali halisi aliyoiona?

Mabeyo kasema wazi alimwomba awaamuru madokta apelekwe nyumbani.

Na, huenda angeomba kupona, angeponywa!

Unadhani Mungu alishindwa kumponya?

Labda alikuwa na imani haba yeye na jopo lake, wakatarajia mauti, na kweli yakampokea.

Acheni kumsingizia Mungu vitu msivyokuwa na uhakika navyo!

Kwa nini basi unasema alifunuliwa kuhusu kifo chake? Unajua hali yake ya kiroho ilivyokuwa?

Kama hatupaswi kuhukumu kuhusu hatima ya mtu, kwa nini tayari umeshampa tiketi ya kuwepo mbinguni?

Je, tangu lini wewe umekuwa Malaika Gabrieli?

Tunachojua 100% ni kwamba JPM hatunaye tena.

Kwamba ile siku ya Kiama baada ya ufufuo wa wafu yeye atahukumiwa kuangamia au ataurithi ufalme wa milele, huo ni mstari tusioweza kuuvuka sie binadamu. Mungu ndiye anajua.


Ndiyo maana unakuwa kituko cha ulimwengu unapodai eti yuko mbinguni, kwa kigezo kwamba aliombewa wakati wa umauti. Nonsense!

Kumwombea mgonjwa ni sahihi. Lakini kujitwika wajibu wa kumpeleka mbinguni, huko ni kupoka mamlaka ya Mungu.

Nisaidie kujua ni kwa vipi andiko hilo linahusiana na Magufuli kuwa mbinguni.

Halafu, Yakobo anazungumzia mgonjwa na uponyaji na kusamehewa dhambi zake.

Lakini hoja kuu hapa ni Magufuli, kifo chake na kuwepo mbinguni.

Je, unaona kuna ulinganifu wowote hapo?

Unalazimisha Maandiko yasomeke kufuata hisia zako na kile unachotamani kusikia???
Hii umejibu kitaalam sana!!!
Weka namba yako nitoe sadaka
 
Tatu, kwa mantiki hiyohiyo, ni uongo wa mchana kudai eti fulani na fulani yuko sasa peponi, mbinguni ama paradiso.

Kama ndivyo, hivi Kristu ajapo mara ya pili atawafufua wenye haki wapi ili kupaa nao mbinguni???

Someni Biblia, acheni kushupalia mapepo ya upumbavu akilini mwenu.
Biblia unayotuhimiza kuisoma imeandika katika Luka 23:43 kuwa, Yesu alimwambia mmoja wa wale waliosulubiwa pamoja naye, "amini nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami peponi".

Unatuhimiza tusome biblia ipi tofauti na hii yenye maandiko haya!
 
Biblia unayotuhimiza kuisoma imeandika katika Luka 23:43 kuwa, Yesu alimwambia mmoja wa wale waliosulubiwa pamoja naye, "amini nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami peponi".

Unatuhimiza tusome biblia ipi tofauti na hii yenye maandiko haya!
Jumapili ya ufufuo, siku ya tatu baada ya Kristu kutamka kauli uliyoinukuu (Luka 23:43), alimwambia Mariamu Magdalena kwamba bado hajapaa kwenda kwa Baba mbinguni (Yohana 20:17).

Kwa nini? Kwa sababu muda wote huo Mwana wa Mungu alikuwa kaburini.

Alikuwa katika usingizi wa mauti kama wafavyo wanadamu (Mhubiri 9:5, 6).

Kwa mantiki hiyo, andiko la Luka 23:43 lina maana tofauti kabisa na ile unayojaribu kutuaminisha hapa.
 
Mungu ni mtenda-haki pia. Yeye si kama mwanadamu mwenye upendeleo kama wewe.

Unadhani kwa nini kuhani na nabii Musa hakuruhusiwa kuingia Kanaani nchi ya ahadi?

Kwa nini mfalme Sauli alikataliwa na Mungu na wala hakujibiwa maombi yake?

Kwa nini Akani licha ya kujutia kosa lake, alipigwa mawe yeye na nyumba yake yote katika Bonde la Akori?

Kwa nini wana wa Israeli waliagizwa waangamize chochote cha Wakaanani waabudu-sanamu (pamoja na watoto wachanga)?

