Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Hili popoma sijui likoje.
Jf watu wanaandika without fear or favour, Sasa huyu Mara mtanzania muhimu, uliye muona sio MTU muhimu Ni Nani?
Vitendo vinavyochukiza viko vingi vikiwemo kuondoa uhai wa MTU. Hakuna dhambi isiyo mchukiza Mungu.
Be frank bro.
 
Hili popoma sijui likoje.
Jf watu wanaandika without fear or favour, Sasa huyu Mara mtanzania muhimu, uliye muona sio MTU muhimu Ni Nani?
Vitendo vinavyochukiza viko vingi vikiwemo kuondoa uhai wa MTU. Hakuna dhambi isiyo mchukiza Mungu.
Be frank bro.
Rubbish.
 
Mmiliki wa Jengo hilo ( aliyewapangisha Wahanga wa Moto Mkubwa uliotokea ) ni Mzee Mwamba, ila anayekisimamia kwa sasa ni Mkewe Profesa Mwamba wa Chuo Kikuu fulani ambaye pia ni Rafiki wa Karibu mno na Mtanzania Muhimu ambaye hivi Karibuni tu amemfanya kuwa ni Mmoja wa Washauri wake Wakuu na kumpa Wadhifa fulani.

GENTAMYCINE niendelee Kuwapongeza Wabunge wa nchini Uganda kwa kuja na Muswada Maalum kuwa Watu wenye Mapenzi ya Jinsia Moja ( hasa Wanaume ) waitwao Mashoga wawe Wanafungwa Maisha au Wananyongwa kabisa.

Huwezi kufanya Jambo Baya au Kuyachafua Maandiko ya Mwenyezi Mungu halafu Laana yake isikupate na asikushushia Mabalaa makubwa ili kukupa Ujumbe kuwa unachokifanya ni kibaya japo unajifanya ni Mcha Mungu hasa.

Na Mtanzania Muhimu sana anawalinda wenye Chuo / Taasisi kwakuwa ni Yeye ndiyo amewakaribisha nchini halafu ni Mwenzao Kiimani na anakula nao kwani Taasisi hiyo iko nyuma ya Tajiri fulani ch a wa Falme za Kiarabu ambaye yuko mbioni kuja Kuwekeza nchini uo mTanzania hasa katika Mkoa wa Dar es Salaam na kwamba tayari ameshajipatia maeneo mengi ( Ardhi ) nchini ili aendelee na Miradi yake huku akieneza Michezo michafu kwa Vijana na Wanaume wa Dini yao.
Huo mchezo mchafu una asili katika nche za kiarabu tangu kale
 
Mmiliki wa Jengo hilo ( aliyewapangisha Wahanga wa Moto Mkubwa uliotokea ) ni Mzee Mwamba, ila anayekisimamia kwa sasa ni Mkewe Profesa Mwamba wa Chuo Kikuu fulani ambaye pia ni Rafiki wa Karibu mno na Mtanzania Muhimu ambaye hivi Karibuni tu amemfanya kuwa ni Mmoja wa Washauri wake Wakuu na kumpa Wadhifa fulani.

GENTAMYCINE niendelee Kuwapongeza Wabunge wa nchini Uganda kwa kuja na Muswada Maalum kuwa Watu wenye Mapenzi ya Jinsia Moja ( hasa Wanaume ) waitwao Mashoga wawe Wanafungwa Maisha au Wananyongwa kabisa.

Huwezi kufanya Jambo Baya au Kuyachafua Maandiko ya Mwenyezi Mungu halafu Laana yake isikupate na asikushushia Mabalaa makubwa ili kukupa Ujumbe kuwa unachokifanya ni kibaya japo unajifanya ni Mcha Mungu hasa.

Na Mtanzania Muhimu sana anawalinda wenye Chuo / Taasisi kwakuwa ni Yeye ndiyo amewakaribisha nchini halafu ni Mwenzao Kiimani na anakula nao kwani Taasisi hiyo iko nyuma ya Tajiri fulani Umoja wa Falme za Kiarabu ambaye yuko mbioni kuja Kuwekeza nchini Tanzania hasa katika Mkoa wa Dar es Salaam na kwamba tayari ameshajipatia maeneo mengi ( Ardhi ) nchini ili aendelee na Miradi yake huku akieneza Michezo michafu kwa Vijana na Wanaume wa Dini
 
Codes ni nyepesi mnooo yaan mnooo.

Kuhusu suala la ushoga hakuna kiongozi atakae thubutuu kutangaza wazi wazi kuwa ni illegal hapa nchini, hata aje mafia kiasi gani hawezi kamweee.

Nafikiri waanze kurekebisha vifungu vya sheria ktk katiba, na pia kwenye suala la haki za binadamu wakatafakari kwa kina kipi waishi nacho, pia misaada na mikopo je masharti yake ni sahihi kwa mustakabali wa nchi.

Kuna kiongozi mstaafu aliwahi sema "ukitaka kula sharti uliwe"

Mwenye masikio na asikie, mwenye macho na aone.

Khalhaghabhao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vifungu gani vya sheria vinahalalisha ushoga? Kwa Tz ushoga hauruhusiwi ,wewe endelea kupakuliwa gizani na tabia za kigasho ukiziweka wazi lazima udakwe na manjagu...Kama kusambaza picha tu za ngono hairuhusiwi vipi kuhusu ujitangaze unapakuliwa?


