Nimeangalia.. nimekosa.. naomba link mkuu..Wewe na mtoa Post wote washamba,huwez kutembelea Familia 5 uka conclude eti utafiti
UCHAGANI kwa mujibu wa shirika la takwimu NBS ,mkoa wa Kilimanjaro Ni mkoa wa pili kwa makazi bora kwa 90% nyuma ya dar 92%
Sasa nyie ni watafiti kuliko nbs?
UCHAGANI ni eneo pekee tz watu wamejenga mno vijijin ndio maana hawaoni aibu kurudi kwao Kama nyie
MTU KWAO
Uhayani pako vizuri lakini hatujaja hapa kujigamba tupo tunapigana kaziWivu utakuua wewe mshaija,Naona unaumia mno mbwembwe za wachaga za krismass ndio hivyo na nyie mpende kwenu muache kutelekeza kwenu kule kishuro,mushabago,muhutwe etc
Hahaha endelea kujifariji sisi tunasonga mbele maazimio ya vikao vyetu vya mwaka huu Ni kuwa hiyo 10% ya umaskini Hadi kufikia mwakan ipungue kufikia 5% ili mwaka 2022 kusiwe na kiwango chochote Cha umaskiniUsipanic hata Tz iko uchumi wa kati ingawa watu uchumi hawauoni
Mhaya hawezi kuacha kujigamba kwa alichonacho lakini nyie mnadanganya kwa vitu ambavyo hamnaLeo hii mhaya anasema hamjigambi, kweli mmeshikwa pabaya.
Kwa taarifa yako mnaendelea kushuka maana huko kwenu hamna jipya tenaHahaha endelea kujifariji sisi tunasonga mbele maazimio ya vikao vyetu vya mwaka huu Ni kuwa hiyo 10% ya umaskini Hadi kufikia mwakan ipungue kufikia 5% ili mwaka 2022 kusiwe na kiwango chochote Cha umaskini
Nyie endeleeni kucheza AKASIMBO hapo katoma
Tanzania nimetembea na kuishi mikoa tofauti zaidi ya 8Tanzania ushatembelea mikoa mingapi? Na vijiji vingapi vya hiyo mikoa?
Kitu gan hatuna? MAHEKALU vijijin,elimu au miundombinu?Mhaya hawezi kuacha kujigamba kwa alichonacho lakini nyie mnadanganya kwa vitu ambavyo hamna
Hahahaha mmeminywa pumbu hamfurukuti kabisa, krismass huwa Ni ya wachaga tuUhayani pako vizuri lakini hatujaja hapa kujigamba tupo tunapigana kazi
Utakuwa umetembelea Lindi na Kigoma alafu upo unajilinganisha nao unafurahiTanzania nimetembea na kuishi mikoa tofauti zaidi ya 8
Hakuna mkoa wowote unaoufikua Kilimanjaro kwa makazi ya vijijin
Ripoti ya nbs ipo sahihi wale ni professional surveyors sio lay man wenzio
Ingia web ya nbs ripoti zote zimo za miaka yoteNimeangalia.. nimekosa.. naomba link mkuu..
Nimewabinya pu..mbu hapa wewe niachie Hawa Ni size yanguLeo hii mhaya anasema hamjigambi, kweli mmeshikwa pabaya.
[emoji3][emoji3] Christmas ya uchaggani ni ya matangazo Lakin huku uhayani mambo ni kimya na balaaHahahaha mmeminywa pumbu hamfurukuti kabisa, krismass huwa Ni ya wachaga tu
Ndio mjue aliyepo juu atazid kuwa juu
Hata kwenu kagera nimeishi miaka 3 na kihaya ninakijua kwa 40% au tuchat kwa kihaya?Utakuwa umetembelea Lindi na Kigoma alafu upo unajilinganisha nao unafurahi
Tulia uzi ni wa kwenu lakini mtaukimbia ili muache kudanganya watu ambao hawajawahi kufika hukoNimewabinya pu..mbu hapa wewe niachie Hawa Ni size yangu
Hahahaha hamna lolote,utamaduni wa krismass UCHAGANI Tanzania nzima huwa inatega sikio Kilimanjaro[emoji3][emoji3] Christmas ya uchaggani ni ya matangazo Lakin huku uhayani mambo ni kimya na balaa
Basi kama umetembea uhayani utakuwa aware na ninachosema, yaani hakuna jipya ambalo Mhaya atalishangaa uchagganiHata kwenu kagera nimeishi miaka 3 na kihaya ninakijua kwa 40% au tuchat kwa kihaya?
Huku vijana wamejaa wizi, ulevi, ukabaji sijui unapanic nini wewe mchaga[emoji3][emoji3] umetembea mikoa nane ila mkoa wako hujatembeaTanzania nimetembea na kuishi mikoa tofauti zaidi ya 8
Hakuna mkoa wowote unaoufikua Kilimanjaro kwa makazi ya vijijin
Ripoti ya nbs ipo sahihi wale ni professional surveyors sio lay man wenzio
Huyo alieleta Uzi kupiga propaganda ndio kaukimbia maana anajua kaandika ujinga, sasa hivi anachungulia tu anajuta kwann kauletaTulia uzi ni wa kwenu lakini mtaukimbia ili muache kudanganya watu ambao hawajawahi kufika huko
Ndege za watalii wa kwenda Arusha?? Alafu mpaka mpitie Zanzibar, nauli tu ya ndege kwenda kwenu ni nauli ya basi kwenda bk, ndege za bk zimejaa mpaka wakaongeza routeHahahaha hamna lolote,utamaduni wa krismass UCHAGANI Tanzania nzima huwa inatega sikio Kilimanjaro
Ndege zote zimejaa Hadi January 10,mabasi karibu yote yamehamia Kilimanjaro,ma V8 Kama yote huko migombani