Kwa nini Mfalme Daudi licha ya kufunga na kuomba siku 7 kwa ajili ya mwanawe, mwisho wa siku akapewa taarifa mbaya za kifo?

Kwa nini Daudi alipoamua kuwahesabu watu, kinyume na agizo la Mungu, alipotubu, bado jambo hilo likapelekea hukumu ya kuangamia kwa maelfu ya Waisraeli? Au rehema hiyo ilikuwa mbali naye???

Kwa nini wana wa Israeli mara nyingi sana waliangamia kwa pigo la Mungu, licha ya vilio na maombi yao wakisema ^Tumemtenda Bwana dhambi^?

Unapozungumzia rehema ya Mungu, usisahau kamwe upande wa pili kuhusu haki. Rehema na haki ni sifa ambazo hazitengani kamwe (Zaburi 85:10).


Hakuna bahati yoyote maalum katika kujua kifo chako. Kwani wewe hapo hujui utakufa? Unangojea dakika za lala-salama ndipo utubu, au?

Bahati pekee iliyopo ni kujua kwamba Mungu anasamehe dhambi, pale tunapomwomba kwa dhati, kadiri ya mapenzi ya Mungu.

Halafu, ukisema alipata bahati ya kufunuliwa kuhusu kifo chake, huo ni uongo mwingine.

Je, ulimwona akijifunua kwake? Vipi kama zilikuwa ni hisia zake tu za kukata tamaa kutokana na hali halisi aliyoiona?

Mabeyo kasema wazi alimwomba awaamuru madokta apelekwe nyumbani.

Na, huenda angeomba kupona, angeponywa!

Unadhani Mungu alishindwa kumponya?

Labda alikuwa na imani haba yeye na jopo lake, wakatarajia mauti, na kweli yakampokea.

Acheni kumsingizia Mungu vitu msivyokuwa na uhakika navyo!

Kwa nini basi unasema alifunuliwa kuhusu kifo chake? Unajua hali yake ya kiroho ilivyokuwa?

Kama hatupaswi kuhukumu kuhusu hatima ya mtu, kwa nini tayari umeshampa tiketi ya kuwepo mbinguni?

Je, tangu lini wewe umekuwa Malaika Gabrieli?

Tunachojua 100% ni kwamba JPM hatunaye tena.

Kwamba ile siku ya Kiama baada ya ufufuo wa wafu yeye atahukumiwa kuangamia au ataurithi ufalme wa milele, huo ni mstari tusioweza kuuvuka sie binadamu. Mungu ndiye anajua.


Ndiyo maana unakuwa kituko cha ulimwengu unapodai eti yuko mbinguni, kwa kigezo kwamba aliombewa wakati wa umauti. Nonsense!

Kumwombea mgonjwa ni sahihi. Lakini kujitwika wajibu wa kumpeleka mbinguni, huko ni kupoka mamlaka ya Mungu.

Nisaidie kujua ni kwa vipi andiko hilo linahusiana na Magufuli kuwa mbinguni.

Halafu, Yakobo anazungumzia mgonjwa na uponyaji na kusamehewa dhambi zake.

Lakini hoja kuu hapa ni Magufuli, kifo chake na kuwepo mbinguni.

Je, unaona kuna ulinganifu wowote hapo?

Unalazimisha Maandiko yasomeke kufuata hisia zako na kile unachotamani kusikia???
Unaandika porojo sizizo za maana nimekuleta andiko
Hivi unaelewa biblia vizuri wewe?
Au nabishana na shetani
Embu soma tena hili andiko la Yakobo

Je, kuna mtu miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi awaite wazee wa kanisa wamwombee na kumpaka mafuta katika jina la Bwana. 15 Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa huyo na Bwana atamwinua. Kama ametenda dhambi, atasamehewa.

kwa hiyo Mgonjwa akiombewa na ukisamehewa dhambi zake ikatokea kafariki anarudishiwa dhambi zake??
Kwa sababu aliombewa akiwa mgonjwa na akafariki??

Naomba tubishane kwa maandiko ya Biblia sio kwa utashi wako wewe
Naomba niletee andiko linalosema

kuombewa kwa mgonjwa mahututi ni jambo moja. Kuokolewa hatimaye katika ufalme wa Mungu siku ya mwisho ya Kiama, ni jambo lingine tofauti kabisa!

