Chuki ya Museveni kwa Besigye ya nini wakati ni familia? Amekuwa daktari wake na amelelewa familia moja na Winnie mke wa Besigye!

Chuki ya Museveni kwa Besigye ya nini wakati ni familia? Amekuwa daktari wake na amelelewa familia moja na Winnie mke wa Besigye!

Hujui kuwa mara ya mwisho Besigye alikamatwa akiwa Kenya?
au huna taarifa ,maelezo ni kwamba alienda
Hujui kuwa mara ya mwisho Besigye alikamatwa akiwa Kenya?
alienda kuishi au alikuwa amealikwa kwenye uzinduzi wa kitabu Cha Martha karua
Hujui kuwa mara ya mwisho Besigye alikamatwa akiwa Kenya?
hapana maelezo ni kwamba alialikwa kwenye uzinduzi wa kitabu Cha Martha karua na sio kuishi......
 
Yan utamu wa Winnie Banyima(mke wa Besigye na ex wa Museven) unamtesa kiasi hiki kweli!
Maana hizi si siasa sasa!
Nikiangalia mali za Besigye ndan ya Kampala tu na anavyoishi ni kama ni Dr asiyejua hata kutafsiri neno kuishi
 
Back
Top Bottom