GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #141
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!We jamaa GENTAMYCINE ni mchawi sio Siri 🤣🤣🤣 ulitabiri kuhusu Kufukuzwa kwa Robetinho ikatokea na Umetabiri kuhusu Hiki na limetokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!We jamaa GENTAMYCINE ni mchawi sio Siri 🤣🤣🤣 ulitabiri kuhusu Kufukuzwa kwa Robetinho ikatokea na Umetabiri kuhusu Hiki na limetokea
Pumbavu.Wewe ni mharibifu wa soka la TZ. Unastahili ban ya maisha kwa tabia yako hii ya umbea.
Nikiwaambia hamna Akili na ni Mapunguwani mnachukia. Unashupalia kuwa eti Uzi wangu ume editiwa katika Content tofauti na ulivyokuwa mwanzo kwa Kufurahia majina ya Wachezaji hayapo? Sasa kama mmefurahia Majina ya Wachezaji hayapo katika Content mbona hamjiulizi kuwa Majina ya Wachezaji husika bado yako ( yameachwa ) katika Thread Headline yangu?Halafu kuna mazombie yanampa credits
Ona Juha Kuu hili.Wachezaji wapo mazoezini bunju sasa hao waliosimamishwa ni kina nani?View attachment 2807057
Nikiwaambia hamna Akili na ni Mapunguwani mnachukia. Unashupalia kuwa eti Uzi wangu ume editiwa katika Content tofauti na ulivyokuwa mwanzo kwa Kufurahia majina ya Wachezaji hayapo? Sasa kama mmefurahia Majina ya Wachezaji hayapo katika Content mbona hamjiulizi kuwa Majina ya Wachezaji husika bado yako ( yameachwa ) katika Thread Headline yangu?Uzi wa mwanzo kabla ya kufutwa mliuona? Huoni kuwa huu Uzi tittle yake imebadilishwa kwa kupachikwa majina ya hao wachezaji huku kwenye contents kukiwa hakuna majina ya wachezaji
robetino ameliwa kichwa, amelalamika hayo? unafikiri amependa kuliwa kichwa? na kama ameliwa kichwa akijua alihujumiwa unafikiri angenyamaza kimya? si angemwaga mboga. hizi suspecion hazina mashiko. timu ya simba ni mbovu msimu huu. hata kama ingekuwa nzuri, basi ni tibu nzuri ila sio nzuri kuizidi Yanga.Asante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi (Mjumbe) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.
Laana zangu Kali GENTAMYCINE ziwaendee na nina uhakika zitawaathiri mno nyie wachezaji kwa mlichokifanya.
Halafu kabla GENTAMYCINE sijaja na Exclusives zingine Kubwa Mbili naomba kujua ni kwanini Siku Tatu kabla Kipa Aishi Manula alisema hataki kudaka ila Usiku wa kuelekea katika Mechi Yeye na Kiongozi mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim ndiyo adake Jana?
GENTAMYCINE nikikuletea Taarifa hapa nakuomba uichukue kwa 100% kwani sibahatishi na Chanzo changu cha hii Taarifa ni Mchezaji Mwandamizi kabisa aliyeko ndani yao (Kikosini) kabisa.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
The queen herselfUzi utakuweko sana tu juha Wewe sawa?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
Selemani weeHuu Uzi niliuleta hapa Jana ukiwa Umekamilika kuanzia katika Headline na Content ila kwasababu wanazozijua Moderators WAKAUFUTA na WAMEURUDISHA tena hii Leo baada ya KUWAHOJI kwanini WALIUFUTA wakati GENTAMYCINE nina uhakika nao 100%?
Hivyo haya Mapungufu unayoyaona baada ya KUURUDISHA siyo yangu ni yao Wenyewe na nashangaa kuona Wewe na Mpumbavu Frank Wanjiru mnanishangaa na kama vile Mnanisuta.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
MmmmmAsante sana Wewe Mchezaji Mwandamizi Simba SC na Kiongozi (Mjumbe) wa Bodi ya Simba SC kwa kunipa Taarifa hii muhimu sana.
Laana zangu Kali GENTAMYCINE ziwaendee na nina uhakika zitawaathiri mno nyie wachezaji kwa mlichokifanya.
Halafu kabla GENTAMYCINE sijaja na Exclusives zingine Kubwa Mbili naomba kujua ni kwanini Siku Tatu kabla Kipa Aishi Manula alisema hataki kudaka ila Usiku wa kuelekea katika Mechi Yeye na Kiongozi mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake mwenye ukaribu wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja wa Yanga SC walienda kwa Kocha Mkuu na kutaka apangwe Manula Golini wakati tayari Kocha alikuwa ameshaamua kuwa Kipa All Salim ndiyo adake Jana?
GENTAMYCINE nikikuletea Taarifa hapa nakuomba uichukue kwa 100% kwani sibahatishi na Chanzo changu cha hii Taarifa ni Mchezaji Mwandamizi kabisa aliyeko ndani yao (Kikosini) kabisa.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
Haiondoi ukweli kuwa wewe ni mpika majungu mkuu hapa jukwaani. Husaidii lolote katika ukuaji wa soka letu. Moderators threads za huyu bwana ziwe zinapelekwa jamii check, ikithibitika anazusha mambo kila mara piga ban ya maisha.Pumbavu.
Pameshaonekana, ila tunalazimisha iaminike kuwa hayo maji yalimwagwa kuingia ndani kupitia mlangoni na dirishani!Wacha inyeshe tuone panapovuja
Pumbavu.Haiondoi ukweli kuwa wewe ni mpika majungu mkuu hapa jukwaani. Husaidii lolote katika ukuaji wa soka letu. Moderators threads za huyu bwana ziwe zinapelekwa jamii check, ikithibitika anazusha mambo kila mara piga ban ya maisha.
itakuwa kuna kamari wakubwa walichezeshana si yangaKama yanga inahonga kama simba mnavyodai basi yanga ina pesa ya kuharibu. Haina hata haja ya kutafta wachezaji wa bei mbaya inaweza hata kuchukua wa mchangani ikaendelea kuhonga tu ili iwe inashinda.
Hata kwa madai haya bado maumivu yenu yanabaki pale pale.
Msitafute mchawi jipangeni....