Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Mke mwenza wa zuchu.. anajificha kwenye kwenye dini.. soon yatavumbuluka.. simba haachi nyama inayotembea.
Muda ni rafiki mzuri sana wa ukweli. Ipo siku tutakutana tena kujadili hiki tulichokuwa tunakisema, again, hawa wanawake wanaoleta ubishi hapa watakuja kuapprove kuwa hakunaga mwanamke imara anafanya maisha nje ya ndoa.
 
Wakati tunaendelea na comment fupifupi, na wewe msomaji kama Una mke anayetafuta ndoto zake tena ana masters yake, tia nywele zako maji.
Ukicheka na mharibifu atakuharibia maisha. Hawa sio wa kucheka nao hata kidogo. Akianza zengwe zake hapo hapo unafanya maamuzi magumu. Ukichelewa hawanaga akili hawa ya kutazama hasara watakazoleta maana anajua ukiendelea kuwa nae akiharibu utamtetea na kugharamikia uharibifu wake.
 
Hapo hamna cha dini, ulokole wala uchungaji kabisa, ni kupiga pesa na kuliwa na manjemba yenye kiu aka Jimbo liko wazi.
 
Mwisho wa siku tukubaliane kuwa mwanamke anapenda sana tamaa kuliko subira. Tena maisha ya sasa media na taasisi mbali mbali zinawajaza sana upepo kwa maneno ya kishujaa "unaweza" "mwanamke hiki mwanamke kile" basi na wao vichwa vinaota pembe wanataka ligi na mwanaume.
 
Sina Dini, mie ni Atheist.
Sasa unafanya nini kwenye uzi wa kiimani/kidini kama wewe ni Atheist a.k.a nonbeliever?

Yaani unasema wewe sio mlevi na unachukia pombe halafu kila siku unaenda pub unakaa high table, kwann unaenda sehemu ambayo una kili haupendi kuwepo? [emoji848]
 
umemuacha flora mbasha
Flora mbasha tunaweza mtetea mume wake naona alikuwa ni changamoto sana katika kumuongoza yeye kama mke.

Jamaa ndio wale wanaume ambao hawajakua vizuri so alikuwa hajafiti vizuri katika kumuongoza vema mkewe mixer alikuwa anachombezana sana na wanawake ikiwamo mdogo wake flora alikuwa anatakana na jamaa kingono ukizingatia jamaa ana mvuto so mabinti walikuwa wanamletea ligi sana Shangazi na unajua mziki wa watoto wa 2000 wakimtaka mwanaume wanambinu za kimafia kuwazidi shangazi zao.

Na inadhihirika kuwa jamaa alikuwa kama Marioo fulani kwa mke yaani mshika mikoba wa mke badala na yeye akaze kutafuta chochote ili kumsapoti mke yeye akawa kama chawa tena kwa mke sababu mke ni maarufu anapiga show so waishi kwa kipato cha mke.

So alishindwa kuendelea na jamaa kwenye mazingira hayo akaamua kuyamaliza na kutafuta mshikaji mwingine ambaye ndie wanaishi nae, sasa sijafahamu kama wamefunga ndoa ama wanaishi kwa cohabitation.
 
Watu mnahasira na Christina aiseeh!

Kwani ndoa ni lazima ?

Haya Yesu alimuoa nani ?

Hao watawa, mapadre wameoa na kuolewa na nani ?
Hatuna hasira za huyo uliyemtaja, binafsi nina shida kwenye sababu alizozitoa zilisomfanya aamue kuvunja ndoa..!!
 
Baada ya miaka mingapi tuje kuwauliza kama mmetimiza malengo yenu “makubwa”?

[emoji23]
Hizi ndoto zao za mchana huwa hazitoboi wakifika 40+ tu hapo utaona wanavyovurugwa chupi kichwani kilemba mkononi hawana ramani.

Hizi fujo wanazofanya ni ili kutafuta attention za kijinga, kutaka mashindano na wanaume na kupata uhuru wa kuliwa na kujipatia mapato kwa wanaume tofauti, umri ukianza kwenda utulivu sijui huwa unatoka wapi utashangaa ghafla wanapata akili ya Maisha ya ndoa na wanaanza kuforce kusettle na mwanaume yoyote yule hata kama hana hela wataforce waishi nae ikibidi yeye mwanamke ataanza kumpa pesa mwanaume ili atulie nae.

Wewe tulia usiongee chochote, nashangaa hata kwann tunawashtua na hizi nyuzi tungekaa kimya wakaone balaa bila kuhadithiwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna mtu anayeweza muelewa Christina kwakuwa ukiitwa na Mungu Kuna vitu unatakiwa uache ..

Hata wanafunzi wa Yesu waliacha hata kazi wakamfuata Yesu...

Mambo ya Rohoni na mwilini ni tofauti kabisa...
Mama mchungaji Donatila, pitia vile vile post #528 na uisikilize mwanzo mwisho. Tina anahitaji huruma ya Mungu.
 
Ila wanaume mmepanic na Shusho!! Mbona nyie mnaachaga wanawake zenu na mnaenda kuendelea na maisha mengine lkn hatulalamiki!!! Hebu tulieni acheni kupangia wanawake maisha
Tunalo jukumu la kulinda taasisi Ndoa kwa nguvu zote ndio maana tunawasha moto kila siku hapa JF. Ninyi ndoa mnaiharibu kwa maneno na vitendo na ndio mnafaida nayo kutuliko.
 
Kutangaza sio hoja, je yule ndugu yake Maria aliekwenda kumwambia ameonyeshwa kuwa dada yake ni mjamzito wa Yesu, yeye alikuwa ni mtume wa kusambaza injili?

Hapa sasa naona mwanamke unataka kutupanda kichwani hebu tuambie kanisa gani unasali tukufuate tukunyooshe kiinjiri? [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…