Na ukishindwa basi amini utashi wako wewe unaosema Wagonjwa mahututi wakiombewa na kutubu zambi zao Mungu hawasamei na mimi acha niamini ya kwamba MUNGU Anasamehe wakati wowote na mtu yoyote
Naomba bishana kulingana na maadiko ukishindwa basi acha marumbano
 
Unaandika porojo sizizo za maana nimekuleta andiko
Hivi kila mtu akilazimisha hoja pinzani isomeke kama tu ^porojo zisizo na maana,^ utakuwepo umantiki wowote wa kuendelea kujadiliana?

Umesema umeniletea andiko. Nami nimekujibu kwa mifano dhahiri takriban kumi itokanayo na maandiko. Hapo porojo iko wapi?

Au pengine hujaelewa? Rudia kusoma tena, na pia unaweza kuomba ufafanuzi wa ziada.

kwa hiyo Mgonjwa akiombewa na ukisamehewa dhambi zake ikatokea kafariki anarudishiwa dhambi zake??
Kwa sababu aliombewa akiwa mgonjwa na akafariki??
1. Una hakika gani kwamba waliokuwa wakimwombea mgonjwa walikuwa na ^imani^ anayoitamka Yakobo kwamba ni kigezo cha msingi sana ili kumwokoa na kumwinua mgonjwa husika?

2. Unathibitishaje kwamba alisamehewa dhambi zake?

3. Je, unaamini kwamba kila ombi linaleta matokeo ambayo mwombaji anatarajia?

4. Kwa mantiki hiyo, rejea kwenye maswali yangu yaliyopita (#411), unipatie majibu yake kwa kuzingatia mtazamo wa wazo hili hapa kwenye swali la 3.

Mathalani, mfano mmojawapo, Mfalme Daudi alifunga siku 7 akimwombea mwanawe aponywe, lakini akafa (2 Sam. 12:15-23).

Hapa ni wazi kabisa alitarajia jambo moja, ila likatokea lingine kinyume kabisa na dua yake.

Ikiwa na maana kwamba mapenzi ya Mungu yalitimia katika kifo cha mwanawe. Na Daudi alitambua hilo.

Ndiyo maana wakati wa kuomba, Kristu amefundisha tuseme: ^Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.^

Alipokuwa anakaribia kusulubiwa, aliomba:

^Ee Baba, ikiwa ni mapenzi Yako, niondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi Yangu, bali Yako yatendeke.^ Luka 22:42.

Maneno ya Mfalme Daudi, baada kufiwa mwanawe, yanatusaidia kuelewa wazo hilihili kwamba hata pale tunapoomba, tukitarajia majibu fulani ya maombi yetu, tunapaswa kuomba ili mapenzi ya Mungu daima ndiyo yatendeke.

Mfalme Daudi alipoulizwa kwa nini alifunga na kumlilia Mungu kwa ajili ya mwanawe, lakini baada ya kufariki, mfalme akainuka na kujipaka mafuta na kubadili mavazi yake na kumwabudu Mungu kana kwamba haukuwepo msiba wowote uliokuwa umetokea, alisema:

^Mtoto alipokuwa hai, nalifunga, nikalia; kwa maana nalisema, Nani ajuaye kwamba Bwana atanihurumia, mtoto apate kuishi?^ (2 Sam. 12:22).

Iwapo mtoto alikufa, unadhani Mfalme Daudi aliipata hiyo huruma kwa namna aliyokuwa akiitarajia???

Maana yake nini? Ni kwamba Mfalme Daudi alitambua kuna mapenzi ya Mungu yaliyo juu kabisa ya utashi wa mwanadamu.

Ndiposa, nakuuliza swali la msingi: Je, unatambua mapenzi ya Mungu kuhusu lile tukio la Machi 17?

Umekiri kwamba mtu anaweza kufariki, japo ameombewa na kupakwa mafuta ya kiroho.

Hilo sina mashaka nalo. Nakubali 100% kwa sababu Mungu ameruhusu iwe hivyo; ni mapenzi Yake.

Nami, kwa mantiki hiyohiyo, nakuuliza, Hivi kila anayeombewa na kupakwa mafuta wakati wa umauti, anakuwa mrithi wa ufalme wa mbinguni?

