Muda ni rafiki mzuri sana wa ukweli. Ipo siku tutakutana tena kujadili hiki tulichokuwa tunakisema, again, hawa wanawake wanaoleta ubishi hapa watakuja kuapprove kuwa hakunaga mwanamke imara anafanya maisha nje ya ndoa.Mke mwenza wa zuchu.. anajificha kwenye kwenye dini.. soon yatavumbuluka.. simba haachi nyama inayotembea.
Ukicheka na mharibifu atakuharibia maisha. Hawa sio wa kucheka nao hata kidogo. Akianza zengwe zake hapo hapo unafanya maamuzi magumu. Ukichelewa hawanaga akili hawa ya kutazama hasara watakazoleta maana anajua ukiendelea kuwa nae akiharibu utamtetea na kugharamikia uharibifu wake.Wakati tunaendelea na comment fupifupi, na wewe msomaji kama Una mke anayetafuta ndoto zake tena ana masters yake, tia nywele zako maji.
Kumbe unaelewa ila unatuchora tu we mtumishi.Uzi UFUNGWE hapa..[emoji375][emoji375][emoji375]
Hapo hamna cha dini, ulokole wala uchungaji kabisa, ni kupiga pesa na kuliwa na manjemba yenye kiu aka Jimbo liko wazi.Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa "5newsTZ"
View attachment 2959387
"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"
"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili
MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Mwisho wa siku tukubaliane kuwa mwanamke anapenda sana tamaa kuliko subira. Tena maisha ya sasa media na taasisi mbali mbali zinawajaza sana upepo kwa maneno ya kishujaa "unaweza" "mwanamke hiki mwanamke kile" basi na wao vichwa vinaota pembe wanataka ligi na mwanaume.Kuwa mwili mmoja si kufanya kazi au huduma ya aina moja pamoja. Bali ni kuwa na makubaliano ya pamoja ya kuheshimu na kujali kazi au huduma ya mwenza wako kama ya kwako.
Kuwa mwili mmoja ni kusaidiana, kutiana moyo na kujenga mahusiano mema pasina kutengana. Christina angeweza kuendelea na ndoto zake, huduma yake au uchungaji wake pasina kumwacha mumewe. Mume anaweza kuwa mchungaji na mke pia, au wakawa na huduma tofauti pasina kutofautiana.
Mume anaweza kuwa askari, mke akawa muuguzi.
Mume anaweza kuwa mhandisi wa umeme, mke akawa mchungaji.
Mke anaweza kuwa mfanyabiashara, mume akawa mchungaji, nk. Kila mtu katika ndoa ana kipaji chake, fani yake, utaalamu wake, huduma yake, wito wake au ndoto zake tofauti pasina kuathiri ndoa.
Christina kakosea kwa kutojua au kwa makusudi. Au la, kuna sababu nyingine asiyoisema ya kutengana kwake na mumewe.
Sasa unafanya nini kwenye uzi wa kiimani/kidini kama wewe ni Atheist a.k.a nonbeliever?Sina Dini, mie ni Atheist.
Flora mbasha tunaweza mtetea mume wake naona alikuwa ni changamoto sana katika kumuongoza yeye kama mke.umemuacha flora mbasha
Naona anataka kuedit bible huyu.Kuna Mahali YESU aliteua mtume mwanamke?
Na mitume wote wa YESU hatusomi popote kuwa walivunja NDOA zao.
Walienda kutumika, na walirudi Kwa wake zao.
Hatuna hasira za huyo uliyemtaja, binafsi nina shida kwenye sababu alizozitoa zilisomfanya aamue kuvunja ndoa..!!Watu mnahasira na Christina aiseeh!
Kwani ndoa ni lazima ?
Haya Yesu alimuoa nani ?
Hao watawa, mapadre wameoa na kuolewa na nani ?
Hizi ndoto zao za mchana huwa hazitoboi wakifika 40+ tu hapo utaona wanavyovurugwa chupi kichwani kilemba mkononi hawana ramani.Baada ya miaka mingapi tuje kuwauliza kama mmetimiza malengo yenu “makubwa”?
[emoji23]
Mama mchungaji Donatila, pitia vile vile post #528 na uisikilize mwanzo mwisho. Tina anahitaji huruma ya Mungu.Hamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..
Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...
Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...
Tunalo jukumu la kulinda taasisi Ndoa kwa nguvu zote ndio maana tunawasha moto kila siku hapa JF. Ninyi ndoa mnaiharibu kwa maneno na vitendo na ndio mnafaida nayo kutuliko.Ila wanaume mmepanic na Shusho!! Mbona nyie mnaachaga wanawake zenu na mnaenda kuendelea na maisha mengine lkn hatulalamiki!!! Hebu tulieni acheni kupangia wanawake maisha
Tinaaaaaaaaaaaaa..!!Hapo hamna cha dini wala kabisa, ni kupiga pesa na kuliwa na manjemba yenye kiu aka Jimbo liko wazi.
ya😅😅Ameen
kabisaWanawake nao wana uhuru wao.
Kiuhalisia wanawake hawapendi ndoa.
kimsingiHalafu walokole..!!
Wanaitwa wasanii wa nyimbo za injili......elewa neno usanii.Hawa waimbaji wa nyimbo za injili na ndoa ni vitu viwili tofauti.
Tupe kitabu chake.Mariam Magdalene ni nani?
Tofautisha mitume na wafuasi. Usifosi mambo kwa msukumo wa jinsia a.k.a ufeminist ongea ukweli kwa kuzingatia uhalisia.Mariam Magdalene ni nani?
Kutangaza sio hoja, je yule ndugu yake Maria aliekwenda kumwambia ameonyeshwa kuwa dada yake ni mjamzito wa Yesu, yeye alikuwa ni mtume wa kusambaza injili?Alivyotangaza habari za ufufuo wa Yesu...
Tena alikuwa na macho ya Rohoni...
Maana hata hao mitume wengine hawakuwa na macho ya Rohoni, ni Petro tu alimjua kuwa Yesu ni nani...
Mariam Magdalene mwanamke ambaye alikuwa wa kwanza kutanganza injili ya ufufuo wa Yesu...