Mh Rais ameshaweka wazi hayo maadili ya kishenzi yabaki hukohuko kwao(majuu) kama kuiga tuige mambo mazuri tu ,kitendo cha Mh SSh kutamka hayo ni wazi kama hakubaliani ,unavyosema anatamka majukwaani hivi ulitaka akatamkie chumbani?

Mikopo tunayokopa haina masharti ya kwamba lazima usupport ushoga ,wana vigezo vyao vingine na ndio maana tunalipa madeni...Tunakopa hadi china je na wao wanatuambia tu support ushoga?

Acheni ujinga kama mnafanya ufirauni wenu wa kupakuliwa ,fanyeni gizani huko huko na si kututangazia na kushabikiashabikia.

Cc: Bushmamy
 
Hiki chuo ndio kwanza nakijua Leo .siwezi sema chochote Hadi nijue ukweli.

Mtumu Muhammad swalahullahu alaih wasalam anatuambia akiwajia fasiq na habar zake basi zichunguzeni kwanza ili kujua kama ni za kweli au laa

Tusipuuzie habar yeyote Bali tutafute ukweli ili kubalance

Tusije kuwadhuru watu kwa habar za uzushi
 
Are you serious Mkuu?
More than Serious. Nimewahi kuishi Mtaa wa Pili tu nyuma ya hicho Chuo ( Taasisi hiyo ) na bado nina Ndugu zangu wanaishi Jirani na Jengo hilo nyumba Jirani na aliyekuwa Chief Secretary Balozi Ombeni Sefue.

Na bahati nzuri Jana wakati wa Tukio nilikuwa hapo hapo kwa Ndugu zangu na nikabahatika Kuzungumza na Wajumbe Wawili ambao kama nilivyothibitishwa na Mlinzi Mmoja, Mfanyakazi wa humo ndani na Wao pia wakaniambia hivyo hivyo juu ya hivyo Vitendo Vichafu.

Hatahivyo wamejitahidi Kulalamika na Kuripoti kwa Mamlaka lakini walichoambiwa ni kuwa Mtanzania Muhimu anawajua, ndiyo Kawakaribisha Tanzania na anafaidika na Tajiri mwenye hiyo Taasisi ya Kiislamu nae pia akiwa ni Mwenzao Kiimani.

Nimemaliza.
 
Vifungu gani vya sheria vinahalalisha ushoga? Kwa Tz ushoga hauruhusiwi ,wewe endelea kupakuliwa gizani na tabia za kigasho ukiziweka wazi lazima udakwe na manjagu...Kama kusambaza picha tu za ngono hairuhusiwi vipi kuhusu ujitangaze unapakuliwa?


Mh Rais ameshaweka wazi hayo maadili ya kishenzi yabaki hukohuko kwao(majuu) kama kuiga tuige mambo mazuri tu ,kitendo cha Mh SSh kutamka hayo ni wazi kama hakubaliani ,unavyosema anatamka majukwaani hivi ulitaka akatamkie chumbani?

Mikopo tunayokopa haina masharti ya kwamba lazima usupport ushoga ,wana vigezo vyao vingine na ndio maana tunalipa madeni...Tunakopa hadi china je na wao wanatuambia tu support ushoga?

Acheni ujinga kama mnafanya ufirauni wenu wa kupakuliwa ,fanyeni gizani huko huko na si kututangazia na kushabikiashabikia.

Cc: Bushmamy

Shart kubwa la mikopo ni kuheshimu na kulinda haki za binadamu ikiwapo watu wa lbgtq tofauti na hapo hupewi mkopo,ndiomana serikali ya sa100 watabaki kubwabwaja tu wala hawata weza kuweka sheria dhidi ya vitendo hivyo,watabaki kutoa ushauri tu na itaishia hivyo mana hawana ujarisi wowote wala uhalali wa kupiga marufuku vitendo hivyo.
 
nilivyomcheki tu nikajua huyu hatoboi zenji au tanga [emoji23][emoji23]
Kashafukuzwa kazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-402179068.jpg
 
Vifungu gani vya sheria vinahalalisha ushoga? Kwa Tz ushoga hauruhusiwi ,wewe endelea kupakuliwa gizani na tabia za kigasho ukiziweka wazi lazima udakwe na manjagu...Kama kusambaza picha tu za ngono hairuhusiwi vipi kuhusu ujitangaze unapakuliwa?


Mh Rais ameshaweka wazi hayo maadili ya kishenzi yabaki hukohuko kwao(majuu) kama kuiga tuige mambo mazuri tu ,kitendo cha Mh SSh kutamka hayo ni wazi kama hakubaliani ,unavyosema anatamka majukwaani hivi ulitaka akatamkie chumbani?

Mikopo tunayokopa haina masharti ya kwamba lazima usupport ushoga ,wana vigezo vyao vingine na ndio maana tunalipa madeni...Tunakopa hadi china je na wao wanatuambia tu support ushoga?

Acheni ujinga kama mnafanya ufirauni wenu wa kupakuliwa ,fanyeni gizani huko huko na si kututangazia na kushabikiashabikia.

Cc: Bushmamy
Sina mda wa kukujibu povuuu lakoooo. Hizi kelele za kwa keyboard tumeshazoea.

Muambie rais wako atamke hadharani kuwa "ushoga ni marufuku hapa nchini na ukikutwa na hatia hiyo adhabu ni hii na hii"

Hizo propaganda za majukwaani hazina tija yoyote

Nakuambatanisha na barua hii hapa chini isome kwa umakini, ukimaliza lia taratibu na ufute machozi, afu kunywa maji mengi poleeeeeee sanaaaa,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums266959673.jpg
 
Back
Top Bottom