Magufuli hakuwa mjinga, nakukumbusha tena the guy wasn't an idiot! Alichukua hatua palipohitajika ila he delivered to the public. Alifanya ambayo kiongozi wa taifa anapaswa kuyafanya for the public welfare.Yaliasisiwa na Magufuri mtangulizi wake.
Watajirekebisha bila kuwajibishwa? Are you non native citizen of Tanzania?Nope Chuki ya Wananchi kwa Wananchi ndio hatari sana na inabidi kuangalia sababu watawala ni wajanja wanaweza kuleta divide and rule...
Sababu hao watawala wakijua wanachukiwa its good (watajirekebisha) na kama wasipojirekebisha watafukuzwa (na kama hawajawa mashetani) basi wataachia ngazi..., Ni bora kuonyesha chuki kuliko kuzificha na mwisho wa siku when the last straw breaks the proverbial Camel inakuwa too late already...
Atleast we learnt the Hard wayOGOPENI SANA VIONGOZI WANAOPATIKANA KWA KUPITIA TOBO ZAO MBILI ZA CHINI ...NDIYO MAANA DINI ZILIKATAZA WANAWAKE KUWA VIONGOZI ...KWENYE HILI NAUNGA MKONO HEKIMA YA MAFUNDISHO YA DINI ...KAZI YOYOTE YA UONGOZI TUSITHUBUTU KUMPA MWANAMKE HATA UJUMBE WA NYUMBA 10 NI HATAREE HATAREEE
Kama alivyosema leo Banangawatawambia ni kelel za chura
Nimeonyesha ni nini kitatokea wasipojirekebisha watafukuzwa na wakifukuzwa wasipotoka ndio hivyo yanayoendelea huenda yakaendelea tena haya ni madogo... Shida ya issue kama hizi huwa hakuna washindi bali casualities of different degrees..., Mchuma Janga hula na Wakwao..., there is one biggest looser naye ni Tanzania...Watajirekebisha bila kuwajibishwa? Are you non native citizen of Tanzania?
π€£π€£π€£π€£Wazikwe bila kufa?
MbeziWapi huko
Usimuamshe aliyelalaHizi comments hapa chini zimenitisha sana na zinaatoa picha halisi ya jinsi utawala wa CCM unavyochukiwa nchi hii. Sijui huo ushindi wa 99% kwenye chaguzi unatoka wapi!
Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
View attachment 3171171
Ma-ushungi anafuata ushauri wa waarabu ndiyo watu makatili kupitiliza. Hivi unajua baadhi ya hizi nchi za uarabuni kuandamana ni kosa la kuhukumuwa kifo? Siku Bangladesh walipomtumua yule ma-ushungi wao, kuna raia wa Bangladesh walikuwa nchi moja ya kiarabu (jina limenitoka) wakaandamna kuunga mkono yanayotokea nchini mwao na wakahukumiwa vifungo virefu. Pia msisahau hawa wenzetu wananyonga wapinzani.
Me sijasoma ndani, lakin heading inajieleza wananchi wanatembea na slogan ya ubaya ubwela baada ya chuki ya wazi ya watawala kwa wananchi, haiwezekani mwananchi ana njaa ya kutisha afu mtawala anaishi maisha ya peponiHizi comments hapa chini zimenitisha sana na zinaatoa picha halisi ya jinsi utawala wa CCM unavyochukiwa nchi hii. Sijui huo ushindi wa 99% kwenye chaguzi unatoka wapi!
Chuki ya wananchi kwa serikali na watawala ni jambo la hatari sana. Chuki hii ya watu wengi hutengeneza kitu katika ulimwengu wa roho hasa inapokuwa chuki hiyo ina msingi wake kwenye masuala ya haki.
Kuna haja ya watawala kurekebisha jambo hili kabla ili kuepusha balaa zisizokuwa na maelezo mazuri.
View attachment 3171171
Ushetani tu unawaongozaHawa hawana uvumilivu na ndivyo walivyolelewa.
Wakati wa Biashara ya watumwa waliwachinja wale wote ambao hawakusilimu na kuwafanya watumwa wale wote waliovumilia kuuzwa kama kuku.
Karne hii bado waarabu wakiwa kwao hawavumilii kabisa watu wa dini nyingine kutangaza dini yao . Wala hawana huruma na Mwarabu anayeamua kubadili dini na kuwa Mkristo hata kama matendo yake ni mazuri kama malaika bado watamuua kwa kumkata shingo .
Sasa kama wanaua mtu kwa sababu ya imani tu bila hata kufanya tendo baya ,ni wazi kuwa ni watu katili sana kwa mtu asiyefuata yale wanayoyataka wao.
Wapi huko Kuna Chuki mbona hapa ni bendera zetu tu ndio zinaoepea? π Hii ni ishara kuwa Chama na serikali vinakubalika 99.9%Yaan ndugu kilichopo kwa watanzania kweli wana hasira na chuki kubwa sana dhidi ya serikali lakini hawana pa kuanzia yaani pakipatika pa kuanzia penye nguvu sio vyama vya siasa lakini, wallah MAma na genge lake na IGP na kina MAFWELE kundi lake hawata amini kitakacho tokea na watabaki midomo wazi.
Vinakubalika kwa mafala.Wapi huko Kuna Chuki mbona hapa ni bendera zetu tu ndio zinaoepea? π Hii ni ishara kuwa Chama na serikali vinakubalika 99.9%View attachment 3172999
Ndio hao 99.9?Vinakubalika kwa mafala.
99.9 ya kipumbavu.Ndio hao 99.9?
Kivipi sasa99.9 ya kipumbavu.
Bendera za chama tawala kupepea sio hoja sababu unajua kabisa zinapepea kwa mtutu wa bunduki sababu kama mtu aliye jichorea picha yake mwenyewe kwa mapenzi ya rais wake baadae akaamua kuichana mwenyewe na yeye akapotezwa hadi leo hajulikani alipo sembuse bendera zilizo wekwa bila hiyari ya wananchi!? Acha ujinga wako, wananchi wana hasira sana na serikali onevu hii na mbaya zaidi hata wana ccm wanabaki kuwa wanaccm kwa hofu ila sio kwa mapenziWapi huko Kuna Chuki mbona hapa ni bendera zetu tu ndio zinaoepea? π Hii ni ishara kuwa Chama na serikali vinakubalika 99.9%View attachment 3172999
Hata Spika Mstaafu ndugu Pius Msekwa amesema kuwa,"Hakuna mtu mwenye akili timamu atafurahia ushindi wa 99.9%,ukiona mtu anashangilia huo ushindi ujue ana dosari."Kivipi sasa