Kwa nini tusiruhusu na hapa pia mapenzi ya Mungu yatimizwe?

Kwamba ikitokea ile siku ya mwisho ya kiama mpendwa wetu fulani hajawepo mbinguni (Mungu aepushie mbali), tutamlalamikia Mungu tukimhoji kwa nini hayupo peponi wakati tulimwombea na kumtia mafuta ya upako wakati wa umauti wake???

This is crazy!

Mapenzi ya Mungu yatimizwe daima hapa duniani na huko juu mbinguni!

Hekima Yake ni kuu kuliko ya mwanadamu, kama ambavyo mbingu iko juu kuliko dunia!

Suala la nani ataokolewa au nani atahukumiwa, si jukumu la mwanadamu hata kidogo!!!

Naomba niletee andiko linalosema kuombewa kwa mgonjwa mahututi ni jambo moja. Kuokolewa hatimaye katika ufalme wa Mungu siku ya mwisho ya Kiama, ni jambo lingine tofauti kabisa!
Kama nilivyofafanua hapo juu, hivi unaweza kunithibitishia kwamba kila mgonjwa anayeombewa na kutiwa mafuta ya upako, basi hapo amepata tiketi ya kwenda mbinguni?

Namaanisha kwamba kama tunaweza kumwombea mgonjwa apone na kumtia mafuta ya upako lakini akafa, kwa nini matokeo kama hayo yasitarajiwe pia kuhusu kuurithi ufalme wa mbinguni—kwamba unaweza kuomba aokolewe, mgonjwa akafanyiwa upako, mwisho wa siku akapotea milele?

Au matokeo yanayokuja tofauti na matarajio ya maombi na upako yanahusiana na kupona maradhi ya kimwili tu, ila linapokuja suala la kuurithi uzima wa milele, basi kila aliyefariki kwa jinsi hiyo huwa mrithi wa Ufalme wa Mungu?
 
Hivi kila mtu akilazimisha hoja pinzani isomeke kama tu ^porojo zisizo na maana,^ utakuwepo umantiki wowote wa kuendelea kujadiliana?

Umesema umeniletea andiko. Nami nimekujibu kwa mifano dhahiri takriban kumi itokanayo na maandiko. Hapo porojo iko wapi?

Au pengine hujaelewa? Rudia kusoma tena, na pia unaweza kuomba ufafanuzi wa ziada.


1. Una hakika gani kwamba waliokuwa wakimwombea mgonjwa walikuwa na ^imani^ anayoitamka Yakobo kwamba ni kigezo cha msingi sana ili kumwokoa na kumwinua mgonjwa husika?

2. Unathibitishaje kwamba alisamehewa dhambi zake?

3. Je, unaamini kwamba kila ombi linaleta matokeo ambayo mwombaji anatarajia?

4. Kwa mantiki hiyo, rejea kwenye maswali yangu yaliyopita (#411), unipatie majibu yake kwa kuzingatia mtazamo wa wazo hili hapa kwenye swali la 3.

Mathalani, mfano mmojawapo, Mfalme Daudi alifunga siku 7 akimwombea mwanawe aponywe, lakini akafa (2 Sam. 12:15-23).

Hapa ni wazi kabisa alitarajia jambo moja, ila likatokea lingine kinyume kabisa na dua yake.

Ikiwa na maana kwamba mapenzi ya Mungu yalitimia katika kifo cha mwanawe. Na Daudi alitambua hilo.

Ndiyo maana wakati wa kuomba, Kristu amefundisha tuseme: ^Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.^

Alipokuwa anakaribia kusulubiwa, aliomba:

^Ee Baba, ikiwa ni mapenzi Yako, niondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi Yangu, bali Yako yatendeke.^ Luka 22:42.

Maneno ya Mfalme Daudi, baada kufiwa mwanawe, yanatusaidia kuelewa wazo hilihili kwamba hata pale tunapoomba, tukitarajia majibu fulani ya maombi yetu, tunapaswa kuomba ili mapenzi ya Mungu daima ndiyo yatendeke.

