Sio kwamba nao hawajui, wanaimba nyimbo za kusifu na kuabudu sio kwamba wanapenda. NJAAKijani hawawezi kukuelewa,wanawaza kwa namna yoyote ile waendelee kutawala hata kama wananchi wameeakataal
Na hili ndiyo litafanya CCM ianguke kama wakimsimamisha yeye mwakani.Kuna kitu ambacho nakiona Tofauti kati ya uongozi wa Mama samia na uongozi wa mtangulizi au watangulizi wake. Magufuli alikuwa anaongozwa na hisia zake ila kws wanyonge alikuwa anawajali sana yupo lazi apokonye kwingine kote ila Watanzania wapate huduma muhimu hasa wanyonge, yaMama yeye kaachia watu watafunane, yaani kila mtu anakula kws urefu wa kamba ke na wala hakemei, Nchi sasa ni shamba la Bibi kila mwenye nafasi na mwanya na ale, naukilalamika unaonews unafungwa. Vyombo kama Polisi, tra, nida, mahakama na taasisi nyingine yamekuws kama makampuni ya watu binafsi wstu wanafanya tu vyovyote wanavyotaka na hawafanyi chochote na wanalindwa kws nguvu zote
Ndio vizuriKile kikombe cha ghadhabu kinakaribia kujaa
Huyu wa sasa ni rais wa mafisadi.Kuna kitu ambacho nakiona Tofauti kati ya uongozi wa Mama samia na uongozi wa mtangulizi au watangulizi wake. Magufuli alikuwa anaongozwa na hisia zake ila kws wanyonge alikuwa anawajali sana yupo lazi apokonye kwingine kote ila Watanzania wapate huduma muhimu hasa wanyonge, Mama yeye kaachia watu watafunane, yaani kila mtu anakula kws urefu wa kamba yake na wala hakemei, Nchi sasa ni shamba la Bibi kila mwenye nafasi na mwanya na ale, naukilalamika unaonews unafungwa. Vyombo kama Polisi, tra, nida, mahakama na taasisi nyingine yamekuws kama makampuni ya watu binafsi wstu wanafanya tu vyovyote wanavyotaka na hawafanyi chochote na wanalindwa kws nguvu zote
Utekaji, mauaji, ufisadi, uchafuzi wa uchaguzi na tamaa ya madaraka ni miongoni mwa sababu za chuki hiyo.Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Gentleman chuki zako binafsi, ramli chonganishi na ushirikiana wako nadhani ni muhimu mkajadiliana na kupeana moyo huko kwenye na Chama kenu kalikogawanyika.Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Tujiulize je hao viongozi wanapatikana kihalali?Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Rais Mama huwezi hata kumdhania aisee.
Acha upuuzi wako wa kudhani kwamba kila anayechukizwa na huu utekaji na uuaji unaotekelezwa na 'wasiojulikana' kwa kutumwa na kulindwa na dola yuko affiliated na upuuzi wenu wa vyama vya siasa.Gentleman chuki zako binafsi, ramli chonganishi na ushirikiana wako nadhani ni muhimu mkajadiliana na kupeana moyo huko kwenye na Chama kenu kalikogawanyika.
Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan inaendelea na jukumu muhimu la kuwaunganisha na kuwaletea pamoja waTanzania na kuwatumikia kwa weledi makubwa sana,
na ndiyo maana,
biashara zimefunguka kwa kiwango kikubwa mno Tanzania, sekta ya usafishaji na kilimo vimechochea tija na ongezeko la kipato cha waTanzania n.k
Hata hivyo,
utangamano miongoni mwa viongozi na wananchi umeendelea kuimarika siku hadi siku. Na ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni ishara ya wazi kabisa kwamba viongozi wa chama na serikali wamekua karibu zaid na wananchi kuliko wakati mwingine wowote.
Mungu Ibariki Tanzania 🐒
CCM haikubaliki na inajua hivyo. Ila wamelewa madaraka na hawataweza kujinasua hapo walipo. Kusema kweli hata mimi nikisia wamepata mabalaa huwa naona ahuweni. Tena siku nikisikia hili li-vaa ushungi lililoshindwa kuisha na mumuwe limepatwa na lakupatwa nitafurahi sana. Huwezi kuua watoto, waume au ndugu wa wenzako kama unavyotaka kisa eti wanakukosoa.Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
Mtaani kwangu Mtendaji kapoteza meno Matatu.utangamano miongoni mwa viongozi na wananchi umeendelea kuimarika siku hadi siku. Na ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni ishara ya wazi kabisa kwamba viongozi wa chama na serikali wamekua karibu zaid na wananchi kuliko wakati mwingine wowote.
DuuhUkitaka kujua ubaya wa mtu mfanyie kaubaya kadogo tu.
lakini pia hana hulka za uvumilivu kutokana na mazingira .
Zanzibar walikua wanagombana sana kisiasa na kumwagiana tindikali , kulwagia kinyesi kwenye visima n.k.
Na waliaminishwa kubwa Waarabu watarudi kuipindua serikali ya mapinduzi. Hali hiyo ilisababisha nguvu kubwa sana kutumika kupambana na wapinzani mpaka walipofikia maridhiano na CUF. Baada ya CUF kufa wengi walirudi CCM wachache wakaenda ACT . Hii CCM ni zao la CUF akiwemo Dr. Bushiria aliyekua Karibu mkuu
Ma-ushungi anafuata ushauri wa waarabu ndiyo watu makatili kupitiliza. Hivi unajua baadhi ya hizi nchi za uarabuni kuandamana ni kosa la kuhukumuwa kifo? Siku Bangladesh walipomtumua yule ma-ushungi wao, kuna raia wa Bangladesh walikuwa nchi moja ya kiarabu (jina limenitoka) wakaandamna kuunga mkono yanayotokea nchini mwao na wakahukumiwa vifungo virefu. Pia msisahau hawa wenzetu wananyonga wapinzani.Ukitaka kujua ubaya wa mtu mfanyie kaubaya kadogo tu.
lakini pia hana hulka za uvumilivu kutokana na mazingira .
Zanzibar walikua wanagombana sana kisiasa na kumwagiana tindikali , kulwagia kinyesi kwenye visima n.k.
Na waliaminishwa kubwa Waarabu watarudi kuipindua serikali ya mapinduzi. Hali hiyo ilisababisha nguvu kubwa sana kutumika kupambana na wapinzani mpaka walipofikia maridhiano na CUF. Baada ya CUF kufa wengi walirudi CCM wachache wakaenda ACT . Hii CCM ni zao la CUF akiwemo Dr. Bushiria aliyekua Karibu mkuu
AiseeMa-ushungi anafuata ushauri wa waarabu ndiyo watu makatili kupitiliza. Hivi unajua baadhi ya hizi nchi za uarabuni kuandamana ni kosa la kuhukumuwa kifo? Siku Bangladesh walipomtumua yule ma-ushungi wao, kuna raia wa Bangladesh walikuwa nchi moja ya kiarabu (jina limenitoka) wakaandamna kuunga mkono yanayotokea nchini mwao na wakahukumiwa vifungo virefu. Pia msisahau hawa wenzetu wananyonga wapinzani.