Chuki ya Wananchi kwa Serkali na Watawala ni kubwa

Kijani hawawezi kukuelewa,wanawaza kwa namna yoyote ile waendelee kutawala hata kama wananchi wameeakataal
Sio kwamba nao hawajui, wanaimba nyimbo za kusifu na kuabudu sio kwamba wanapenda. NJAA
Wanaweza hata kutoa pendekezo yule mama aitwe mama mtakatifu wa taifa. Yote hii KUTIBU NJAA ZAO.
Wanaimba majukwaani, wanasikitika na kuponda majumbani!
 
Na hili ndiyo litafanya CCM ianguke kama wakimsimamisha yeye mwakani.
 
Huyu wa sasa ni rais wa mafisadi.
 
Utekaji, mauaji, ufisadi, uchafuzi wa uchaguzi na tamaa ya madaraka ni miongoni mwa sababu za chuki hiyo.
 
Gentleman chuki zako binafsi, ramli chonganishi na ushirikiana wako nadhani ni muhimu mkajadiliana na kupeana moyo huko kwenye na Chama kenu kalikogawanyika.

Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan inaendelea na jukumu muhimu la kuwaunganisha na kuwaletea pamoja waTanzania na kuwatumikia kwa weledi makubwa sana,

na ndiyo maana,
biashara zimefunguka kwa kiwango kikubwa mno Tanzania, sekta ya usafishaji na kilimo vimechochea tija na ongezeko la kipato cha waTanzania n.k

Hata hivyo,
utangamano miongoni mwa viongozi na wananchi umeendelea kuimarika siku hadi siku. Na ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni ishara ya wazi kabisa kwamba viongozi wa chama na serikali wamekua karibu zaid na wananchi kuliko wakati mwingine wowote.

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
 
Tujiulize je hao viongozi wanapatikana kihalali?

Je tume huru ili iwe huru kweli inatakiwa iweje

Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa tarehe 27-11-2024, ulikuwa na vioja, yaani ndiyo kipimo tosha cha kukosekana kwa tume huru ya uchaguzi. Ulikuwa ni uchaguzi wenye hila
 
Rais Mama huwezi hata kumdhania aisee.

Ukitaka kujua ubaya wa mtu mfanyie kaubaya kadogo tu.
lakini pia hana hulka za uvumilivu kutokana na mazingira .
Zanzibar walikua wanagombana sana kisiasa na kumwagiana tindikali , kulwagia kinyesi kwenye visima n.k.
Na waliaminishwa kubwa Waarabu watarudi kuipindua serikali ya mapinduzi. Hali hiyo ilisababisha nguvu kubwa sana kutumika kupambana na wapinzani mpaka walipofikia maridhiano na CUF. Baada ya CUF kufa wengi walirudi CCM wachache wakaenda ACT . Hii CCM ni zao la CUF akiwemo Dr. Bushiria aliyekua Karibu mkuu
 
Acha upuuzi wako wa kudhani kwamba kila anayechukizwa na huu utekaji na uuaji unaotekelezwa na 'wasiojulikana' kwa kutumwa na kulindwa na dola yuko affiliated na upuuzi wenu wa vyama vya siasa.
 
CCM haikubaliki na inajua hivyo. Ila wamelewa madaraka na hawataweza kujinasua hapo walipo. Kusema kweli hata mimi nikisia wamepata mabalaa huwa naona ahuweni. Tena siku nikisikia hili li-vaa ushungi lililoshindwa kuisha na mumuwe limepatwa na lakupatwa nitafurahi sana. Huwezi kuua watoto, waume au ndugu wa wenzako kama unavyotaka kisa eti wanakukosoa.
 
Mtaani kwangu Mtendaji kapoteza meno Matatu.
Mwenyekiti wa kufosi wamebonda na Sasa anatembelea Gongo.
Wapambe wa M/Kiti wanaugulia maumivu ...Polisi alitupwa mtaroni na Bunduki akiwa nayo mkononi kavunjika mkono.

Kama huu ni upendo na kukubalika kwa sisiem bhasi bila Shaka Israel wanawapenda Sana wapalestina Hadi kuwatenda wema kuanzia tar 7 Hadi Sasa.
 
Duuh
 
Ma-ushungi anafuata ushauri wa waarabu ndiyo watu makatili kupitiliza. Hivi unajua baadhi ya hizi nchi za uarabuni kuandamana ni kosa la kuhukumuwa kifo? Siku Bangladesh walipomtumua yule ma-ushungi wao, kuna raia wa Bangladesh walikuwa nchi moja ya kiarabu (jina limenitoka) wakaandamna kuunga mkono yanayotokea nchini mwao na wakahukumiwa vifungo virefu. Pia msisahau hawa wenzetu wananyonga wapinzani.
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…