Mfalme Daudi alipoulizwa kwa nini alifunga na kumlilia Mungu kwa ajili ya mwanawe, lakini baada ya kufariki, mfalme akainuka na kujipaka mafuta na kubadili mavazi yake na kumwabudu Mungu kana kwamba haukuwepo msiba wowote uliokuwa umetokea, alisema:

^Mtoto alipokuwa hai, nalifunga, nikalia; kwa maana nalisema, Nani ajuaye kwamba Bwana atanihurumia, mtoto apate kuishi?^ (2 Sam. 12:22).

Iwapo mtoto alikufa, unadhani Mfalme Daudi aliipata hiyo huruma kwa namna aliyokuwa akiitarajia???

Maana yake nini? Ni kwamba Mfalme Daudi alitambua kuna mapenzi ya Mungu yaliyo juu kabisa ya utashi wa mwanadamu.

Ndiposa, nakuuliza swali la msingi: Je, unatambua mapenzi ya Mungu kuhusu lile tukio la Machi 17?

Umekiri kwamba mtu anaweza kufariki, japo ameombewa na kupakwa mafuta ya kiroho.

Hilo sina mashaka nalo. Nakubali 100% kwa sababu Mungu ameruhusu iwe hivyo; ni mapenzi Yake.

Nami, kwa mantiki hiyohiyo, nakuuliza, Hivi kila anayeombewa na kupakwa mafuta wakati wa umauti, anakuwa mrithi wa ufalme wa mbinguni?

Kwa nini tusiruhusu na hapa pia mapenzi ya Mungu yatimizwe?

Kwamba ikitokea ile siku ya mwisho ya kiama mpendwa wetu fulani hajawepo mbinguni (Mungu aepushie mbali), tutamlalamikia Mungu tukimhoji kwa nini hayupo peponi wakati tulimwombea na kumtia mafuta ya upako wakati wa umauti wake???

This is crazy!

Mapenzi ya Mungu yatimizwe daima hapa duniani na huko juu mbinguni!

Hekima Yake ni kuu kuliko ya mwanadamu, kama ambavyo mbingu iko juu kuliko dunia!

Suala la nani ataokolewa au nani atahukumiwa, si jukumu la mwanadamu hata kidogo!!!


Kama nilivyofafanua hapo juu, hivi unaweza kunithibitishia kwamba kila mgonjwa anayeombewa na kutiwa mafuta ya upako, basi hapo amepata tiketi ya kwenda mbinguni?

Namaanisha kwamba kama tunaweza kumwombea mgonjwa apone na kumtia mafuta ya upako lakini akafa, kwa nini matokeo kama hayo yasitarajiwe pia kuhusu kuurithi ufalme wa mbinguni—kwamba unaweza kuomba aokolewe, mgonjwa akafanyiwa upako, mwisho wa siku akapotea milele?

Au matokeo yanayokuja tofauti na matarajio ya maombi na upako yanahusiana na kupona maradhi ya kimwili tu, ila linapokuja suala la kuurithi uzima wa milele, basi kila aliyefariki kwa jinsi hiyo huwa mrithi wa Ufalme wa Mungu?
Unaandika mambo mengi yasio na maana
Umesema unasoma Biblia nimekuambia tetea hoja zako kwa vifungu vya biblia
Sababu hayo niliyosema sijatumia utashi wanngu bali nimetumia kifungu cha biblia kunukuu nimekuuliza swali utaki kunijibu inavyotakiwa
Uliniambia nisome biblia vizuri kuhusu kuombea wagonjwa nikakuleta kifungu

Na mimi nakuomba tena kwa mala ya mwisho usipojibu hapa sutotaka kujibu tena nahitaji uniletee kifungu cha biblia kinachosema

Kuombewa kwa mgonjwa mahututi ni jambo moja. Kuokolewa hatimaye katika ufalme wa Mungu siku ya mwisho ya Kiama, ni jambo lingine tofauti kabisa!

Naomba nijibu hapo sio unazunguka zunguka wewe si umesoma biblia vizuri jibu hapo
Ukikosa hicho kifungu basi jitulize
 
Kuna taarifa kuwa Press ya Mama kulitangazia Taifa msiba wa Magufuli ilitumwa TBC kwa Whatsapp bila hata Gen Mabeyo na wenzake kujua. Nao walishangaa tu imepelekwa na nani na Mama Samia kujuaje? Je kuna ukweli wowote?
 
Back
Top Bottom